-
Unicef: Watoto zaidi ya elfu 5 wameuawa, kujeruhiwa katika hujuma za Saudia, Yemen
Jul 03, 2018 23:20Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) ametahadharisha kuhusu hali ya kutisha inayowakabili watoto wa Yemen kutokana na mashambulizi ya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo maskini jirani yake.
-
UNICEF: Nchi za Afrika zinaongoza kwa ndoa za utotoni
Mar 06, 2018 04:37Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef umesema ingawaje tabia ya kuozwa kwa lazima mabinti wadogo imepungua duniani, lakini nchi za chini ya Jangwa la Sahara barani Afrika kwa sasa zinaongoza kwa uozo huo.
-
UNICEF yataka watoto wanaotumia intaneti walindwe
Dec 13, 2017 00:25Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF linasema wakati fursa ya matumizi ya mtandao wa intaneti ikiongezeka ni lazima dunia hii ya kidijitali iyafanye matumizi hayo kuwa salama kwa watoto ili yaweze kunufaisha hasa wale walio katika hatari zaidi.
-
Jumatatu 11 Disemba, 2017
Dec 11, 2017 00:05Leo ni Jumatatu tarehe 22 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1439 Hijria mwafaka na tarehe 11 Disemba mwaka 2017.
-
UNICEF: Watoto 18 wanaambukizwa HIV/Ukimwi kwa kila saa moja
Dec 01, 2017 04:22Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema watoto 18 huambukizwa virusi vya HIV katika kila saa moja kote duniani, ishara kwamba jitihada za makusudi zingali zinahitajika kuzuia maambukizi ya virusi hivyo vinavyosababisha ugonjwa hatari wa Ukimwi miongoni mwa vijana na watoto wadogo.
-
UNICEF: Mashambulio ya Boko Haram kwa kutumia watoto wanaojiripua yameongezeka mara nne
Aug 22, 2017 23:17Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa kuhudumia watoto UNICEF umetangaza kuwa idadi ya watoto wanaotumiwa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram nchini Nigeria kufanya mashambulio ya kujitoa mhanga imeongezeka mara nne mwaka huu kulinganisha na mwaka uliopita wa 2016.
-
Watoto laki 4 katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa Nigeria
Dec 14, 2016 10:47Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetahadharisha kuwa mamia ya maelfu ya watoto nchini Nigeria wako katika hatari ya kuaga dunia kutokana na vita, njaa na lishe duni.
-
Jumapili 11 Disemba, 2016
Dec 11, 2016 04:47Leo Jumapili tarehe 11 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 Hijria sawa na Disemba 11, 2016.
-
UNICEF: Maisha ya watoto milioni 300 yako hatarini kutokana na kuzidi kuchafuka hali ya hewa duniani
Oct 31, 2016 04:06Moja ya saba ya watoto duniani wanakabiliwa na hatari ya kifo kutokana na hali chafu mno ya hewa.
-
UNICEF: Wasichana wanatumia saa milioni 160 zaidi kufanya kazi za nyumbani
Oct 08, 2016 04:41Wasichana wenye umri wa kati ya miaka 5 na 14 wanatumia asilimia 40 zaidi ya muda au saa milioni 160 kwa siku kufanya kazi za nyumbani zisizo na malipo kote duniani.