Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Marekani inaunda 'ISIS 2' katika nchi za Syria na Iraq

    Marekani inaunda 'ISIS 2' katika nchi za Syria na Iraq

    Dec 27, 2020 20:50

    Ushahidi mpya umefichua kuwa, vyombo vya usalama vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel vipo mbioni kuzalisha kizazi kipya cha genge la kigaidi katika eneo hili la Asia Magharibi.

  • Kupitishwa maazimio 17 ya Baraza la Kuu la UN dhidi ya Israel katika mwaka 2020

    Kupitishwa maazimio 17 ya Baraza la Kuu la UN dhidi ya Israel katika mwaka 2020

    Dec 26, 2020 23:02

    Utawala wa Kizayuni ni utawala pekee uliolaaniwa na Umoja wa Mataifa mara tatu zaidi ya nchi nyingine zote duniani katika mwaka huu wa 2020. Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha jumla ya maazimio 17 dhidi ya Israel katika mwaka huu wa 2020.

  • Jumapili, 27 Desemba, 2020

    Jumapili, 27 Desemba, 2020

    Dec 26, 2020 23:01

    Leo ni Jumapili tarehe 12 Mfunguo Nane Jamadil-Awwal 1442 Hijria sawa na tarehe 27 Desemba 2020 Miladia.

  • Syria yataka Baraza la Usalama lizuie hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Syria yataka Baraza la Usalama lizuie hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Dec 26, 2020 03:52

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imesema imekosoa uungaji mkono wa baadhi ya wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel na imetaka baraza hilo lichukue hatua za kivitendo kuzuia hujuma hizo za utawala wa Kizayuni.

  • Mshauri wa Assad ataka jeshi vamizi la Marekani liondoke Syria

    Mshauri wa Assad ataka jeshi vamizi la Marekani liondoke Syria

    Dec 20, 2020 03:41

    Mshauri wa Rais Bashar al Assad wa Syria amelaani vikali Marekani kwa kuikalia kwa mabavu nchi yake na kupora utajiri wake wa mafuta.

  • Iran yaitaka Marekani iondoe askari wake vamizi nchini Syria

    Iran yaitaka Marekani iondoe askari wake vamizi nchini Syria

    Dec 17, 2020 04:01

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema vikosi vamizi vya nchi ajinabi vikiweko vya Marekani vinapaswa kuondoka nchini Syria mara moja.

  • Jeshi la Syria lakamata silaha za Israel mikononi mwa magaidi

    Jeshi la Syria lakamata silaha za Israel mikononi mwa magaidi

    Dec 14, 2020 23:00

    Jeshi la Syria limekamata kiwango kikubwa cha silaha za kila namna za utawala wa Kizayuni wa Israel zilizokuwa zinatumiwa na magenge ya kigaidi kufanya jinai dhidi ya raia wa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Askari wa jeshi la kiharamia la Marekani waendelea kupora mafuta ya Syria

    Askari wa jeshi la kiharamia la Marekani waendelea kupora mafuta ya Syria

    Dec 13, 2020 10:33

    Kwa mara nyingine, askari wa jeshi la Marekani wamepora makumi ya malori ya mafuta ya Syria na kuyahamishia nchi jirani ya Iraq.

  • Feisal Miqdad: Uhusiano wa Iran na Syria ni mkubwa na wa kistratejia

    Feisal Miqdad: Uhusiano wa Iran na Syria ni mkubwa na wa kistratejia

    Dec 09, 2020 03:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema kuwa uhusiano wa Tehran na Damascus ni mkubwa na wa kistratejia na kueleza kuwa: Syria ina uhusiano mkubwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyanja zote za kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni.

  • Serikali ya Syria katika mazungumzo ya Geneva: Suala la wakimbizi kurudi nchini lisifanywe la kisiasa

    Serikali ya Syria katika mazungumzo ya Geneva: Suala la wakimbizi kurudi nchini lisifanywe la kisiasa

    Dec 01, 2020 22:55

    Ujumbe wa serikali ya Syria katika mazungumzo ya Geneva umesisitiza ulazima wa kutatuliwa suala la wakimbizi raia wa nchi hiyo na kuwawezesha kurejea makwao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS