-
Chama kingine cha upinzani Sudan chapinga mwenendo wa kuanzisha uhusiano na Israel
Aug 22, 2020 19:33Chama cha Kimomunisti cha Sudan (Sudanese Communist Party) kimetangaza kuwa, kinapinga mpango wowote ule wa kutaka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
-
Sudan yakanusha taarifa kuhusu mazungumzo na Israel
Aug 19, 2020 03:36Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imekanusha kauli aliyoitoa msemaji wake kuhusu mawasiliano kati ya Sudan na utawala bandia wa Israel kwa ajili ya kusaini makubaliano ya amani.
-
Serikali ya Sudan kutia saini mapatano ya amani na waasi
Aug 18, 2020 10:07Serikali ya Sudan itatia saini mapatano ya amani na makundi ya waasi nchini humo tarehe 28 Agosti kufuatia upatanishi na nchi jirani ya Sudan Kusini.
-
Watu 63 wafariki dunia baada ya mvua kubwa kunyesha Sudan
Aug 17, 2020 00:04Viongozi wa Sudan wametangaza kuwa watu 63 wameaga dunia nchini humo baada ya kuathiriwa na mvua kubwa zilizoanza kunyesha mwishoni mwa mwezi Julai hadi sasa.
-
Kwa akali watu 81 wameuawa katika mapigano Sudan Kusini
Aug 12, 2020 03:30Kwa akali watu wasiopungua 81 wameuawa Sudan Kusini na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia mapigano yaliyozuka kati ya vikosi vya usalama na wanamgambo katika moja ya majimbo ya nchi hiyo.
-
Kuendelea mgogoro wa Bwawa la al-Nahdha; kukataa Sudan kurejea katika mazungumzo
Aug 11, 2020 05:20Mgogoro kuhusiana na Bwawa la al-Nahdha ungali unaendelea na katika hali ambayo, Ethiopia imetekeleza hatua ya awali ya ujazaji maji katika bwawa hilo, Sudan na Misri zimekataa kuendelea na mazungumzo ya pande tatu kwa ajili ya kufikia makubaliano na serikali ya Addis Ababa.
-
Machafuko yatanda katika mji wa Port Sudan kutokana na hitilafu za kikabila
Aug 10, 2020 05:20Gavana wa jimbo la Bahrul Ahmar nchini Sudan amepiga marufuku watu kutembea katika baadhi ya mji wa Port Sudan ambao ni wa pili kwa ukubwa nchini Sudan kutokana na ghasia zilizotokana na hitilafu za kikabila ambazo zimesababisha mauaji ya watu kadhaa na kujeruhi makumi ya wengine.
-
Sudan yakataa kurejea katika mazungumzo kuhusu mzozo wa Bwawa la al-Nahdha
Aug 10, 2020 00:08Serikali ya Sudan imetangaza kukataa kurejea katika meza ya mazungumzo kuhusu mzozo wa Bwawa la al-Nahdha.
-
Kiongozi wa Baraza la Uongozi la Sudan afichua njama ya kutaka kumuuwa
Jul 28, 2020 22:31Naibu Mkuu wa Baraza la Uongozi la Sudan ametangaza kuwa panden kadhaa nchini humo zimetishia kumuuwa.
-
Misri na Sudan zapinga hatua ya upande mmoja ya Ethiopia ya kuanza kutumia maji ya bwawa la Renaissance
Jul 28, 2020 22:02Misri na Sudan zimesema, hazikubaliani na hatua ya upande mmoja iliyochukuliwa na Ethiopia ya kutekeleza awamu ya kwanza ya utumiaji wa maji ya bwawa la Renaissance.