Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Viongozi wa UAE wamtumia salamu za pongezi Rais Assad kwa mnasaba wa siku ya uhuru wa Syria

    Viongozi wa UAE wamtumia salamu za pongezi Rais Assad kwa mnasaba wa siku ya uhuru wa Syria

    Apr 18, 2021 01:58

    Kiongozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), naibu wake na mrithi wa ufalme wa Abu Dhabi, wamemtumia, kwa nyakati tofauti, Rais Bashar al Assad wa Syria salamu za pongezi kwa mnasaba wa kuadhimisha siku ya uhuru na kufikia tamati kukaliwa kwa mabavu nchi hiyo na Wakoloni Wafaransa.

  • Tuhuma za matumizi ya silaha za kemikali dhidi ya Syria; mbinu yenye lengo la kudhoofisha mamlaka ya kujitawala Damascus

    Tuhuma za matumizi ya silaha za kemikali dhidi ya Syria; mbinu yenye lengo la kudhoofisha mamlaka ya kujitawala Damascus

    Apr 17, 2021 21:58

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imepinga ripoti iliyopewa jina la " Timu ya Uchunguzi na Utambuzi" iliyotolewa na Taasisi ya Kuzuia Silaha za Kemikali (OPCW) kuhusu tukio la Saraqib na kuitaja ripoti hiyo kuwa ni ya upotoshaji na ya uongo.

  • Jumamosi, 17 Aprili, 2021

    Jumamosi, 17 Aprili, 2021

    Apr 16, 2021 22:10

    Leo ni Jumamosi tarehe 4 ya mwezi mtukufu wa Ramadhani 1442 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 17 Aprili 2021 Miladia.

  • Russia yasisitiza udharura wa Syria kurejeshewa uanachama wake katika Arab League

    Russia yasisitiza udharura wa Syria kurejeshewa uanachama wake katika Arab League

    Apr 12, 2021 22:21

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesisitiza udharura wa Syria kurejeshewa uanachama wake katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu.

  • Lebanon yaikosoa Israel kutumia anga yake kuishambulia Syria

    Lebanon yaikosoa Israel kutumia anga yake kuishambulia Syria

    Apr 10, 2021 07:59

    Lebanon imekosoa vikali kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel kutumia anga ya hiyo ya Kiarabu kutekeleza mashambulio ya makombora dhidi ya Syria.

  • Amir Abdolahian: Iran itaendelea kuiunga mkono Syria kwa nguvu zote

    Amir Abdolahian: Iran itaendelea kuiunga mkono Syria kwa nguvu zote

    Apr 09, 2021 03:44

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, Tehran itaendelea kuiunga mkono kwa nguvu zote serikali ya Syria.

  • Iraq na Syria zaendelea na mazungumzo kuhusu kurudi nyumbani wakimbizi

    Iraq na Syria zaendelea na mazungumzo kuhusu kurudi nyumbani wakimbizi

    Apr 02, 2021 02:04

    Nchi mbili za Iraq na Syria zinaendelea na mazungumzo baina yao kuhusu namna ya kuwarejesha makwao wakimbizi wa nchi hizo mbili waliokimbilia katika nchi hizo.

  • Katibu Mkuu wa UN: Wasyria 9 kati ya 10 wanaishi kwenye umasikini

    Katibu Mkuu wa UN: Wasyria 9 kati ya 10 wanaishi kwenye umasikini

    Mar 31, 2021 02:06

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito kwa wafadhili kusaidia kushughulikia mahitaji yanayoongezeka na kuongeza ahadi za kifedha na kibinadamu kuwasaidia Wasyria na kupunguza mzigo mkubwa wa kifedha wa nchi ambazo zinahifadhi wakimbizi.

  • Russia: Marekani ingali inaiba mafuta na ngano ya Syria

    Russia: Marekani ingali inaiba mafuta na ngano ya Syria

    Mar 30, 2021 22:33

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa, Marekani inaendelea kuiba na kutorosha mafuta na ngano ya Syria.

  • Takht-Ravanchi: Vikwazo vinazidisha mgogoro wa Syria

    Takht-Ravanchi: Vikwazo vinazidisha mgogoro wa Syria

    Mar 30, 2021 03:38

    Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa, vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Syria ni hatua yenye madhara na inayozidisha tu mgogoro wa nchi hiyo na kuwazidishia maumivu wananchi wa nchi hiyo ambayo wanataabika na matatizo mengine mbalimbali kama janga la maambukizi ya corona.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS