Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Uturuki bado inatafuta fursa kwa kuendelea kukalia ardhi ya Syria

    Uturuki bado inatafuta fursa kwa kuendelea kukalia ardhi ya Syria

    Oct 02, 2023 07:35

    Ankara imetangaza kwa mara nyingine kuwa serikali ya Uturuki itaanzisha tena mazungumzo yake na Iran na Russia kwa lengo la kuboresha uhusiano na Syria.

  • Bashar Assad: Marekani inashirikiana na magaidi

    Bashar Assad: Marekani inashirikiana na magaidi

    Sep 30, 2023 03:46

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amezungumzia kuwepo kwa magaidi katika maeneo ya kaskazini mashariki mwa nchi hiyo na jinsi Marekani ilivyo na udhibiti kamili wa maeneo hayo na kusisitiza kwamba Washington inashirikiana na magaidi.

  • Umuhimu wa safari ya Bashar al Assad huko China

    Umuhimu wa safari ya Bashar al Assad huko China

    Sep 23, 2023 08:02

    Rais Bashar al Assad wa Syria Alhamisi ya juzi tarehe 21 Septemba aliwasili katika mji wa Hangzhou mashariki wa China kwa lengo la kushiriki katika hafla ya ufunguzi wa michezo ya Asia ya Hangzhou na kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Xi Jin Ping wa nchi hiyo.

  • Magaidi zaidi ya 100 waangamizwa katika mji wa Idlib Syria

    Magaidi zaidi ya 100 waangamizwa katika mji wa Idlib Syria

    Sep 10, 2023 04:00

    Zaidi ya magaidi 100 wameangamizwa nchini Syria na kutoa pigo kwa mabaki ya wapiganaji wa kigaidi katika nchi hiyo.

  • Abdollahian: Iran itaendelea kusimama pamoja na Syria hadi kutokomeza kabisa ugaidi

    Abdollahian: Iran itaendelea kusimama pamoja na Syria hadi kutokomeza kabisa ugaidi

    Aug 31, 2023 08:44

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza haja ya kuheshimiwa mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi ya Syria na kusisitiza kwamba, Iran itaendelea kusimama pamoja na Syria katika kukamilisha kampeni yake dhidi ya ugaidi.

  • Sababu za Marekani kurudisha kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria

    Sababu za Marekani kurudisha kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria

    Aug 19, 2023 04:48

    Kundi la kigaidi la Daesh au jina jingine ISIS, limezidisha mashambulizi yake katika ardhi ya Syria. Syria na Iran zimeshuhudia mashambulizi ya kigaidi ya kundi hilo katika wiki za hivi karibuni. Kuna dalili za kutosha zinazothibitisha kwamba Marekani ndiyo inayochochea mashambulizi hayo.

  • Damascus: Marekani imefanya uhalifu mpya dhidi ya jeshi la Syria

    Damascus: Marekani imefanya uhalifu mpya dhidi ya jeshi la Syria

    Aug 13, 2023 04:33

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetangaza kuwa Marekani imezidisha vitendo uhalifu na jinai mpya za katika nchi hiyo.

  • HAMAS: Israel ni adui wa Umma wa Kiislamu, tuungane kukabiliana na uchokozi wake

    HAMAS: Israel ni adui wa Umma wa Kiislamu, tuungane kukabiliana na uchokozi wake

    Aug 07, 2023 08:34

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amelaani mashambulizi ya anga yaliyofanywa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria na kusababisha vifo vya askari wanne wa nchi hiyo na kusisitiza kuwa, umma wote wa Kiislamu unapaswa kuungana pamoja kukabiliana na utawala huo dhalimu.

  • Moscow yawaonya magaidi wasijaribu kushambulia wanajeshi wa Russia na Syria

    Moscow yawaonya magaidi wasijaribu kushambulia wanajeshi wa Russia na Syria

    Aug 03, 2023 23:04

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema kuwa, Moscow ina taarifa kwamba magenge ya kigaidi yanapanga njama za kutumia magaidi wa kujiripua kwa mabomu dhidi ya wanajeshi wa Russia na Syria na kwamba inatoa onyo mapema kuhusu njama hizo.

  • Kuendelea mashambulio ya kijeshi ya Uturuki dhidi ya Syria na Iraq

    Kuendelea mashambulio ya kijeshi ya Uturuki dhidi ya Syria na Iraq

    Aug 03, 2023 23:02

    Licha ya kufanyika mazungumzo ya amani kati ya Ankara na Damascus, mashambulizi ya kijeshi ya Uturuki dhidi ya Syria na Iraq yangali ni ajenda inayofanyiwa kazi na serikali ya Ankara.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS