Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Wasudan waendeleza malalamiko ya umma

    Wasudan waendeleza malalamiko ya umma

    May 30, 2019 02:19

    Migomo ya umma imeanza tena nchini Sudan baada ya kushindwa mazungumzo baina ya wapinzani na Baraza la Kijeshi linalotawala nchi hiyo.

  • Wananchi wa Sudan walizuia ndege ya Saudia kupaa katika uwanja wa ndege wa Khartoum

    Wananchi wa Sudan walizuia ndege ya Saudia kupaa katika uwanja wa ndege wa Khartoum

    May 29, 2019 23:55

    Wananchi wenye hasira kali walizuia ndege ya Saudi Arabia kupaa katika uwanja wa ndege wa Khartoum, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Mgomo wa nchi nzima waanza Sudan kulishinikiza baraza la kijeshi

    Mgomo wa nchi nzima waanza Sudan kulishinikiza baraza la kijeshi

    May 28, 2019 09:14

    Wananchi wa Sudan wameanza mgomo wao wa nchi nzima kwa lengo la kulishinikiza baraza la kijeshi la uongozi wa mpito kukabidhi madaraka kwa utawala wa kiraia haraka iwezekanavyo.

  • Mkuu wa Baraza la Mpito la Sudan aonana na rais wa Sudan Kusini

    Mkuu wa Baraza la Mpito la Sudan aonana na rais wa Sudan Kusini

    May 28, 2019 03:29

    Mkuu wa Baraza la Kijeshi la Mpito la Sudan ameonana na Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini katika kikao cha faragha.

  • Wapinzani nchini Sudan watofautiana juu ya mgomo wa nchi nzima

    Wapinzani nchini Sudan watofautiana juu ya mgomo wa nchi nzima

    May 26, 2019 23:55

    Muungano mkuu wa upinzani nchini Sudan umepinga mwito wa baadhi ya makundi ya wapinzani wa kufanyika mgomo wa nchi nzima kuanzia Jumanne ijayo, baada ya mazungumzo ya kutatua hitilafu zilizopo baina yao na Baraza la Mpito la Kijeshi kushindwa kuzaa matunda.

  • Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri aliunga mkono Baraza la Kijeshi la Sudan

    Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri aliunga mkono Baraza la Kijeshi la Sudan

    May 26, 2019 06:49

    Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri ametangaza uungaji mkono wake kwa Baraza la Kijeshi ambalo liliundwa baada ya kufanya mapinduzi ya kijeshi dhidi ya Rais Omar al-Bashir wa Sudan.

  • Mgomo wa nchi nzima wa wapinzani nchini Sudan kufanyika wiki ijayo

    Mgomo wa nchi nzima wa wapinzani nchini Sudan kufanyika wiki ijayo

    May 25, 2019 02:38

    Viongozi wa upinzani nchini Sudan wametangaza Jumanne ya wiki ijayo kuwa siku ya kuanza mgomo wa nchi nzima, baada ya mazungumzo ya kutatua hitilafu zilizopo baina yao na Baraza la Mpito la Kijeshi kushindwa kuzaa matunda.

  • Rais Kiir wa Sudan Kusini ataka wapinzani kutekeleza mapatano ya amani

    Rais Kiir wa Sudan Kusini ataka wapinzani kutekeleza mapatano ya amani

    May 24, 2019 03:39

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amewataka viongozi wote wa upinzani kuchukua hatua za kivitendo katika kutekeleza makubaliano ya amani, ili kurejesha matumaini na matarajio ya wananchi.

  • Wapinzani Sudan waitisha mgomo wa nchi nzima, wasema mazungumzo yamefeli

    Wapinzani Sudan waitisha mgomo wa nchi nzima, wasema mazungumzo yamefeli

    May 21, 2019 09:00

    Viongozi wa upinzani nchini Sudan wametoa mwito wa kufanyika mgomo wa nchi nzima, wakisisitiza kuwa vikao viwili vya mazungumzo vya juzi na jana jioni vimeshindwa kupatia ufumbuzi hitilafu zilizopo baina ya pande mbili.

  • Jeshi la Sudan kuanza tena mazungumzo na waandamanaji

    Jeshi la Sudan kuanza tena mazungumzo na waandamanaji

    May 19, 2019 03:26

    Baraza la Kijeshi linaloshikilia madaraka kwa muda nchini Sudan limetangaza kuwa mazungumzo na viongozi wa waandamanaji yataanza tena ili kutatua hitilafu zilizopo baina ya pande mbili kuhusu utawala wa mpito kabla ya kufanyika uchaguzi wa demokrasia nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS