Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Syria: Nchi za Magharibi uchaguzi wetu haukuhusuni ndewe wala sikio

    Syria: Nchi za Magharibi uchaguzi wetu haukuhusuni ndewe wala sikio

    May 27, 2021 06:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema kuwa, nchi za Magharibi hazipaswi kujipa uthubutu wa kuzungumzia uchaguzi wa nchi hiyo kwani hauzihusu kwa mbali wala kwa karibu nchi hizo za kibeberu.

  • Nukta sita kuhusu uchaguzi wa rais nchini Syria

    Nukta sita kuhusu uchaguzi wa rais nchini Syria

    May 27, 2021 06:35

    Uchaguzi wa pili wa rais katika muongo mmoja uliopita nchini Syria ulifanyika jana Mei 26. Tunaweza kuashiria nukta kadhaa hapa kuhusu uchaguzi huo.

  • Safari ya Zarif mjini Damascus; uungaji mkono wa Iran kwa uchaguzi wa Syria

    Safari ya Zarif mjini Damascus; uungaji mkono wa Iran kwa uchaguzi wa Syria

    May 13, 2021 23:01

    Muhammad Jawad Zarif Waiziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonana na kuzungumza mjini Damascus na Rais Bashar Asad wa Syria kuhusu uhusiano wa pande mbili, matukio ya Asia Magharibi na uchaguzi mkuu wa rais wa nchi hiyo.

  • Moscow: Siasa za Magharibi za kuingilia masuala ya ndani ya Syria hazikubaliki

    Moscow: Siasa za Magharibi za kuingilia masuala ya ndani ya Syria hazikubaliki

    Apr 29, 2021 05:43

    Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa siasa za nchi za Magharibi za kuingilia masuala ya ndani ya Syria hazikubaliki na ziinapingana na sheria za kimataifa.

  • Assad: Syria inaiunga mkono Russia katika kukabiliana na uhasama wa Magharibi

    Assad: Syria inaiunga mkono Russia katika kukabiliana na uhasama wa Magharibi

    Apr 27, 2021 08:31

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema nchi yake inaunga mkono jitihada za Russia za kukabiliana na chokochoko na hatua za uhasama za baadhi ya nchi za Magharibi na nchi wanachama wa shirika la kijeshi la NATO zikiongozwa na Marekani.

  • Pentagon: Wanajeshi wa Marekani wanashambuliwa kwa

    Pentagon: Wanajeshi wa Marekani wanashambuliwa kwa "nishati na mawimbi yanayoongozwa kutoka mbali"

    Apr 25, 2021 06:17

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, imedai kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo wanashambuliwa na nchi za Russia na China kwa kutumia mawimbi na nishati yanayoongozwa kutoka mbali.

  • Damascus: OPCW ni genge la kuwahami wahalifu na magaidi

    Damascus: OPCW ni genge la kuwahami wahalifu na magaidi

    Apr 22, 2021 02:32

    Wizara ya Mambo ya Nchi za Mje wa Syria imelaani uamuzi uliotolewa dhidi ya nchi hiyo na Shirika la Kimataifa la Kuzuia Matumizi ya Silaha za Kemikali, (OPCW) ambao rasimu yake imetayarishwa na Ufaransa na kuutaja kuwa unayaunga mkono na kuyahami makundi ya kigaidi.

  • Bashar al-Assad kuwania tena urais Syria katika uchaguzi wa mwezi ujao

    Bashar al-Assad kuwania tena urais Syria katika uchaguzi wa mwezi ujao

    Apr 21, 2021 07:08

    Rais Bashar al-Assad wa Syria leo amekabidhi fomu za kugombea kiti cha urais katika uchaguzi uliopangwa kufanyika tarehe 26 ya mwezi ujao wa Mei.

  • Mwaka wa 75 wa Siku ya Uhuru wa Syria ya Idul-Jalaa

    Mwaka wa 75 wa Siku ya Uhuru wa Syria ya Idul-Jalaa

    Apr 19, 2021 20:31

    Mnamo karne ya 20, watu wa Syria walikoloniwa na Wafaransa kwa muda wa miaka 26. Wakoloni wa Kifaransa waliingia katika ardhi ya Syria mwaka 1920.

  • Uchaguzi wa Rais wa Syria kufanyika mwezi ujao wa Mei

    Uchaguzi wa Rais wa Syria kufanyika mwezi ujao wa Mei

    Apr 18, 2021 22:16

    Syria imeanisha Mei 26 mwaka huu kuwa tarehe ya kufanyika uchaguzi wa Rais katika taifa hilo la Kiarabu linalosakamwa na mapigano, hujuma za kigaidi na uingilaji wa kigeni kwa zaidi ya muongo mmoja sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS