Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Sudan inahitaji dola bilioni 5 kusaidia bajeti ya nchi

    Sudan inahitaji dola bilioni 5 kusaidia bajeti ya nchi

    Nov 08, 2019 23:44

    Waziri wa Fedha wa Sudan amesema kuwa nchi hiyo inahitaji kiasi cha dola zipatazo bilioni 5 ili kusaidia bajeti ya nchi na hivyo kuzuia kuporomoka uchumi wa nchi na kusaidia kutekelezwa marekebisho mbalimbali baada ya kupinduliwa mtawala wa zamani wa nchi hiyo, Omar al Bashir.

  • Sudan yazindua satalaiti yake ya kwanza iliyounda kwa ushirikiano na China

    Sudan yazindua satalaiti yake ya kwanza iliyounda kwa ushirikiano na China

    Nov 06, 2019 11:56

    Sudan imezindua kwa kurusha angani satalaiti yake ya kwanza itakayoshughulika na utafiti wa kijeshi, kiuchumi na wa tekonolojia ya anga za mbali. Akizungumza katika kikao na maafisa waandamizi wa usalama, mkuu wa Baraza Kuu la Utawala la Sudan Jenerali Abdel Fattah al-Burhan ametangaza kuwa, satalaiti hiyo imetengezwa kwa ushirikiano na Jamhuri ya Watu wa China.

  • Njama za Saudia na Imarati za kusambaratisha mapinduzi ya Sudan zalalamikiwa

    Njama za Saudia na Imarati za kusambaratisha mapinduzi ya Sudan zalalamikiwa

    Nov 02, 2019 23:03

    Chama cha Kikomonisti cha Sudan kimezituhumu Saudi Arabia na Imarati kwamba, zinafanya njama za kusambaratisha mapinduzi ya wananchi wa nchi hiyo yaliyomuondoa madarakani aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Omar Hassan al-Bashir.

  • Baraza la Usalama la UN laafiki kurefushwa muda wa kuhudumu UNAMID katika eneo la Darfur, Sudan

    Baraza la Usalama la UN laafiki kurefushwa muda wa kuhudumu UNAMID katika eneo la Darfur, Sudan

    Nov 01, 2019 03:49

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeafiki kurefushwa muda wa kuhudumu kikosi cha pamoja cha askari wa kulinda amani wa umoja huo na wale wa Umoja wa Afrika kinachojulikana kama UNAMID katika eneo la Darfur, magharibi mwa Sudan.

  • Askari elfu 10 wa Sudan waondoka Yemen

    Askari elfu 10 wa Sudan waondoka Yemen

    Oct 31, 2019 07:04

    Naibu Mkuu wa Baraza la Utawala wa Mpito nchini Sudan amesema kuwa askari elfu 10 wa nchi hiyo wameondoka nchini Yemen.

  • Al Bashir abambwa akiwa na simu ya kisasa ndani ya jela Sudan

    Al Bashir abambwa akiwa na simu ya kisasa ndani ya jela Sudan

    Oct 27, 2019 04:03

    Kugunduliwa simu ya kisasa ya rais aliyeondolewa madarakani na wananchi wa Sudan akiwa katika jela kumezusha malalamiko makubwa nchini humo.

  • Maelfu waandamana Sudan wakitaka kuvunjwa chama cha al-Bashir

    Maelfu waandamana Sudan wakitaka kuvunjwa chama cha al-Bashir

    Oct 22, 2019 04:36

    Maelfu ya wananchi wa Sudan wamejitokeza mabarabarani katika maandamano ya kushinikiza kuvunjiliwa mbali kilichokuwa chama tawala nchini humo.

  • Sudan yasema waasi wa Darfur wamekiuka mapatano ya amani

    Sudan yasema waasi wa Darfur wamekiuka mapatano ya amani

    Oct 21, 2019 04:45

    Jeshi la Sudan limesema kundi la waasi la SLM limekiuka mapatano ya kusitisha vita yaliyotangazwa baina ya pande hasimu nchini humo.

  • Mazungumzo ya serikali ya Sudan na waasi yaanza Juba

    Mazungumzo ya serikali ya Sudan na waasi yaanza Juba

    Oct 15, 2019 09:44

    Wawakilishi wa serikali ya Sudan na viongozi wa makundi ya waasi wanaendeleza mazungumzo katika mji mkuu wa Sudan Kusini, Juba.

  • Sadiq al-Mahdi: Serikali ya Mpito ya Sudan inakabiliwa na changamoto ambazo huenda zikaisambaratisha

    Sadiq al-Mahdi: Serikali ya Mpito ya Sudan inakabiliwa na changamoto ambazo huenda zikaisambaratisha

    Oct 12, 2019 22:55

    Sadiq al-Mahdi, kiongozi wa Hizb al-Umma al-Qawmmy amesema kuwa, Serikali ya Mpito ya Sudan inakabiliwa na changamoto ambazo kama itashindwa kuzipatia ufumbuzi basi itakuwa imejichimbia kaburi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS