-
Israeli imetoa matibabu kwa magaidi 2,100 kutoka Syria
Apr 01, 2016 03:22Utawala wa Kizayuni wa Israel hadi sasa umetoa matibabu kwa magaidi zaidi ya 2,100 wanaopigana ndani ya Syria kuiangusha serikali halali ya nchi hiyo.
-
Bashar Assad aafiki uchaguzi wa mapema Syria
Mar 31, 2016 09:37Rais wa Syria ametangaza kuwa serikali ya nchi hiyo iko tayari kwa ajili ya kufanyika uchaguzi wa rais wa mapema.
-
Algeria kuendelea kuiunga mkono serikali ya Rais Bashar al Assad wa Syria
Mar 30, 2016 11:34Waziri Mkuu wa Algeria amesema kuwa, nchi yake itaendelea kuiunga mkono serikali halali iliyochaguliwa na wananchi ya Rais Bashar al Assad wa Syria.
-
Mwanzo wa kuangamizwa magaidi wa ISIS baada ya kukombolewa Palmyra
Mar 28, 2016 23:03Mafanikio ya kistratijia ya Jeshi la Syria katika kuukomboa kikamilifu mji wa kihistoria wa Tadmur au Palmyra ni jambo ambalo limezidi kumuimarisha Rais Bashar al Assad mbali na kuwa ni ujumbe kwa dunia kuwa, jeshi la Syria ndilo pekee linaloweza kuangamiza magaidi wa ISIS au Daesh nchini humo.
-
Mufti wa Syria: Tuliitahadharisha Ulaya kuhusu hatari ya ugaidi
Mar 28, 2016 08:31Mufti Mkuu wa Syria Sheikh Ahmad Badruddin Hassoun amesema nchi hiyo ilikwisha zitahadharisha hapo kabla nchi za Ulaya kuhusu hatari ya kupenya na kuenea ugaidi katika nchi hizo.
-
Ugaidi hauna mustakabali Mashariki ya Kati
Mar 28, 2016 02:39Afisa mwandamizi wa Iran amepongeza ushindi wa hivi karibuni wa jeshi la Syria dhidi ya magaidi wa ISIS (Daesh) katika mji wa Kihistoria wa Palmyra na kusema makundi ya kigaidi hayana mustakabali Mashariki ya Kati.
-
Rais Assad alipongeza jeshi la Syria kwa kuukomboa mji wa Palmyra
Mar 27, 2016 10:04Rais Bashar al-Assad wa Syria amelipongeza jeshi la nchi hiyo kwa kuukomboa mji wa kihistoria wa Palmyra kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.
-
Russia yatuma vikosi vya nchi kavu huko Syria
Mar 24, 2016 10:37Kamanda mmoja wa ngazi ya juu wa jeshi la Russia amesema kuwa nchi hiyo imetuma huko Syria kikosi maalumu kwa ajili ya kufanya oparesheni ya upelelezi na kazi nyingine maalumu nchini humo.
-
Kugubikwa na wingu zito la hitilafu mazungumzo ya Syria Geneva
Mar 22, 2016 02:24Huku wiki moja ikiwa imepita katika muda uliowekwa wa siku 10 kwa ajili ya mazungumzo ya amani ya Syria yanayofanyika mjini Geneva, hadi sasa hakuna chochote kilichoibuka kutoka ndani ya mazungumzo hayo, bali kwa mara nyengine tena wingu la hitilafu limetanda kwenye anga ya mazungumzo baina ya pande mbili husika.
-
Mawaziri wa kigeni wa Iran na Russia wajadili kadhia ya Syria
Mar 18, 2016 23:09Mawaziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wamefanya mazumgumzo ya simu kuhusu usitishwaji vita nchini Russia.