Aug 11, 2024 07:33
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imedhamiria kujibu mapigo kwa Israel kufuatia mauaji ya kigaidi ya Ismail Haniyah, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS hapa Tehran akisisitiza kuwa, utumiaji wa nguvu na mabavu ndiyo njia pekee ya kukabiliana na Uzayuni.