Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Maandamano ya wapinzani yaendelea nchini Sudan

    Maandamano ya wapinzani yaendelea nchini Sudan

    Dec 24, 2018 04:32

    Wananchi wa Sudan wanaendelea na maandamano yao ya kulalamikia hali mbaya ya kiuchumi nchini mwao.

  • Maandamano Sudan, sababu na mustakabali

    Maandamano Sudan, sababu na mustakabali

    Dec 23, 2018 08:52

    Katika siku za hivi karibuni wananchi wa Sudan wamejitokeza mitaani na kuandamana kutokana na ughali wa mkate nchini humo na sasa malengo ya maandamano hayo yamebadilika na kuwa ya matakwa jumla ya mabadiliko ya kiuchumi na kisiasa.

  • Jeshi la Sudan laamrishwa kuingilia kati, serikali yaapa kukabiliana na machafuko

    Jeshi la Sudan laamrishwa kuingilia kati, serikali yaapa kukabiliana na machafuko

    Dec 23, 2018 08:38

    Jeshi la Sudan limetakiwa kuingia uwanjani kwa ajili ya kukabiliana na maandamano yanayopinga serikali ya Rais Omar al Bashir yanayoendelea kwa siku kadhaa sasa katika miji mbalimbali ya nchi hiyo.

  • Wapinzani: Waliouawa katika 'maandamano ya mkate' Sudan ni 22

    Wapinzani: Waliouawa katika 'maandamano ya mkate' Sudan ni 22

    Dec 23, 2018 03:53

    Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Sudan, Sadiq al-Mahdi amedai kuwa watu waliouawa na maafisa usalama katika maandamano ya kulalamikia kupanda kwa bei za bidhaa muhimu kama mkate na hali mbaya ya uchumi ni 22.

  • Mtu mwingine auawa katika ghasia Sudan, Khartoum yasema Israel inachochea machafuko

    Mtu mwingine auawa katika ghasia Sudan, Khartoum yasema Israel inachochea machafuko

    Dec 22, 2018 12:07

    Mkuu wa taasisi ya upelelezi ya Sudan amesema kuwa waasi wenye uhusiano na utawala haramu wa Israel ndio wanaochochea maandamano yanayoendelea kwa siku kadhaa katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ambayo yamesababisha kifo cha mtu mmoja jana baada ya mauaji ya waandamanaji wengine wasiopungua 8 siku kadhaa zilizopita.

  • Wasudan 8 wauawa katika machafuko ya kupinga hali mbaya ya uchumi

    Wasudan 8 wauawa katika machafuko ya kupinga hali mbaya ya uchumi

    Dec 21, 2018 00:23

    Wasudan wasiopungua 8 wameuawa katika ghasia na maandamano ya wananchi ya kupinga hali mbaya ya kiuchumi, ughali wa bidhaa na maisha magumu nchini humo.

  • Maandamano makubwa ya kupinga mfumuko wa bei yafanyika Sudan

    Maandamano makubwa ya kupinga mfumuko wa bei yafanyika Sudan

    Dec 17, 2018 10:01

    Maandamano makubwa ya kulalamikia mfumuko wa bei yamefanyika katika miji kadhaa ya Sudan ambapo waandamaji wakiwa wabeba mabango na maberamu wamepiga nara dhidi ya serikali ya Khartoum.

  • Rais wa Sudan awa kiongozi wa mwanzo wa Arab League kuitembelea Syria miaka 8 tangu vilipoanza vita

    Rais wa Sudan awa kiongozi wa mwanzo wa Arab League kuitembelea Syria miaka 8 tangu vilipoanza vita

    Dec 17, 2018 00:36

    Rais Omar al-Bashir wa Sudan amefanya safari nchini Syria na kuwa kiongozi wa kwanza wa nchi mwanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kuitembelea nchi hiyo tangu ulipoanza mgogoro wa ndani miaka minane iliyopita.

  • Bunge la Sudan launga mkono marekebisho ya sheria za uchaguzi, al Bashir kugombea tena

    Bunge la Sudan launga mkono marekebisho ya sheria za uchaguzi, al Bashir kugombea tena

    Dec 05, 2018 04:39

    Kiongozi wa muda mrefu wa Sudan, Omar Hassan al Bashir anakaribia kupata idhini ya kugombea tena kiti cha rais wa nchi hiyo baada ya wawakilishi wa Bunge la nchi hiyo kuunga mkono pendekezo la kufanyika marekebisho ya sheria za uchaguzi.

  • Sudan inapanga kujitoa kwenye muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudia dhidi ya Yemen

    Sudan inapanga kujitoa kwenye muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudia dhidi ya Yemen

    Nov 28, 2018 13:06

    Duru za kidiplomasia zimeripoti kuwa, umejitokeza mvutano kati ya Saudi Arabia na Sudan kutokana na kubadilika misimamo ya pande mbili juu ya suala la kuendelezwa hujuma na mashambulio ya kijeshi dhidi ya Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS