Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Viongozi watatu wa upinzani nchini Sudan watiwa mbaroni baada ya kukutana na Abiy Ahmed

    Viongozi watatu wa upinzani nchini Sudan watiwa mbaroni baada ya kukutana na Abiy Ahmed

    Jun 08, 2019 23:01

    Jeshi la Sudan limewatia mbaroni viongozi watatu wa upinzani muda mfupi baada ya viongozi hao kukutana na Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed.

  • Wapinzani Sudan wakubali kwa masharti Ethiopia kuwa mpatanishi

    Wapinzani Sudan wakubali kwa masharti Ethiopia kuwa mpatanishi

    Jun 08, 2019 02:12

    Muungano wa upinzani nchini Sudan umeafiki kuwa Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed awe mpatanishi baina yao na Baraza la Mpito la Kijeshi ili kutatua mgogoro mkubwa wa kisiasa unaotokota nchini humo.

  • Middle East Eye: Shambulizi dhidi ya waandamanaji Sudan limefanyika kwa ruhusa ya Saudia

    Middle East Eye: Shambulizi dhidi ya waandamanaji Sudan limefanyika kwa ruhusa ya Saudia

    Jun 07, 2019 21:48

    Mtaalamu wa masuala ya kijeshi wa Sudan amekiambia kituo cha habari cha Middle East Eye cha Uingereza kwamba, Kiongozi wa Baraza la Kijeshi la Mpito huko Sudan Jenerali Abdel Fattah al Burhan aliidhinishwa na Saudi Arabia na waitifaki wake kufanya mashambulizi dhidi ya raia waliokuwa wamekusanyika na kufanya mgomo mbele ya makao makuu ya jeshi la nchi hiyo Jumatatu iliyopita ambalo liliua zaidi ya raia mia moja.

  • Kuongezeka mgogoro wa Sudan na mustkabali usiojulikana wa nchi hiyo

    Kuongezeka mgogoro wa Sudan na mustkabali usiojulikana wa nchi hiyo

    Jun 07, 2019 08:01

    Kufuatia kuongezeka mgogoro wa Sudan ambao umepelekea mamia ya wapinzani kuuawa na kujeruhiwa, Umoja wa Afrika umesimamisha kwa muda uanachama wa nchi hiyo hadi pale raia watakapokabidhiwa madaraka.

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia aelekea Sudan kupatanisha jeshi na raia

    Waziri Mkuu wa Ethiopia aelekea Sudan kupatanisha jeshi na raia

    Jun 07, 2019 02:47

    Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed leo anatazamiwa kuitembelea Sudan kwa lengo la kujaribu kuwapatanisha watawala wa kijeshi na makundi ya raia kufuatia kuendelea mgoggoro nchini humo baada ya Omar al Bashir kuondolewa madarakani.

  • Umoja wa Mataifa: Tunaondoa askari wetu wa kusimamia amani nchini Sudan

    Umoja wa Mataifa: Tunaondoa askari wetu wa kusimamia amani nchini Sudan

    Jun 06, 2019 22:37

    Kufuatia kuzorota hali ya usalama nchini Sudan, Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba utaondoa maafisa wake wasio wa kijeshi waliokuwa wakisimamia amani nchini humo.

  • Umoja wa Afrika wasimamisha uanachama wa Sudan katika jumuiya hiyo

    Umoja wa Afrika wasimamisha uanachama wa Sudan katika jumuiya hiyo

    Jun 06, 2019 07:47

    Umoja wa Afrika AU umechukua uamuzi wa kusimamisha uanachama wa Sudan katika jumuiya hiyo kubwa zaidi barani Afrika mpaka pale Baraza la Kijeshi litakapokabidhi madaraka ya nchi kwa utawala wa kiraia.

  • Waandamanaji waliouawa na maafisa usalama Sudan wapindukia 108

    Waandamanaji waliouawa na maafisa usalama Sudan wapindukia 108

    Jun 06, 2019 02:07

    Idadi ya watu waliouawa katika wimbi jipya la ukatili na utumiaji wa nguvu kupita kisiasa wa maafisa usalama wa Sudan dhidi ya waandamanaji wanaotaka kukabidhiwa madaraka kwa utawala wa kiraia imepindukia watu 100.

  • Wapinzani Sudan wazitaka Saudia, Misri na Imarati ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi yao

    Wapinzani Sudan wazitaka Saudia, Misri na Imarati ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi yao

    Jun 05, 2019 07:29

    Wapinzani wa utawala wa kijeshi nchini Sudan wamezitaka badhi ya nchi za Saudi Arabia, Imarati na Misri ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo.

  • Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lafanya kikao cha dharura kujadili mgogoro wa Sudan

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lafanya kikao cha dharura kujadili mgogoro wa Sudan

    Jun 05, 2019 03:37

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limefanya kikao cha dharura na kisicho cha wazi kujadili hali ya mambo nchini Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS