Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la UNICEF

  • UNICEF yataka watoto wanaotumia intaneti walindwe

    UNICEF yataka watoto wanaotumia intaneti walindwe

    Dec 13, 2017 03:55

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF linasema wakati fursa ya matumizi ya mtandao wa intaneti ikiongezeka ni lazima dunia hii ya kidijitali iyafanye matumizi hayo kuwa salama kwa watoto ili yaweze kunufaisha hasa wale walio katika hatari zaidi.

  • Jumatatu 11 Disemba, 2017

    Jumatatu 11 Disemba, 2017

    Dec 11, 2017 03:35

    Leo ni Jumatatu tarehe 22 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1439 Hijria mwafaka na tarehe 11 Disemba mwaka 2017.

  • UNICEF: Watoto 18 wanaambukizwa HIV/Ukimwi kwa kila saa moja

    UNICEF: Watoto 18 wanaambukizwa HIV/Ukimwi kwa kila saa moja

    Dec 01, 2017 07:52

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema watoto 18 huambukizwa virusi vya HIV katika kila saa moja kote duniani, ishara kwamba jitihada za makusudi zingali zinahitajika kuzuia maambukizi ya virusi hivyo vinavyosababisha ugonjwa hatari wa Ukimwi miongoni mwa vijana na watoto wadogo.

  • UNICEF: Mashambulio ya Boko Haram kwa kutumia watoto wanaojiripua yameongezeka mara nne

    UNICEF: Mashambulio ya Boko Haram kwa kutumia watoto wanaojiripua yameongezeka mara nne

    Aug 23, 2017 03:47

    Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa kuhudumia watoto UNICEF umetangaza kuwa idadi ya watoto wanaotumiwa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram nchini Nigeria kufanya mashambulio ya kujitoa mhanga imeongezeka mara nne mwaka huu kulinganisha na mwaka uliopita wa 2016.

  • Watoto laki 4 katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa Nigeria

    Watoto laki 4 katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa Nigeria

    Dec 14, 2016 14:17

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetahadharisha kuwa mamia ya maelfu ya watoto nchini Nigeria wako katika hatari ya kuaga dunia kutokana na vita, njaa na lishe duni.

  • Jumapili  11 Disemba, 2016

    Jumapili 11 Disemba, 2016

    Dec 11, 2016 08:17

    Leo Jumapili tarehe 11 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 Hijria sawa na Disemba 11, 2016.

  • UNICEF: Maisha ya watoto milioni 300 yako hatarini kutokana  na kuzidi kuchafuka hali ya hewa duniani

    UNICEF: Maisha ya watoto milioni 300 yako hatarini kutokana na kuzidi kuchafuka hali ya hewa duniani

    Oct 31, 2016 07:36

    Moja ya saba ya watoto duniani wanakabiliwa na hatari ya kifo kutokana na hali chafu mno ya hewa.

  • UNICEF: Wasichana wanatumia saa milioni 160 zaidi kufanya kazi za nyumbani

    UNICEF: Wasichana wanatumia saa milioni 160 zaidi kufanya kazi za nyumbani

    Oct 08, 2016 08:11

    Wasichana wenye umri wa kati ya miaka 5 na 14 wanatumia asilimia 40 zaidi ya muda au saa milioni 160 kwa siku kufanya kazi za nyumbani zisizo na malipo kote duniani.

  • Wasiwasi wa Unicef kuhusu hali ya watoto katika eneo la Ziwa Chad

    Wasiwasi wa Unicef kuhusu hali ya watoto katika eneo la Ziwa Chad

    Sep 01, 2016 15:48

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umezitolea mwito taasisi za kimataifa kuwasaidia wahanga wa mashambulizi ya kundi la Boko Haram katika eneo la Ziwa Chad.

  • UNICEF: Vita vimesababisha maafa kwa watoto wa Iraq

    UNICEF: Vita vimesababisha maafa kwa watoto wa Iraq

    Jun 30, 2016 14:49

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetahadharisha kuwa watoto milioni tatu na laki sita wa Iraq wanakabiliwa na hatari kubwa ya kifo, kujeruhiwa, ukatili wa kingono, kutekwa nyara na kutumikishwa kama wapiganaji kwenye makundi yanayobeba silaha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS