• Qalibaf: Uhai wa utawala wa Kizayuni unategemea mauaji na jinai

    Qalibaf: Uhai wa utawala wa Kizayuni unategemea mauaji na jinai

    Apr 29, 2025 12:22

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ameyataja matamshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni hila isiyo na thamani inayolenga kuvuruga mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani na kusema: "Hata asilimia ndogo ya uchokozi dhidi ya Iran itatambuliwa kuwa ni sawa na kuwasha moto pipa la baruti ambalo litalipua katika eneo hili."

  • Spika: Mataifa yanayotegemea usalama kutoka nje yatafeli

    Spika: Mataifa yanayotegemea usalama kutoka nje yatafeli

    Mar 02, 2025 12:26

    Mohammad Baqer Qalibaf, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema mustakabali wa nchi zinazotegemea mataifa mengine kwa ajili ya kudhaminiwa usalama na maendeleo ni kufeli na kugonga mwamba.

  • Iran: Tunapinga mpango wowote wa kufukuzwa Wapalestina Gaza

    Iran: Tunapinga mpango wowote wa kufukuzwa Wapalestina Gaza

    Feb 19, 2025 12:07

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Bagher Ghalibaf amesema kuwa Tehran inapinga vikali na kulaani mpango wowote unaokusudia kuwafurusha Wapalestina katika ardhi zao.

  • Spika Qalibaf: Hamas ipo hai, imeidhalilisha vibaya Israel

    Spika Qalibaf: Hamas ipo hai, imeidhalilisha vibaya Israel

    Jan 27, 2025 13:21

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameipongeza Harakati ya Muqawama ya Hamas na vikosi vya mapambano ya Kiislamu vya Palestina kwa ushindi wao mkabala wa utawala wa Kizayuni.

  • Spika: Mauaji ya kigaidi kuharakisha kuporomoka utawala wa Kizayuni

    Spika: Mauaji ya kigaidi kuharakisha kuporomoka utawala wa Kizayuni

    Oct 11, 2024 10:32

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, mashambulizi ya anga na mauaji ya kigaidi yanayofanywa na utawala haramu wa Israel hayatakuwa na matokeo mengine isipokuwa kuharakisha kusambaratika na kuangamia kwa utawala huo wa Kizayuni.

  • Qalibaf asisitizia umoja wa Waislamu katika kadhia ya Palestina

    Qalibaf asisitizia umoja wa Waislamu katika kadhia ya Palestina

    Sep 15, 2024 07:32

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesisitizia haja ya Waislamu kote duniani kuwa na umoja na mshikamano katika suala la Palestina.

  • Qalibaf: Israel haielewi lugha nyingine isipokuwa ya mabavu

    Qalibaf: Israel haielewi lugha nyingine isipokuwa ya mabavu

    Aug 11, 2024 07:33

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imedhamiria kujibu mapigo kwa Israel kufuatia mauaji ya kigaidi ya Ismail Haniyah, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS hapa Tehran akisisitiza kuwa, utumiaji wa nguvu na mabavu ndiyo njia pekee ya kukabiliana na Uzayuni.

  • Qalibaf: Mataifa ya Kiislamu yasimamishe mashambulizi ya Wazayuni

    Qalibaf: Mataifa ya Kiislamu yasimamishe mashambulizi ya Wazayuni

    Nov 08, 2023 03:33

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amelaani vikali mashambulizi ya kinyama utawala wa Kizayuni huko Gaza na kusisitiza kuwa, mataifa ya Kiislamu yana wajibu wa kusimamisha dhulma na hujuma hizo za kikatili za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Qalibaf: Marekani ingali inafuatilia sera za ubeberu dhidi ya Iran

    Qalibaf: Marekani ingali inafuatilia sera za ubeberu dhidi ya Iran

    Aug 17, 2022 12:27

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Marekani ya leo, ndiyo ile ile ya huko nyuma ya wakati wa mapinduzi ya serikali Iran ya mwaka 1953 (Mapinduzi ya Mordad 28).

  • Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuhusu kuunga mkono sera ya China Moja

    Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuhusu kuunga mkono sera ya China Moja

    Aug 05, 2022 07:10

    Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza uungaji mkono wa Iran kwa sera ya "China Moja" na kusema: 'Hatua za kichochezi za Marekani zimekuwa tishio kubwa kwa amani na uthabiti wa kimataifa.'