-
Sudan inapanga kujitoa kwenye muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudia dhidi ya Yemen
Nov 28, 2018 13:06Duru za kidiplomasia zimeripoti kuwa, umejitokeza mvutano kati ya Saudi Arabia na Sudan kutokana na kubadilika misimamo ya pande mbili juu ya suala la kuendelezwa hujuma na mashambulio ya kijeshi dhidi ya Yemen.
-
Sudan na Misri zaafiki doria ya pamoja mpakani kukabiliana na ugaidi
Nov 26, 2018 04:47Sudan na Misri zimekubaliana kulinda doria ya pamoja katika mpaka kati yao na kuzindua kikosi cha pamoja katika siku za baadaye ili kupambana na ugaidi.
-
Wafanya magendo ya binadamu wawaachia huru mateka 84 mashariki mwa Sudan
Nov 19, 2018 04:29Maafisa husika wa Sudan wameripoti kuwa mateka 84 raia wa kigeni wakiwemo wanawake 51 wameachiwa huru na kundi moja la magendo ya binadamu katika mkoa wa Kassala mashariki mwa nchi hiyo.
-
Kiir kuwa mpatanishi baina ya serikali ya Sudan na waasi wa Darfur
Nov 04, 2018 08:55Serikali ya Sudan imetangaza kuwa, Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini atakuwa mpatanishi katika mazungumzo ya amani baina ya Khartoum na waasi wa eneo la Darfur.
-
UN: Sudan inapasa kuwashtaki wahusika wa jinai za Darfur
Nov 02, 2018 23:25Umoja wa Mataifa umeitaka Sudan kuwafungulia mashtaka askari jeshi waliohusika na mashambulizi jimboni Darfu magharibi mwa nchi hiyo kuanzia mwaka 2014 hadi 2016.
-
Sudan yaondoa marufuku ya uingizaji mazao ya kilimo kutoka Misri
Oct 26, 2018 04:41Rais Omar al Bashir wa Sudan jana alitoa dikrii na kuondoa marufuku ya miezi 17 ya kuzuia kuingizwa nchini humo mazao ya kilimo kutoka Misri.
-
Bunge la Sudan Kusini lapasisha hati ya makubaliano ya amani ya Salva Kiir na Riek Machar
Oct 19, 2018 00:43Bunge la Sudan Kusini limepasisha hati ya makubaliano ya amani iliyotiwa saini takribani mwezi mmoja uliopita kati ya serikali ya Rais wa nchi hiyo Salva Kiir na waasi wanaoongozwa na Riek Machar.
-
UN yaongeza 'muda wa mwisho' wa kuhudumu kikosi chake Abyei
Oct 12, 2018 04:00Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kuongezewa muda wa kuhudumu kikosi chake cha kulinda amani katika eneo la Abyei, lililoko kwenye mpaka wa Sudan na Sudan Kusini.
-
Al Bashir asisitiza kufungamana na mchakato wa amani Sudan
Oct 10, 2018 22:59Rais wa Sudan amesisitiza kuwa nchi yake inafungamana na kukamilishwa mchakato wa amani nchini humo kabla ya kumalizika mwaka huu wa 2018.
-
Al Bashir: Eneo la Halayeb ni milki ya Sudan
Sep 30, 2018 10:38Rais wa Sudan amesema tena kwamba eneo linalogombaniwa la Halayeb ni milki ya nchi yake na kwamba Khartoum inazo nyaraka za kihistoria zinazothibitisha madai hayo.