Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Sudan yawaachilia huru wafungwa wote wa kisiasa

    Sudan yawaachilia huru wafungwa wote wa kisiasa

    Feb 19, 2018 04:24

    Serikali ya Sudan imewaachilia huru wafungwa wote wa kisiasa kufuatia msamaha uliotolewa na Rais wa nchi hiyo Omar Hassan al-Bashir.

  • Ethiopia yaakhirisha mkutano wake na Misri kuhusu bwawa la al-Nahdha

    Ethiopia yaakhirisha mkutano wake na Misri kuhusu bwawa la al-Nahdha

    Feb 18, 2018 23:33

    Misri imekubali ombi la Ethiopia la kuakhirisha mkutano wa pande mbili wa kujadili suala tata la bwawa la al-Nahdha linalojengwa na Uhabeshi, baada ya Adiss Ababa kutangaza sheria ya hali ya hatari.

  • UN: Maelfu ya Wasudani Kusini watakimbilia Sudan mwaka huu wa 2018

    UN: Maelfu ya Wasudani Kusini watakimbilia Sudan mwaka huu wa 2018

    Feb 17, 2018 04:45

    Ofisi ya kuratibu masuala ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imesema katika ripoti yake mpya kwamba karibu wakimbizi laki mbili kutoka Sudan Kusini wataingia nchi jirani ya Sudan mwaka huu wa 2018.

  • Makumi ya wanamgambo wa serikali za Sudan na Saudia wauawa nchini Yemen

    Makumi ya wanamgambo wa serikali za Sudan na Saudia wauawa nchini Yemen

    Feb 15, 2018 00:34

    Duru mbalimbali za Yemen zimetangaza habari ya kuuawa makumi ya wanamgambo wa serikali za Sudan na Saudi Arabia katika vita na jeshi la Yemen na vikosi vya kujitolea vya wananchi ndani ya ardhi ya Yemen.

  • Wapinzani wa serikali wazidi kutiwa mbaroni nchini Sudan

    Wapinzani wa serikali wazidi kutiwa mbaroni nchini Sudan

    Feb 03, 2018 00:07

    Idadi ya wakuu wa vyama vya siasa, wanaharakati wa kisiasa na waandishi wa habari waliotiwa mbaroni nchini Sudan tangu yalipoanza malalamiko ya wananchi ya kulalamika kupanda bei ya bidhaa imeongezeka nchini humo.

  • Raia wa Sudan Kusini waendelea kuikimbia nchi yao kutokana na machafuko

    Raia wa Sudan Kusini waendelea kuikimbia nchi yao kutokana na machafuko

    Jan 31, 2018 23:09

    Mwakilishi wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR ameelezea ongezeko la raia wa Sudan Kusini wanaokimbia nchi yao kuelekea nchi jirani ya Sudan.

  • Chama cha Umma  chawataka wananchi kuandamana dhidi ya serikali ya Sudan

    Chama cha Umma chawataka wananchi kuandamana dhidi ya serikali ya Sudan

    Jan 28, 2018 12:16

    Chama cha Umma cha nchini Sudan kimewatolea mwito wananchi kuandamana dhidi ya serikali ya Khartoum.

  • Israel ndiyo sababu kuu ya kujitenga Sudan Kusini

    Israel ndiyo sababu kuu ya kujitenga Sudan Kusini

    Jan 24, 2018 01:06

    Balozi wa Sudan nchini Algeria amesema kuwa utawala ghasibu wa Israel ndiyo sababu kuu ya kujitenga Sudan Kusini na ardhi ya Sudan.

  • AU kuchunguza mateso ya wahajiri wa Kisudan Libya

    AU kuchunguza mateso ya wahajiri wa Kisudan Libya

    Jan 23, 2018 11:35

    Mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Kijamii ya Umoja wa Afrika amesema kuwa, umoja huo utaanzisha uchunguzi kuhusu mateso waliyofanyiwa wahajiri wa Kisudani nchini Libya.

  • Sisitizo la Sudan, Kodivaa, Gambia na Morocco la kupatiwa ufumbuzi kwa njia ya amani matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu

    Sisitizo la Sudan, Kodivaa, Gambia na Morocco la kupatiwa ufumbuzi kwa njia ya amani matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu

    Jan 17, 2018 11:23

    Wawakilishi wa nchi za Kiafrika za Sudan, Kodivaa, Gambia na Morocco wamesisitiza katika Mkutano wa 13 wa Mabunge ya Nchi za Kiislamu Wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Nchi za Kiislamu (OIC) kupatiwa ufumbuzi matatizo yanayoukabili Ulimwengu wa Kiislamu na kukabiliana pia na utawala ghasibu za Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS