Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la UNICEF

  • UNICEF:  Watoto wenye utapiamlo hatarini kufa kwa magonjwa yatokanayo na uhaba wa maji

    UNICEF: Watoto wenye utapiamlo hatarini kufa kwa magonjwa yatokanayo na uhaba wa maji

    Aug 23, 2022 08:06

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF limesema watoto walioko katika Pembe ya Afrika na Ukanda wa Sahel wanaweza kufa kwa idadi kubwa iwapo hawatapata misaada ya kibinadamu kwa haraka kwa kuwa tayari watoto hao wanakabiliwa na utapiamlo mkali na sasa wapo hatarini kupata magonjwa yaenezwayo na maji.

  • UNICEF: Watoto milioni 8 hatarini kufariki dunia kutokana na uzito mdogo

    UNICEF: Watoto milioni 8 hatarini kufariki dunia kutokana na uzito mdogo

    Jun 24, 2022 07:47

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF limeonya kuwa, takriban watoto milioni nane walio na umri wa chini ya miaka mitano katika nchi 15 zinazokabiliwa na majanga wako katika hatari ya kifo kutokana na uzito mdogo kupindukia endapo hawatapata haraka matibabu ya lishe na huduma zinazotakiwa.

  • Jumamosi, 11 Disemba, 2021

    Jumamosi, 11 Disemba, 2021

    Dec 11, 2021 02:43

    Leo ni Jumamosi tarehe 6 Mfunguo Nane Jamadil-Awwal 1443 Hijria sawa na tarehe 11 Disemba 2021.

  • UNICEF yataka shule zilizofungwa kwa corona zifunguliwe kote ulimwenguni

    UNICEF yataka shule zilizofungwa kwa corona zifunguliwe kote ulimwenguni

    Sep 16, 2021 12:17

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (Unicef) limezitaka mamlaka zinazohusika na elimu katika kona zote za dunia zihakikishe kuwa zinafungua haraka shule zilizokuwa zimefungwa kutokana na UVIKO-19.

  • UNICEF yatoa ripoti ya kusikitisha kuhusu mateso ya watoto wakimbizi

    UNICEF yatoa ripoti ya kusikitisha kuhusu mateso ya watoto wakimbizi

    May 07, 2020 00:40

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetoa ripoti ya kusikitisha ya mwaka 2019 kuhusu hali mbaya na mateso ya watoto wasio na makazi kutokana na mapigano katika maeneo tofauti duniani.

  • UNICEF: Watoto 7,300 wameuawa nchini Yemen tokea 2015

    UNICEF: Watoto 7,300 wameuawa nchini Yemen tokea 2015

    May 17, 2019 02:30

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema watoto wapatao 7,300 wameuawa nchini Yemen katika vita na mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia na washirika wake tokea mwaka 2015 hadi sasa.

  • Jumanne, Disemba 11, 2018

    Jumanne, Disemba 11, 2018

    Dec 11, 2018 02:34

    Leo ni Jumanne tarehe 3 Rabiuthani 1440 Hijria sawa na Disemba 11, 2018.

  • Indhari ya Unicef kuhusu hali mbaya ya watoto wa Afghanistan

    Indhari ya Unicef kuhusu hali mbaya ya watoto wa Afghanistan

    Nov 28, 2018 07:39

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef umeonya kuhusu kuendelea kuwa mbaya hali ya watoto wa Afghanistan, ambao wanakodolewa macho na ghasia na umwagaji damu kila uchao.

  • UN: Mapigano Libya yawaweka watoto laki 5 katika hatari kubwa

    UN: Mapigano Libya yawaweka watoto laki 5 katika hatari kubwa

    Sep 25, 2018 07:58

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef umetadharisha kuwa, watoto laki tano wapo katika hatari kubwa ya kupoteza maisha kutokana na mapigano yaliyoshtadi katika mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Unicef: Katika kila dakika 3, binti mmoja anaambukizwa virusi vya HIV

    Unicef: Katika kila dakika 3, binti mmoja anaambukizwa virusi vya HIV

    Jul 26, 2018 07:41

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef umesema mabinti na wanawake wenye umri kati ya miaka 15 na 19 wanajenga thuluthi mbili ya watu walioambukizwa virusi hatari vya HIV mwaka jana 2017.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS