-
S/Kusini yabuni kamati ya kuanisha hatima ya majimbo 28
Jun 04, 2016 03:13Sudan Kusini imebuni kamati maalumu ya kuanisha hatima ya majimbo 18 ya ziada yaliyotangazwa mwishoni mwa mwaka uliopita 2015 na Rais Salva Kiir.
-
UN: Huenda Sudan Kusini ikawekewa vikwazo vipya
Jun 01, 2016 02:18Umoja wa Mataifa umesema Sudan Kusini ipo katika ncha ya kuwekewa vikwazo vipya na jamii ya kimataifa kutokana na mwendo wa kinyonga wa kutekeleza makubaliano ya amani yaliyofikiwa mwaka jana.
-
Umoja wa Ulaya walaani vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu Sudan Kusini
May 24, 2016 03:18Umoja wa Ulaya umelaani vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu katika nchi changa zaidi barani Afrika ya Sudan Kusini.
-
Umoja wa Ulaya walaani vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu Sudan Kusini
May 24, 2016 02:09Umoja wa Ulaya umelaani vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu katika nchi changa zaidi barani Afrika ya Sudan Kusini.
-
UN yaitaka Sudan Kusini itekeleze ahadi ya kufuatilia jinai za ukatili wa kingono
May 12, 2016 10:57Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Ukatili wa Kingono Katika Migogoro ameutaka uongozi mkuu wa serikali ya mpito ya umoja wa kitaifa ya Sudan Kusini utekeleze ahadi ulizotoa za kufuatilia jinai za ukatili wa kingono zilizofanywa nchini humo.
-
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa apongeza kuundwa serikali ya Umoja wa Kitaifa Sudan Kusini
Apr 29, 2016 23:39Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekaribisha kuundwa serikali ya عmoja wa نitaifa nchini Sudan Kusini baada ya Rais Salva Kiir wa nchi hiyo kuliapisha baraza jipya la mawaziri na kuzitaka pande husika zikamilishe hatua zote za kuunda taasisi za serikali hiyo ya mpito.
-
Misri yapongeza hatua ya Machar kurejea Juba kuunda serikali
Apr 28, 2016 23:39Serikali ya Misri imepongeza hatua ya Riek Machar, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini kurejea mjini Juba kwa ajili ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa na hasimu wake wa kisiasa Rais Salva Kiir.
-
Umoja wa Mataifa wapongeza hatua ya Machar kurejea Juba
Apr 27, 2016 10:06Umoja wa Mataifa umepongeza hatua ya Riek Machar, kiongozi wa upinzani wa Sudan Kusini kurejea katika mji mkuu wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika na kuunda serikali na Rais Salva Kiir.
-
Machar, Mkuu wa waasi Sudan Kusini aapishwa kuwa makamu wa rais
Apr 26, 2016 10:01Kiongozi wa waasi Sudan Kusini Riek Machar amewasili katika mji mkuu wa nchi hiyo, Juba na kuapishwa kuwa makamu wa rais wa nchi hiyo.