Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Israel ndiyo sababu kuu ya kujitenga Sudan Kusini

    Israel ndiyo sababu kuu ya kujitenga Sudan Kusini

    Jan 24, 2018 01:06

    Balozi wa Sudan nchini Algeria amesema kuwa utawala ghasibu wa Israel ndiyo sababu kuu ya kujitenga Sudan Kusini na ardhi ya Sudan.

  • AU kuchunguza mateso ya wahajiri wa Kisudan Libya

    AU kuchunguza mateso ya wahajiri wa Kisudan Libya

    Jan 23, 2018 11:35

    Mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Kijamii ya Umoja wa Afrika amesema kuwa, umoja huo utaanzisha uchunguzi kuhusu mateso waliyofanyiwa wahajiri wa Kisudani nchini Libya.

  • Sisitizo la Sudan, Kodivaa, Gambia na Morocco la kupatiwa ufumbuzi kwa njia ya amani matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu

    Sisitizo la Sudan, Kodivaa, Gambia na Morocco la kupatiwa ufumbuzi kwa njia ya amani matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu

    Jan 17, 2018 11:23

    Wawakilishi wa nchi za Kiafrika za Sudan, Kodivaa, Gambia na Morocco wamesisitiza katika Mkutano wa 13 wa Mabunge ya Nchi za Kiislamu Wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Nchi za Kiislamu (OIC) kupatiwa ufumbuzi matatizo yanayoukabili Ulimwengu wa Kiislamu na kukabiliana pia na utawala ghasibu za Kizayuni.

  • Polisi Sudan watumia mabomu na bakora kuzima maandamano

    Polisi Sudan watumia mabomu na bakora kuzima maandamano

    Jan 16, 2018 11:08

    Maafisa usalama nchini Sudan wametumia mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji, wanaolalamikia ughali wa maisha na hali ngumu ya kiuchumi.

  • Sudan yasema inakabiliana na tishio katika mipaka yake na Misri, Eritrea

    Sudan yasema inakabiliana na tishio katika mipaka yake na Misri, Eritrea

    Jan 15, 2018 04:04

    Serikali ya Sudan imesema inakabiliana na tishio la usalama katika mipaka yake na nchi jirani za Misri na Eritrea.

  • Malalamiko yaongezeka dhidi ya serikali nchini Sudan

    Malalamiko yaongezeka dhidi ya serikali nchini Sudan

    Jan 14, 2018 23:47

    Malalamiko ya wananchi ya kulalamikia ughali wa maisha na hali ngumu ya kiuchumi yameongezeka nchini Sudan huku kukiwa na tetesi kwamba huenda serikali ya nchi hiyo ikavunjwa.

  • Wasudan waandamana kulalamikia kupanda kwa bei ya mkate

    Wasudan waandamana kulalamikia kupanda kwa bei ya mkate

    Jan 09, 2018 12:20

    Maandandamano ya raia wa Sudan ya kupinga ongezeko la bei ya mkate na machafuko baina ya raia na askari usalama yameendelea leo kwa siku ya tatu mfululizo.

  • Sudan yaishitaki Misri UNSC kuhusiana na eneo la Hala'ib, mzozo watokota

    Sudan yaishitaki Misri UNSC kuhusiana na eneo la Hala'ib, mzozo watokota

    Jan 09, 2018 04:16

    Serikali ya Sudan kwa mara nyingine imewasilisha mashitaka yake dhidi ya Misri katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baada ya Cairo kudhibiti eneo la Hala'ib linalozozaniwa.

  • Sudan yafunga mpaka na Eritrea, yatuma maelfu ya askari mpakani

    Sudan yafunga mpaka na Eritrea, yatuma maelfu ya askari mpakani

    Jan 07, 2018 10:20

    Sudan imetangaza rasmi kufunga mpaka wake na Eritrea baada ya kutuma maelfu ya wanajeshi katika jimbo la Kassala lililopo katika mpaka wa Eritrea.

  • Uhusiano wa Sudan na Misri wazidi kuharibika; Khartoum yamwita nyumbani balozi wake

    Uhusiano wa Sudan na Misri wazidi kuharibika; Khartoum yamwita nyumbani balozi wake

    Jan 05, 2018 00:52

    Uhusiano wa Sudan na Misri umezidi kuharibika baada ya serikali ya Khartoum kumwita nyumbani balozi wake aliyeko Cairo Misri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS