-
Watu wengine 5 wauawa katika maandamano ya Sudan
Apr 08, 2019 03:27Kwa akali watu watano wameuawa na maafisa usalama ndani ya masaa 48 yaliyopita, huku maandamano ya kumtaka Rais Omar al Bashir ajiuzulu yakichachamaa nchini Sudan.
-
Maelefu waandamana nje ya nyumba ya Rais Bashir wa Sudan
Apr 07, 2019 23:36Maelfu ya Wasudan jana kwa siku ya pili mfululizo wameendeleza maandamano yao nje ya nyumba ya Rais Omar al Bashir wa nchi hiyo katika eneo la kati mwa Sudan.
-
Watu 60 wameuawa katika ghasia na maandamano nchini Sudan
Apr 07, 2019 02:42Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Physicians for Human Rights limesema kuwa, watu wasiopungua 60 wameuliwa na maafisa usalama nchini Sudan katika kipindi cha miezi mitatu ya ghasia na maandamano dhidi ya serikali.
-
Kiongozi wa upinzani Sudan amtaka Rais Bashir ajiuzulu
Apr 06, 2019 03:20Kiongozi wa kambi ya upinzani nchini Sudan amemtaka Rais Omar Hassan al-Bashir wa nchi hiyo ajiuzulu.
-
Maandamano yaendelea Sudan, polisi wapambana na waandamanaji
Apr 04, 2019 10:24Polisi ya Sudan imekabiliana na waandamanaji waliokuwa wakiandamana dhidi ya serikali katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum na maeneo ya kando kando na mji mkuu huo.
-
Rais wa Sudan: Matakwa ya wananchi wanaoandamana ni halali
Apr 01, 2019 20:24Rais Omar al Bashir wa Sudan amekiri kuwa matakwa yanayoshinikizwa na wananchi wa nchi hiyo ambao wamekuwa wakishiriki maandamano dhidi ya serikali kwa miezi kadhaa sasa ni halali.
-
Waziri: Hakuna mgogoro wa kisiasa Sudan, yaliyoko ni matatizo ya kiuchumi
Mar 26, 2019 03:05Waziri wa Habari wa Sudan amesema hakuna mgogoro wa kisiasa katika nchi hiyo, bali kinachoshuhudiwa ni changamoto za kiuchumi.
-
Makumi ya wanahabari waandamana Sudan kulalamikia ukandamizaji wa al-Bashir
Mar 25, 2019 09:57Makumi ya wanahabari wameandamana leo katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum wakitaka kuachiliwa huru Osman Mirghani, Mhariri Mkuu wa gazeti mashuhuri la al-Tayar na kulalamikia ukandamizaji wa vyombo vya usalama dhidi ya waandamanaji.
-
Watoto 10 wapoteza maisha katika mlipuko Omdurman, Sudan
Mar 24, 2019 19:43Watoto wasipungua 10 wamepoteza maisha baada ya chombo kisichojulikana kulipuka katika mji wa Omdurman karibu na mji mkuu wa Sudan, Khartoum.
-
Maelfu ya watu wanahitaji kuokolewa Msumbiji baada ya kimbunga cha Idai
Mar 22, 2019 03:47Habari kutoka nchini Msumbiji zinasema kuwa, watu zaidi ya 15,000 wanahitaji kuokolewa haraka na kupewa hifadhi kufuatia kimbunga cha Idai kilichotokea hivi karibuni nchini humo na kusababisha vifo vya mamia ya watu.