-
Israel ndiyo sababu kuu ya kujitenga Sudan Kusini
Jan 24, 2018 01:06Balozi wa Sudan nchini Algeria amesema kuwa utawala ghasibu wa Israel ndiyo sababu kuu ya kujitenga Sudan Kusini na ardhi ya Sudan.
-
AU kuchunguza mateso ya wahajiri wa Kisudan Libya
Jan 23, 2018 11:35Mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Kijamii ya Umoja wa Afrika amesema kuwa, umoja huo utaanzisha uchunguzi kuhusu mateso waliyofanyiwa wahajiri wa Kisudani nchini Libya.
-
Sisitizo la Sudan, Kodivaa, Gambia na Morocco la kupatiwa ufumbuzi kwa njia ya amani matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu
Jan 17, 2018 11:23Wawakilishi wa nchi za Kiafrika za Sudan, Kodivaa, Gambia na Morocco wamesisitiza katika Mkutano wa 13 wa Mabunge ya Nchi za Kiislamu Wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Nchi za Kiislamu (OIC) kupatiwa ufumbuzi matatizo yanayoukabili Ulimwengu wa Kiislamu na kukabiliana pia na utawala ghasibu za Kizayuni.
-
Polisi Sudan watumia mabomu na bakora kuzima maandamano
Jan 16, 2018 11:08Maafisa usalama nchini Sudan wametumia mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji, wanaolalamikia ughali wa maisha na hali ngumu ya kiuchumi.
-
Sudan yasema inakabiliana na tishio katika mipaka yake na Misri, Eritrea
Jan 15, 2018 04:04Serikali ya Sudan imesema inakabiliana na tishio la usalama katika mipaka yake na nchi jirani za Misri na Eritrea.
-
Malalamiko yaongezeka dhidi ya serikali nchini Sudan
Jan 14, 2018 23:47Malalamiko ya wananchi ya kulalamikia ughali wa maisha na hali ngumu ya kiuchumi yameongezeka nchini Sudan huku kukiwa na tetesi kwamba huenda serikali ya nchi hiyo ikavunjwa.
-
Wasudan waandamana kulalamikia kupanda kwa bei ya mkate
Jan 09, 2018 12:20Maandandamano ya raia wa Sudan ya kupinga ongezeko la bei ya mkate na machafuko baina ya raia na askari usalama yameendelea leo kwa siku ya tatu mfululizo.
-
Sudan yaishitaki Misri UNSC kuhusiana na eneo la Hala'ib, mzozo watokota
Jan 09, 2018 04:16Serikali ya Sudan kwa mara nyingine imewasilisha mashitaka yake dhidi ya Misri katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baada ya Cairo kudhibiti eneo la Hala'ib linalozozaniwa.
-
Sudan yafunga mpaka na Eritrea, yatuma maelfu ya askari mpakani
Jan 07, 2018 10:20Sudan imetangaza rasmi kufunga mpaka wake na Eritrea baada ya kutuma maelfu ya wanajeshi katika jimbo la Kassala lililopo katika mpaka wa Eritrea.
-
Uhusiano wa Sudan na Misri wazidi kuharibika; Khartoum yamwita nyumbani balozi wake
Jan 05, 2018 00:52Uhusiano wa Sudan na Misri umezidi kuharibika baada ya serikali ya Khartoum kumwita nyumbani balozi wake aliyeko Cairo Misri.