-
Ijumaa, 14 Juni, 2024
Jun 13, 2024 22:43Leo ni Ijumaa tarehe 7 Mfunguo Tatu Dhul-Hijja 1445 Hijria mwafaka na tarehe 14 Juni 2024 Miladia.
-
Iran yashtushwa na kushtadi vita vya wenyewe kwa wenyewe Sudan
Jun 12, 2024 22:57Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa ameshtushwa na ripoti za kuogofya kuhusu idadi kubwa ya watu waliouawa kutokana na shambulio lililolenga kijiji cha Wad al-Nura katika jimbo la al-Jazeera nchini Sudan.
-
Rais wa Afrika Kusini: ANC itaunda serikali ya umoja wa kitaifa
Jun 08, 2024 00:38Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametangaza kuwa chama tawala cha African National Congress (ANC) kimekubali kuunda serikali ya umoja wa kitaifa baada ya kupoteza wingi wa kura katika uchaguzi wa wiki iliyopita.
-
Mapigano mapya yaripotiwa katika maeneo kadhaa ya Sudan
Jun 03, 2024 07:57Watu kadhaa wanahofiwa kuuawa na kujeruhiwa baada ya kuzuka mapigano mapya kati ya Jeshi la Sudan (SAF) na kundi la waasi wanaojulikana kama Kikosi cha Usaidizi wa Haraka (RSF) katika maeneo tofauti ya Sudan.
-
Jeshi la Sudan lapuuzilia mbali mwito wa Marekani
May 30, 2024 03:35Jeshi la Sudan limepinga mwito wa Marekani wa kurejea kwenye meza ya mazungumzo kati ya jeshi hilo na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).
-
Watu 120 wameuawa mjini el-Fasher, Sudan ndani ya wiki 2
May 26, 2024 22:49Kwa akali watu 123 wameuawa katika kipindi cha wiki mbili zilizopita katika mapigano yanayoendelea kushuhudiwa katika mji wa el-Fasher, jimboni Darfur, magharibi mwa Sudan.
-
UN: Kuna wasiwasi juu ya ongezeka la machafuko huko El Fasher, magharibi mwa Sudan
May 17, 2024 11:47Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, amesema leo Ijumaa kwamba "ameshtushwa" na ongezeko la ghasia karibu na mji wa El Fasher huko magharibi mwa Sudan.
-
Guterres abainisha wasiwasi wake mkubwa kuhusu mapigano katika mji wa El Fasher, Sudan
May 14, 2024 02:33Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa Antonio Guterres ana wasiwasi mkubwa kufuatia mapigano ya karibuni kati ya jeshi la Sudan na wanamgambo wapinzani katika mji muhimu wa Darfur wa El-Fasher nchini humo.
-
Mapigano mapya yaripotiwa baina ya jeshi la Sudan na RSF huko Darfur
May 11, 2024 04:28Wimbi jipya la mapigano limeripotiwa kuanza baina ya wanajeshi wa Sudan na wapiganaji wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka RSF katika jimbo la Darfur, magharibi mwa nchi hiyo.
-
Shirika la kimataifa la usalama wa chakula: Sudan inahitaji hatua za haraka kukabiliana na njaa
Mar 30, 2024 03:51Shirika la usalama wa chakula duniani linaloungwa mkono na Umoja wa Mataifa (IPC) lilionya jana Ijumaa kuhusu haja ya kuchukuliwa hatua za haraka "kuzuia kushamiri vifo, kuporomoka kabisa kwa njia za kujipatia riziki na kuepusha janga la njaa nchini Sudan."