-
Magaidi 17 wa al-Shabaab wauwa katika operesheni mpya Somalia
Oct 27, 2022 04:37Vyombo vya intelejensia vya Somalia vikishirikiana na vya kimataifa vimeangamiza wanachama 17 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab.
-
Magaidi zaidi 100 wa Al-Shabaab waangamizwa Somalia
Oct 25, 2022 23:02Serikali ya Somalia imetangaza kuwa magaidi zaidi ya 100 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Al-Shabaab wameangamizwa kusini mwa nchi hiyo.
-
UN yataka kuzidishwa haraka misaada ya kibinadamu huko Somalia
Oct 23, 2022 01:05Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imetoa wito wa kuzidishwa misaada ya kibinadamu ya haraka kwa ajili ya Somalia.
-
Ijumaa tarehe 21 Oktoba, mwaka 2022
Oct 20, 2022 22:57Leo ni Ijumaa tarehe 24 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 21 Oktoba mwaka 2022.
-
Mjumbe wa Somalia: Uingereza imepoteza nafasi yake, suala hilo linaathiri mapambano dhidi ya njaa
Oct 15, 2022 01:00Abdirahman Abdishakur Warsame mjumbe wa Rais wa Somalia anayehusika na mapambano dhidi ya ukame nchini humo amesema kuwa, Uingereza imepoteza nafasi yake ya uongozi duniani na kuwaangusha nchi waitifaki wake.
-
Vikwazo vya Marekani vinazuia kupelekwa misaada ya kibinadamu Somalia
Sep 28, 2022 04:36Shirika moja la kibinadamu limesema vikwazo vya Marekani vya 'kupambana na ugaidi' vimekwamisha shughuli za kuwafikishia wananchi wa Somalia misaada ya kibinadamu.
-
UNICEF: Watoto laki tano wanakabiliwa na hatari ya kifo Somalia kutokana na uhaba wa chakula
Sep 17, 2022 03:24Msemaji wa Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) amesema katika taarifa kwamba, watoto nusu milioni nchini Somalia wanakabiliwa na hatari ya kifo kutokana na uhaba wa chakula na utapiamlo.
-
Ukame watishia maisha ya watu na mifugo Somalia, UN yaonya
Sep 05, 2022 21:45Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya kibinadamu ametahadharisha kuhusu kutokea janga kubwa la kibinadamu kutokana na ukame wa muda mrefu katika maeneo tofauti ya Somalia.
-
Watu 20 wauawa Somalia katika shambulio la kigaidi la al-Shabab
Sep 03, 2022 06:25Watu wasiopungua 20 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi la al-Shabab katikati mwa Somalia.
-
Kuongezeka hujuma za kigaidi barani Afrika
Aug 24, 2022 23:12Kuenea kwa hujuma za kigaidi katika kanda tofauti za bara Afrika, hasa kuongezeka kwa mashambulizi yanayotekelezwa na makundi ya Al-Shabaab huko Somalia na Boko Haram nchini Nigeria, kumepelekea kuibuka wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa ukosefu wa usalama barani Afrika na duniani kote.