Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Ijumaa, 14 Juni, 2024

    Ijumaa, 14 Juni, 2024

    Jun 13, 2024 22:43

    Leo ni Ijumaa tarehe 7 Mfunguo Tatu Dhul-Hijja 1445 Hijria mwafaka na tarehe 14 Juni 2024 Miladia.

  • Iran yashtushwa na kushtadi vita vya wenyewe kwa wenyewe Sudan

    Iran yashtushwa na kushtadi vita vya wenyewe kwa wenyewe Sudan

    Jun 12, 2024 22:57

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa ameshtushwa na ripoti za kuogofya kuhusu idadi kubwa ya watu waliouawa kutokana na shambulio lililolenga kijiji cha Wad al-Nura katika jimbo la al-Jazeera nchini Sudan.

  • Rais wa Afrika Kusini: ANC itaunda serikali ya umoja wa kitaifa

    Rais wa Afrika Kusini: ANC itaunda serikali ya umoja wa kitaifa

    Jun 08, 2024 00:38

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametangaza kuwa chama tawala cha African National Congress (ANC) kimekubali kuunda serikali ya umoja wa kitaifa baada ya kupoteza wingi wa kura katika uchaguzi wa wiki iliyopita.

  • Mapigano mapya yaripotiwa katika maeneo kadhaa ya Sudan

    Mapigano mapya yaripotiwa katika maeneo kadhaa ya Sudan

    Jun 03, 2024 07:57

    Watu kadhaa wanahofiwa kuuawa na kujeruhiwa baada ya kuzuka mapigano mapya kati ya Jeshi la Sudan (SAF) na kundi la waasi wanaojulikana kama Kikosi cha Usaidizi wa Haraka (RSF) katika maeneo tofauti ya Sudan.

  • Jeshi la Sudan lapuuzilia mbali mwito wa Marekani

    Jeshi la Sudan lapuuzilia mbali mwito wa Marekani

    May 30, 2024 03:35

    Jeshi la Sudan limepinga mwito wa Marekani wa kurejea kwenye meza ya mazungumzo kati ya jeshi hilo na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).

  • Watu 120 wameuawa mjini el-Fasher, Sudan ndani ya wiki 2

    Watu 120 wameuawa mjini el-Fasher, Sudan ndani ya wiki 2

    May 26, 2024 22:49

    Kwa akali watu 123 wameuawa katika kipindi cha wiki mbili zilizopita katika mapigano yanayoendelea kushuhudiwa katika mji wa el-Fasher, jimboni Darfur, magharibi mwa Sudan.

  • UN: Kuna wasiwasi juu ya ongezeka la machafuko huko El Fasher, magharibi mwa Sudan

    UN: Kuna wasiwasi juu ya ongezeka la machafuko huko El Fasher, magharibi mwa Sudan

    May 17, 2024 11:47

    Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, amesema leo Ijumaa kwamba "ameshtushwa" na ongezeko la ghasia karibu na mji wa El Fasher huko magharibi mwa Sudan.

  • Guterres abainisha wasiwasi wake mkubwa kuhusu mapigano katika mji wa El Fasher, Sudan

    Guterres abainisha wasiwasi wake mkubwa kuhusu mapigano katika mji wa El Fasher, Sudan

    May 14, 2024 02:33

    Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa Antonio Guterres ana wasiwasi mkubwa kufuatia mapigano ya karibuni kati ya jeshi la Sudan na wanamgambo wapinzani katika mji muhimu wa Darfur wa El-Fasher nchini humo.

  • Mapigano mapya yaripotiwa baina ya jeshi la Sudan na RSF huko Darfur

    Mapigano mapya yaripotiwa baina ya jeshi la Sudan na RSF huko Darfur

    May 11, 2024 04:28

    Wimbi jipya la mapigano limeripotiwa kuanza baina ya wanajeshi wa Sudan na wapiganaji wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka RSF katika jimbo la Darfur, magharibi mwa nchi hiyo.

  • Shirika la kimataifa la usalama wa chakula: Sudan inahitaji hatua za haraka kukabiliana na njaa

    Shirika la kimataifa la usalama wa chakula: Sudan inahitaji hatua za haraka kukabiliana na njaa

    Mar 30, 2024 03:51

    Shirika la usalama wa chakula duniani linaloungwa mkono na Umoja wa Mataifa (IPC) lilionya jana Ijumaa kuhusu haja ya kuchukuliwa hatua za haraka "kuzuia kushamiri vifo, kuporomoka kabisa kwa njia za kujipatia riziki na kuepusha janga la njaa nchini Sudan."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS