Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Mgombea urais wa chama kikuu cha upinzani Namibia: Hatutayakubali matokeo ya uchaguzi

    Mgombea urais wa chama kikuu cha upinzani Namibia: Hatutayakubali matokeo ya uchaguzi

    Dec 01, 2024 06:13

    Mgombea mkuu wa urais wa upinzani nchini Namibia, Panduleni Itula, amesema chama chake hakitatambua matokeo ya uchaguzi uliokumbwa na utata wa kuongezewa muda wa upigaji kura na kutawaliwa na fujo na madai ya uchakachuaji.

  • Mkuu wa Ofisi ya Haki za Binadamu ya UN: Miezi 13 ya vita imeifanya Ghaza kuwa jehanamu

    Mkuu wa Ofisi ya Haki za Binadamu ya UN: Miezi 13 ya vita imeifanya Ghaza kuwa jehanamu

    Nov 30, 2024 07:09

    Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa katika ofisi ya Ukanda wa Ghaza (OHCHR) unaokaliwa kwa mabavu Ajith Sunghay amesema miezi 13 ya vita imeufanya Ukanda huo kuwa kama jehanamu, kwani kuna uharibifu usio na kifani, njaa isiyoelezeka, maradhi na mwendelezo wa mashambulizi ya mabomu yanayowatawanya raia kila uchao.

  • Magaidi wa kitakfiri 400 waangamizwa Syria

    Magaidi wa kitakfiri 400 waangamizwa Syria

    Nov 29, 2024 07:14

    Kituo cha Russia cha Hmeimim cha Maridhiano ya Kitaifa nchini Syria kimetangaza kuwa magaidi wa kitakfiri wa 400 wa kundi la Jabhatu-Nusra wameangamizwa baada ya kushambulia makao makuu ya jeshi la Syria huko Idlib na Aleppo.

  • UN yasisitiza kuhitimishwa vita Ukanda wa Gaza na Lebanon

    UN yasisitiza kuhitimishwa vita Ukanda wa Gaza na Lebanon

    Nov 25, 2024 03:13

    Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya Syria ametaka kuhitimishwa vita katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.

  • Watu wasiopungua 36 wauawa shahidi katika hujuma ya anga ya Israel katika mji wa Palmyra, Syria

    Watu wasiopungua 36 wauawa shahidi katika hujuma ya anga ya Israel katika mji wa Palmyra, Syria

    Nov 21, 2024 07:44

    Takriban watu 36 wameuawa shahidi katika mashambulizi ya anga ya utawala wa Kizayuni katika mji wa kihistoria na kitamaduni wa Palmyra nchini Syria.

  • Araqchi: Ipo nia ya dhati ya kupanua ushirikiano na Syria katika nyanja zote

    Araqchi: Ipo nia ya dhati ya kupanua ushirikiano na Syria katika nyanja zote

    Nov 20, 2024 02:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina nia ya dhati ya kupanua ushirikiano kati yake na Syria katika nyanja jzote.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tutaendelea kuunga mkono Mhimili wa Muqawama

    Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tutaendelea kuunga mkono Mhimili wa Muqawama

    Nov 18, 2024 07:24

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Tehran itaendelea kuuunga mkono Mhimili wa Muqawama, serikali na wananchi wa Syria.

  • Jeshi la Israel laua Wapalestina 14 Ghaza baada ya kuua Walebanon 14 pia Bekaa

    Jeshi la Israel laua Wapalestina 14 Ghaza baada ya kuua Walebanon 14 pia Bekaa

    Nov 12, 2024 07:51

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeendelea kufanya jinai za mauaji ya kinyama katika Ukanda wa Ghaza kwa kuwaua shahidi Wapalestina 14 asubuhi ya leo waliokuwa wamepata hifadhi katika linalodaiwa na utawala huo kuwa ni "eneo salama" huko al-Mawasi.

  • Mashambulizi ya jeshi la Kizayuni dhidi ya Syria

    Mashambulizi ya jeshi la Kizayuni dhidi ya Syria

    Oct 24, 2024 06:48

    Ndege za kijeshi za utawala wa Kizayuni zimeshambulia kwa mabomu miji ya Damascus na Homs.

  • Shambulio la kinyama la Israel katikati ya Beirut laua Walebanon 22 na kuwajeruhi wengine 117

    Shambulio la kinyama la Israel katikati ya Beirut laua Walebanon 22 na kuwajeruhi wengine 117

    Oct 11, 2024 07:44

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya shambulizi la kinyama la anga katikati mwa mji mkuu wa Lebanon, Beirut nje ya viunga vya kusini mwa mji huo, na kuua watu wasiopungua 22 na kujeruhi wengine wengi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS