-
Wabunge wa Sudan wapinga ushirikiano wa jeshi la nchi hiyo na Saudia huko Yemen
Oct 27, 2017 00:41Wabunge wa Sudan wamepinga ushirikiano wa jeshi la nchi hiyo na Saudi Arabia katika kuwaua raia na Waislamu wa Yemen.
-
Sudan: Mienendo ya Marekani inagongana na kupingana
Oct 21, 2017 13:30Serikali ya Sudan imeeleza masikitiko yake kwa hatua ya Marekani kuwataka raia wake kuchukua tahadhari kufanya safari ndani ya nchi hiyo ya Afrika na imesema kuwa, mienendo ya Washington ni yenye kupingana.
-
Serikali ya Sudan yafunga mipaka kwa ajili ya kukusanya silaha
Oct 05, 2017 23:22Serikali ya Sudan imefunga mipaka ya nchi hiyo katika utekelezaji wa mpango wa kukusanya silaha na imewataka raia wa nchi hiyo kuisaidia katika mchakato huo.
-
Wanajeshi vamizi wa Sudan wapata pigo, mamia wauawa nchini Yemen + Picha
Oct 01, 2017 00:29Toleo la mtandaoni la gazeti la al Akhbar la nchini Lebanon limetangaza habari ya kushindwa vibaya wanajeshi vamizi wa Sudan nchini Yemen. Kwa upande wake, mtandao wa habari wa Yemen Press umeandika kuwa, zaidi ya wanajeshi 400 wa Sudan wameshauawa hadi hivi sasa huko Yemen.
-
Mamia ya mamluki wa Saudia raia wa Sudan wauawa Yemen
Sep 28, 2017 10:47Mkuu wa Kikosi cha Sudan kinachoshirikiana na muungano wa Saudi Arabia dhidi ya Yemen amesema mamia ya mamluki wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wameuawa katika uvamizi wa muungano huo dhidi ya nchi hiyo maskini ya Kiarabu.
-
19 wauawa katika mapigano kwenye mpaka wa Sudan na Libya
Sep 23, 2017 01:04Habari kutoka nchini Sudan zinasema kuwa, watu 19 wameuawa katika mapigano yaliyotokea kwenye maeneo ya mpaka wa nchi hiyo na Libya.
-
Sudan yaitaka Marekani iondoe vikwazo dhidi yake
Sep 19, 2017 03:15Rais wa Sudan ametaka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi yake.
-
Jeshi la Sudan lakanusha kushambulia waasi katika jimbo la Blue Nile
Sep 17, 2017 09:25Jeshi la Sudan limekanusha kushambulia eneo la waasi katika jimbo la Blue Nile.
-
Sudan yaitupa mkono Saudia, sasa yakusudia kuimarisha zaidi mahusiano na Qatar
Sep 15, 2017 23:02Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan ameeleza kuwepo mazungumzo kati ya Sudan na Qatar kwa ajili ya kupanua zaidi mahusiano ya pande mbili.
-
Sudan yajiunga na nchi zilizosusia kikao cha Togo cha utawala wa Kizayuni na Afrika
Sep 06, 2017 11:50Makamu wa Rais wa Sudan ametangaza kuwa kutokana na kufungamana na malengo matukufu ya taifa la Palestina, nchi hiyo imesusia kushiriki kikao cha pamoja cha utawala wa Kizayuni wa Israel na nchi za Afrika kilichopangwa kufanyika nchini Togo.