Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran avipongeza vikosi vilivyokabiliana na magaidi wa Daesh nchini Syria

    Waziri wa Ulinzi wa Iran avipongeza vikosi vilivyokabiliana na magaidi wa Daesh nchini Syria

    Sep 05, 2018 22:29

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikosi vya kijeshi vilivyopambana na magaidi nchini Syria vimeweza kusambaratisha njama kubwa iliyokuwa imeratibiwa dhidi ya usalama wa Mashariki ya Kati.

  • Waziri wa Syria: Kuna baadhi ya nchi zinafanya njama kufelisha maridhiano Idlib

    Waziri wa Syria: Kuna baadhi ya nchi zinafanya njama kufelisha maridhiano Idlib

    Sep 04, 2018 22:01

    Waziri wa Maridhiano ya Kitaifa nchini Syria amesema kuwa, kuna baadhi ya nchi zinafanya njama ya kufelisha mpango wa usuluhishi katika mkoa wa Idlib, kaskazini magharibi mwa Syria.

  • Hizbullah: Marekani haina ubavu wa kuwawekea masharti walioshinda vita Syria

    Hizbullah: Marekani haina ubavu wa kuwawekea masharti walioshinda vita Syria

    Sep 04, 2018 03:37

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema kuwa Marekani ambayo sera zake za kuyasaidia makundi ya kigaidi kwa ajili ya kuindoa madarakani serikali halali ya Syria zimefeli na kushindwa haina haki na ubavu wa kutoa masharti ya kuondoka washauri wa kijeshi wa Iran na wapiganaji wa Hizbullah nchini Syria ambao wameshinda vita dhidi ya magaidi.

  • Ufaransa yakiri, Syria imeshinda vita vya ndani

    Ufaransa yakiri, Syria imeshinda vita vya ndani

    Sep 03, 2018 03:09

    Ufaransa na Uingereza ambazo ni nchi mbili wanachama katika Umoja wa Ulaya (EU) tangu mwaka 2011 zikiwa katika muungano wa nchi za Magharibi na za Kiarabu wa kutaka kuiondoa madarakani serikali halali ya Syria, zimekuwa zikitoa misaada ya pande zote kwa makundi ya waasi na ya kigaidi kwa shabaha eti ya kuipindua serikali ya Rais Bashar Assad.

  • Maneva makubwa ya kijeshi ya Russia Bahari ya Mediterranean, majibu kwa vitisho vinavyozidi kuongezeka vya Marekani dhidi ya Syria

    Maneva makubwa ya kijeshi ya Russia Bahari ya Mediterranean, majibu kwa vitisho vinavyozidi kuongezeka vya Marekani dhidi ya Syria

    Sep 02, 2018 01:26

    Ushindi mkubwa linaoendelea kuupata jeshi la Syria na waitifaki wake katika maeneo tofauti ya nchi hiyo, na hatua ya jeshi hilo ya kujiandaa hivi sasa kuusafisha mkoa wa Idlib kutokana na uchafu wa magenge ya kigaidi, imewatia kiwewe waungaji mkono wa magaidi hao yaani nchi za Magharibi na hasa Marekani. Mkoa wa Idlib ndiyo ngome ya mwisho wa magenge ya kigaidi nchini Syria.

  • Russia yaionya Marekani isicheze na moto Syria

    Russia yaionya Marekani isicheze na moto Syria

    Aug 31, 2018 02:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameionya Marekani isicheze na moto huko Syria kwa kuchochea hujuma bandia ya silaha za kemikali ili kuhalalisha shambulizi dhidi ya wanajeshi wa Syria

  • Russia yaionya tena Marekani juu ya kufanya shambulizi dhidi ya Syria

    Russia yaionya tena Marekani juu ya kufanya shambulizi dhidi ya Syria

    Aug 30, 2018 11:43

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ameelezea uwezekano wa Marekani na washirika wake kufanya shambulizi dhidi ya Syria hasa kwa kuzingatia hatua ya kusogezwa zana za kijeshi za nch hiyo katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Mawaziri wa Ulinzi wa Russia na Uturuki wajadili hali ya mambo Syria

    Mawaziri wa Ulinzi wa Russia na Uturuki wajadili hali ya mambo Syria

    Aug 30, 2018 11:21

    Mawaziri wa Ulinzi wa Russia na Uturuki wamefanya mazungumzo kuhusu hali ya mambo nchini Syria.

  • Magaidi wa DAESH (ISIS) wamenyonga zaidi ya watu elfu tano nchini Syria

    Magaidi wa DAESH (ISIS) wamenyonga zaidi ya watu elfu tano nchini Syria

    Aug 30, 2018 03:24

    Kituo kiitwacho Uangalizi wa Haki za Binadamu nchini Syria kimeripoti kuwa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh limeua kwa kuwanyonga watu zaidi ya elfu tano nchini humo.

  • Russia: Magaidi nchini Syria wamejiandaa kufanya shambulio la silaha za kemikali

    Russia: Magaidi nchini Syria wamejiandaa kufanya shambulio la silaha za kemikali

    Aug 27, 2018 03:16

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia ametangaza kuwa magaidi walioko nchini Syria wamejiandaa kufanya shambulio la silaha za kemikali katika kipindi cha siku hizi mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS