Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Magaidi 100 wa al Shabab wauawa kusini mwa Somalia

    Magaidi 100 wa al Shabab wauawa kusini mwa Somalia

    May 31, 2021 02:53

    Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, limeua wanamgambo 100 wa genge la kigaidi la al Shabab wakiwemo makamanda kadhaa wa genge hilo katika operesheni maalumu ya kijeshi huko kusini mwa Somalia.

  • Mjumbe wa UN Somalia apongeza mapatano ya viongozi kuhusu uchaguzi

    Mjumbe wa UN Somalia apongeza mapatano ya viongozi kuhusu uchaguzi

    May 28, 2021 22:21

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia James Swan amepongeza uamuzi uliofikiwa na viongozi wa Somalia wa kufanya uchaguzi wa Rais na Bunge ndani ya miezi miwili, ikiwa ni baada ya siku nne za mazungumzo ya kina yaliyofanyika mjini Mogadishu.

  • Somalia kuitisha uchaguzi katika kipindi cha miezi miwili ijayo

    Somalia kuitisha uchaguzi katika kipindi cha miezi miwili ijayo

    May 28, 2021 02:35

    Serikali ya Somalia imetangaza kuwa sasa uchaguzi mkuu uliokuwa umeakhirishwa kwa miezi kadhaa, utafanyika katika kipindi cha siku 60 zijazo.

  • Watu 6 wauawa katika mripuko wa kigaidi mjini Mogadishu, Somalia

    Watu 6 wauawa katika mripuko wa kigaidi mjini Mogadishu, Somalia

    May 11, 2021 03:17

    Polisi nchini Somalia wametangaza habari ya kuuawa maafisa 6 wa polisi baada ya gaidi mmoja kujiripua kwa bomu katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.

  • AU yamteua rais wa zamani wa Ghana kuwa mjumbe wake Somalia

    AU yamteua rais wa zamani wa Ghana kuwa mjumbe wake Somalia

    May 08, 2021 07:58

    Umoja wa Afrika umemteua aliyekuwa rais wa Ghana, John Dramani Mahama kuwa mjumbe maalumu wa ngazi ya juu wa umoja huo nchini Somalia.

  • Somalia yahuisha uhusiano wake na Kenya baada ya kupita karibu nusu mwaka

    Somalia yahuisha uhusiano wake na Kenya baada ya kupita karibu nusu mwaka

    May 07, 2021 03:15

    Somalia imetangaza habari ya kurejesha uhusiano wake na Kenya baada ya kuukata karibu miezi sita iliyopita, ikiituhumu serikali ya Nairobi kuwa inaingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Wabunge wa Somalia wapitisha kwa kauli moja uamuzi wa kurejesha upigaji kura wa uwakilishi

    Wabunge wa Somalia wapitisha kwa kauli moja uamuzi wa kurejesha upigaji kura wa uwakilishi

    May 01, 2021 21:53

    Baraza dogo la bunge la Somalia limepitisha kwa kauli moja uamuzi wa kurejesha makubaliano yaliyofikiwa Septemba mwaka jana yatakayoruhusu nchi hiyo kuendelea na utaratibu wa upigaji kura kwa njia ya isiyo ya moja kwa moja ya uwakilishi.

  • Shambulio la bomu laua, kujeruhi watu 20 Mogadishu, Somalia

    Shambulio la bomu laua, kujeruhi watu 20 Mogadishu, Somalia

    Apr 28, 2021 21:55

    Watu wasiopungua saba wameuawa huku wengine zaidi ya 11 wakijeruhiwa baada ya gari lililokuwa limesheheni mabomu kuripuka nje ya makao makuu ya polisi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Taharuki yatanda Somalia, risasi zarindima Mogadishu; makazi ya rais wa zamani yashambuliwa

    Taharuki yatanda Somalia, risasi zarindima Mogadishu; makazi ya rais wa zamani yashambuliwa

    Apr 25, 2021 22:50

    Hali ya taharuki imetanda nchini Somalia huku milio ya risasi ikirindima katika mji mkuu Mogadishu, baada ya maafisa usalama kukabiliana vikali na 'waasi' wanaopinga kurefushwa muda wa uongozi wa Rais wa nchi hiyo, Mohamed Abdullahi Farmaajo.

  • Umoja wa Afrika walaani kurefushwa kipindi cha uongozi wa Rais Farmaajo wa Somalia

    Umoja wa Afrika walaani kurefushwa kipindi cha uongozi wa Rais Farmaajo wa Somalia

    Apr 23, 2021 22:50

    Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika limelaani uamuzi wa kurefusha kipindi cha uongozi wa Rais Mohamed Abdullahi Farmaajo wa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS