-
Magaidi 100 wa al Shabab wauawa kusini mwa Somalia
May 31, 2021 02:53Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, limeua wanamgambo 100 wa genge la kigaidi la al Shabab wakiwemo makamanda kadhaa wa genge hilo katika operesheni maalumu ya kijeshi huko kusini mwa Somalia.
-
Mjumbe wa UN Somalia apongeza mapatano ya viongozi kuhusu uchaguzi
May 28, 2021 22:21Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia James Swan amepongeza uamuzi uliofikiwa na viongozi wa Somalia wa kufanya uchaguzi wa Rais na Bunge ndani ya miezi miwili, ikiwa ni baada ya siku nne za mazungumzo ya kina yaliyofanyika mjini Mogadishu.
-
Somalia kuitisha uchaguzi katika kipindi cha miezi miwili ijayo
May 28, 2021 02:35Serikali ya Somalia imetangaza kuwa sasa uchaguzi mkuu uliokuwa umeakhirishwa kwa miezi kadhaa, utafanyika katika kipindi cha siku 60 zijazo.
-
Watu 6 wauawa katika mripuko wa kigaidi mjini Mogadishu, Somalia
May 11, 2021 03:17Polisi nchini Somalia wametangaza habari ya kuuawa maafisa 6 wa polisi baada ya gaidi mmoja kujiripua kwa bomu katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.
-
AU yamteua rais wa zamani wa Ghana kuwa mjumbe wake Somalia
May 08, 2021 07:58Umoja wa Afrika umemteua aliyekuwa rais wa Ghana, John Dramani Mahama kuwa mjumbe maalumu wa ngazi ya juu wa umoja huo nchini Somalia.
-
Somalia yahuisha uhusiano wake na Kenya baada ya kupita karibu nusu mwaka
May 07, 2021 03:15Somalia imetangaza habari ya kurejesha uhusiano wake na Kenya baada ya kuukata karibu miezi sita iliyopita, ikiituhumu serikali ya Nairobi kuwa inaingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Wabunge wa Somalia wapitisha kwa kauli moja uamuzi wa kurejesha upigaji kura wa uwakilishi
May 01, 2021 21:53Baraza dogo la bunge la Somalia limepitisha kwa kauli moja uamuzi wa kurejesha makubaliano yaliyofikiwa Septemba mwaka jana yatakayoruhusu nchi hiyo kuendelea na utaratibu wa upigaji kura kwa njia ya isiyo ya moja kwa moja ya uwakilishi.
-
Shambulio la bomu laua, kujeruhi watu 20 Mogadishu, Somalia
Apr 28, 2021 21:55Watu wasiopungua saba wameuawa huku wengine zaidi ya 11 wakijeruhiwa baada ya gari lililokuwa limesheheni mabomu kuripuka nje ya makao makuu ya polisi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Taharuki yatanda Somalia, risasi zarindima Mogadishu; makazi ya rais wa zamani yashambuliwa
Apr 25, 2021 22:50Hali ya taharuki imetanda nchini Somalia huku milio ya risasi ikirindima katika mji mkuu Mogadishu, baada ya maafisa usalama kukabiliana vikali na 'waasi' wanaopinga kurefushwa muda wa uongozi wa Rais wa nchi hiyo, Mohamed Abdullahi Farmaajo.
-
Umoja wa Afrika walaani kurefushwa kipindi cha uongozi wa Rais Farmaajo wa Somalia
Apr 23, 2021 22:50Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika limelaani uamuzi wa kurefusha kipindi cha uongozi wa Rais Mohamed Abdullahi Farmaajo wa Somalia.