Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Russia: Magaidi wapeleka Idlib matanki ya gesi ya kemikali

    Russia: Magaidi wapeleka Idlib matanki ya gesi ya kemikali

    Sep 16, 2018 03:07

    Msemaji wa kituo cha usitishaji vita cha Russia huko Syria amearifu kuwa magaidi wanajiandaa kuanzisha chokochoko dhidi ya raia wa Syria kwa kutumia mada za kemikali na kwamba tayari wamepelekea matanki yenye gesi ya klorini katika eneo la kiraia katika mkoa wa Idlib magharibi mwa Syria.

  • Walid al Mualim: Marekani inafuatilia malengo ya Israel nchini Syria

    Walid al Mualim: Marekani inafuatilia malengo ya Israel nchini Syria

    Sep 10, 2018 23:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema kuwa lengo la Marekani ni kudhibiti shughuli zote za Syria kwa maslahi ya Israel.

  • Iran katu haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora

    Iran katu haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora

    Sep 09, 2018 23:07

    Mshauri wa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi Yote ya Iran katika masuala ya viwanda vya kijeshi amesisitiza kuwa: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora."

  • Harakati za kijeshi za muungano wa Kimarakeni nchini Syria

    Harakati za kijeshi za muungano wa Kimarakeni nchini Syria

    Sep 09, 2018 07:25

    Ijumaa usiku jeshi la Marekani lilitangaza kwamba limeendesha maneva ya askari wa muungano wa kijeshi unaoongozwa na nchi hiyo huko Syria na ambao unadaiwa kuwa dhidi ya magaidi wa Daesh.

  • Russia: Magaidi, White Helmets wakutana kupanga igizo la shambulizi la kemikali Idlib

    Russia: Magaidi, White Helmets wakutana kupanga igizo la shambulizi la kemikali Idlib

    Sep 09, 2018 03:03

    Russia imesema magenge ya kigaidi na kundi eti la 'kutoa misaada' la White Helmets linaloungwa mkono na Wamagharibi yamekutana kaskazini magharibi mwa mkoa wa Idlib, kwa shabaha ya kuratibu igizo la hujuma ya kemikali nchini Syria ili kuielekezea kidole cha lawama serikali halali ya Rais Bashar al-Assad.

  • Uturuki yazisaidia kifedha familia za wapinzani wa serikali ya Syria

    Uturuki yazisaidia kifedha familia za wapinzani wa serikali ya Syria

    Sep 08, 2018 02:32

    Duru za habari zimefichua uungaji mkono wa kifedha wa serikali ya Uturuki kwa familia za wapinzani wa serikali ya Syria waliouawa.

  • Mkutano wa pande tatu Tehran; azma ya kweli ya kuangamiza ugaidi katika mji wa Idlib Syria

    Mkutano wa pande tatu Tehran; azma ya kweli ya kuangamiza ugaidi katika mji wa Idlib Syria

    Sep 08, 2018 02:27

    Mkutano wa Marais wa Iran, Russia na Uturuki umefanyika hapa mjini Tehran ajenda kuu ikiwa ni matukio ya Syria.

  • Taarifa ya pamoja ya marais wa Iran, Russia na Uturuki kuhusu Syria katika kikao cha Tehran

    Taarifa ya pamoja ya marais wa Iran, Russia na Uturuki kuhusu Syria katika kikao cha Tehran

    Sep 07, 2018 10:37

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia, na Uturuki wametoa taarifa ya pamoja baada ya mkutano wao wa pande tatu mjini Tehran ambapo wamesisitiza kuhusu msimamo wao wa kudumishwa uhuru, mamlaka ya kujitawala na kulinda mipaka yote ya Syria.

  • Imad Khamis: Hivi karibuni Syria itarejea katika hali yake ya kawaida

    Imad Khamis: Hivi karibuni Syria itarejea katika hali yake ya kawaida

    Sep 07, 2018 03:16

    Waziri Mkuu wa Syria, Imad Khamis amesema kuwa kwa mara nyingine nchi hiyo itakuwa mchezaji muhimu katika nyuga tofauti kieneo na duniani na kwamba hivi karibuni taifa la Syria litarejea katika hali yake ya kawaida.

  • Mkutano wa Troika ya Syria mjini Tehran, kigezo bora cha kuigwa cha uishirikiano wa kikanda

    Mkutano wa Troika ya Syria mjini Tehran, kigezo bora cha kuigwa cha uishirikiano wa kikanda

    Sep 07, 2018 02:50

    Leo Ijumaa Tehran ni mwenyeji wa kikao cha viongozi wa nchi tatu muhimu katika mchakato wa kurejesha amani nchini Syria, yaani Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia na Uturuki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS