-
SAUTI, Marais Omar Al-Bashir wa Sudan na Yoweri Museven wa Uganda, wamelivalia njuga suala la Sudan Kusini
Jul 09, 2018 11:39Marais Omar al-Bashir wa Sudan na Yoweri Museven wa Uganda, wameongoza mazungumzo ya usuluhishi kuhusu mgogoro wa kisiasa nchini Sudan.
-
Jumatatu 9 Julai, 2018
Jul 09, 2018 00:18Leo ni Jumatatu tarehe 25 Shawwal 1439 Hijria sawa na 9 Julai 2018.
-
Riek Machar kurejeshwa katika nafasi ya Makamu wa Rais wa Sudan Kusini
Jul 08, 2018 03:15Pande hasimu Sudan Kusini zimeafiki kugawana madaraka kwa mujibu wa makubaliano yaliyofikiwa na pande hizo ambapo kwa mujibu wake kiongozi wa waasi nchini humo, Riek Machar atarejeshwa katika wadhifa wa Makamu wa Rais.
-
Serikali na waasi kuondoa vikosi vyao maeneo ya mijini Sudan Kusini
Jul 07, 2018 02:37Pande hasimu katika mgogoro wa Sudan Kusini zimeafiki pendekezo la kuviondoa vikosi vya wapiganaji wao katika maeneo ya mijini nchini humo.
-
Raia 18 wauawa katika machafuko mapya Sudan Kusini
Jul 03, 2018 11:11Watu wasiopungua 18 wameuawa katika machafuko mapya yaliyozuka nchini Sudan Kusini, baada ya kukiukwa makubaliano mapya ya amani yaliyosainiwa siku chache zilizopita katika nchi jirani ya Sudan.
-
Wabunge Sudan Kusini waanza kujadili suala la kuongezwa muhula wa urais na bunge
Jul 03, 2018 03:33Wawakilishi wa bunge nchini Sudan Kusini wameanza mchakato wa mazungumzo unaohusiana na pendekezo la kuifanyia katiba marekebisho yatakayopelekea kuongezwa muhula wa urais na bunge kufikia Julai 2021.
-
AU: Wakati wa kuchukua hatua Sudan Kusini umewadia
Jul 01, 2018 02:46Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema wakati umefika wa kuwachukulia hatua wahusika wanaochochea mgogoro nchini Sudan Kusini.
-
Mapatano ya usitishaji vita Sudan Kusini yakiukwa masaa machache baada ya kuidhinishwa
Jun 30, 2018 11:50Mapatano ya hivi karibuni ya usitishaji vita Sudan Kusini yamekiukwa masaa machache baada ya kuanza kutekelezwa huku pande zote mbili za serikali na upinzani zikirushiana lawama.
-
Salva Kiir atangaza usitishaji vita wa kudumu Sudan Kusini
Jun 29, 2018 23:38Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ametangaza usitishaji vita wa kudumu kote nchini humo.
-
Mahasimu wa kisiasa nchini Sudan Kusini wakubaliana kusitisha vita
Jun 26, 2018 21:44Mahasimu wawili wakubwa ambao ndio wahusika wakuu wa mgogoro wa miaka kadhaa sasa wa Sudan Kusini wameafikiana kusitisha mapigano huku wakikubaliana katika nukta nyingine kadhaa za kuhakikisha amani ya kudumu inapatikana nchini humo.