-
UNICEF: Machafuko na njaa vinatishia maisha ya maelfu ya watoto wa Sudan
Mar 29, 2025 03:11Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limetangaza kuwa, ghasia na njaa vinatishia maisha ya watoto wa Sudan hususan katika mzozo wa jimbo la Darfur Kaskazini.
-
Jumatano, tarehe 11 Disemba, 2024
Dec 11, 2024 02:45Leo ni Jumatano tarehe 09 Jumadithani 1446 Hijria sawa na tarehe 11 Disemba 2024.
-
UNICEF: Watoto wa Ghaza wako taabani kwa kula nyasi
Apr 13, 2024 02:15Msemaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF amesema, ameshuhudia kwa macho yake mtoto aliye taabani baada ya kula nyasi kutokana na njaa inayokabili mamia ya maelfu ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
-
UNICEF: Idadi ya watoto Wapalestina waliouliwa na Israel Ukingo wa Magharibi pia haijawahi kushuhudiwa
Dec 29, 2023 09:27Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF kanda ya Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini amesema, idadi ya watoto Wapalestina waliouliwa na askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika mwaka huu huko Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Baitul Muqaddas Mashariki ni kubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa kwa kila mwaka katika eneo hilo.
-
Jumatatu, tarehe 11 Disemba, 2023
Dec 11, 2023 02:47Leo ni Jumatatu tarehe 27 Jumadil Awwal 1445 Hijria sawa na tarehe 11 Disemba 2023.
-
UNICEF: Watoto milioni 3.7 walioathirika na zilzala Syria wana hali mbaya
Mar 03, 2023 07:45Mkurugenzi mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF amesema, watoto milioni 3.7 ambao walinusurika na matetemeko ya ardhi ya tarehe 6 Februari mwaka huu katika maeneo yaliyoathirika nchini Syria wanakabiliwa na ongezeko la vitisho kadhaa vya zahma kubwa.
-
UNICEF yaonya kuhusu hali mbaya ya binadamu nchini Afghanistan
Feb 09, 2023 02:43Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limetahadharisha kuhusu matokeo mabaya ya kushadidi mgogoro wa binadamu nchini Afghanistan.
-
Jumapili tarehe 11 Disemba 2022
Dec 11, 2022 02:30Leo ni Jumapili tarehe 15 Jumadil Awwal 1444 Hijria sawa na tarehe 11 Disemba 2022.
-
UNICEF: Watoto wenye utapiamlo hatarini kufa kwa magonjwa yatokanayo na uhaba wa maji
Aug 23, 2022 08:06Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF limesema watoto walioko katika Pembe ya Afrika na Ukanda wa Sahel wanaweza kufa kwa idadi kubwa iwapo hawatapata misaada ya kibinadamu kwa haraka kwa kuwa tayari watoto hao wanakabiliwa na utapiamlo mkali na sasa wapo hatarini kupata magonjwa yaenezwayo na maji.
-
UNICEF: Watoto milioni 8 hatarini kufariki dunia kutokana na uzito mdogo
Jun 24, 2022 07:47Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF limeonya kuwa, takriban watoto milioni nane walio na umri wa chini ya miaka mitano katika nchi 15 zinazokabiliwa na majanga wako katika hatari ya kifo kutokana na uzito mdogo kupindukia endapo hawatapata haraka matibabu ya lishe na huduma zinazotakiwa.