-
Russia: Magaidi wapeleka Idlib matanki ya gesi ya kemikali
Sep 16, 2018 03:07Msemaji wa kituo cha usitishaji vita cha Russia huko Syria amearifu kuwa magaidi wanajiandaa kuanzisha chokochoko dhidi ya raia wa Syria kwa kutumia mada za kemikali na kwamba tayari wamepelekea matanki yenye gesi ya klorini katika eneo la kiraia katika mkoa wa Idlib magharibi mwa Syria.
-
Walid al Mualim: Marekani inafuatilia malengo ya Israel nchini Syria
Sep 10, 2018 23:48Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema kuwa lengo la Marekani ni kudhibiti shughuli zote za Syria kwa maslahi ya Israel.
-
Iran katu haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora
Sep 09, 2018 23:07Mshauri wa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi Yote ya Iran katika masuala ya viwanda vya kijeshi amesisitiza kuwa: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora."
-
Harakati za kijeshi za muungano wa Kimarakeni nchini Syria
Sep 09, 2018 07:25Ijumaa usiku jeshi la Marekani lilitangaza kwamba limeendesha maneva ya askari wa muungano wa kijeshi unaoongozwa na nchi hiyo huko Syria na ambao unadaiwa kuwa dhidi ya magaidi wa Daesh.
-
Russia: Magaidi, White Helmets wakutana kupanga igizo la shambulizi la kemikali Idlib
Sep 09, 2018 03:03Russia imesema magenge ya kigaidi na kundi eti la 'kutoa misaada' la White Helmets linaloungwa mkono na Wamagharibi yamekutana kaskazini magharibi mwa mkoa wa Idlib, kwa shabaha ya kuratibu igizo la hujuma ya kemikali nchini Syria ili kuielekezea kidole cha lawama serikali halali ya Rais Bashar al-Assad.
-
Uturuki yazisaidia kifedha familia za wapinzani wa serikali ya Syria
Sep 08, 2018 02:32Duru za habari zimefichua uungaji mkono wa kifedha wa serikali ya Uturuki kwa familia za wapinzani wa serikali ya Syria waliouawa.
-
Mkutano wa pande tatu Tehran; azma ya kweli ya kuangamiza ugaidi katika mji wa Idlib Syria
Sep 08, 2018 02:27Mkutano wa Marais wa Iran, Russia na Uturuki umefanyika hapa mjini Tehran ajenda kuu ikiwa ni matukio ya Syria.
-
Taarifa ya pamoja ya marais wa Iran, Russia na Uturuki kuhusu Syria katika kikao cha Tehran
Sep 07, 2018 10:37Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia, na Uturuki wametoa taarifa ya pamoja baada ya mkutano wao wa pande tatu mjini Tehran ambapo wamesisitiza kuhusu msimamo wao wa kudumishwa uhuru, mamlaka ya kujitawala na kulinda mipaka yote ya Syria.
-
Imad Khamis: Hivi karibuni Syria itarejea katika hali yake ya kawaida
Sep 07, 2018 03:16Waziri Mkuu wa Syria, Imad Khamis amesema kuwa kwa mara nyingine nchi hiyo itakuwa mchezaji muhimu katika nyuga tofauti kieneo na duniani na kwamba hivi karibuni taifa la Syria litarejea katika hali yake ya kawaida.
-
Mkutano wa Troika ya Syria mjini Tehran, kigezo bora cha kuigwa cha uishirikiano wa kikanda
Sep 07, 2018 02:50Leo Ijumaa Tehran ni mwenyeji wa kikao cha viongozi wa nchi tatu muhimu katika mchakato wa kurejesha amani nchini Syria, yaani Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia na Uturuki.