Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Jeshi la Israel laua Wapalestina 14 Ghaza baada ya kuua Walebanon 14 pia Bekaa

    Jeshi la Israel laua Wapalestina 14 Ghaza baada ya kuua Walebanon 14 pia Bekaa

    Nov 12, 2024 04:21

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeendelea kufanya jinai za mauaji ya kinyama katika Ukanda wa Ghaza kwa kuwaua shahidi Wapalestina 14 asubuhi ya leo waliokuwa wamepata hifadhi katika linalodaiwa na utawala huo kuwa ni "eneo salama" huko al-Mawasi.

  • Mashambulizi ya jeshi la Kizayuni dhidi ya Syria

    Mashambulizi ya jeshi la Kizayuni dhidi ya Syria

    Oct 24, 2024 03:18

    Ndege za kijeshi za utawala wa Kizayuni zimeshambulia kwa mabomu miji ya Damascus na Homs.

  • Shambulio la kinyama la Israel katikati ya Beirut laua Walebanon 22 na kuwajeruhi wengine 117

    Shambulio la kinyama la Israel katikati ya Beirut laua Walebanon 22 na kuwajeruhi wengine 117

    Oct 11, 2024 04:14

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya shambulizi la kinyama la anga katikati mwa mji mkuu wa Lebanon, Beirut nje ya viunga vya kusini mwa mji huo, na kuua watu wasiopungua 22 na kujeruhi wengine wengi.

  • Araghchi akosoa uzembe wa Baraza la Usalama katika kukabiliana na jinai za Israel

    Araghchi akosoa uzembe wa Baraza la Usalama katika kukabiliana na jinai za Israel

    Oct 05, 2024 23:21

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa uzembe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusiana na vitendo haramu na jinai za utawala wa Kizayuni ambazo zinafanyika kwa himaya na uungaji mkono wa Marekani na Uingereza.

  • Kan'ani: Marekani ndiyo inayopaswa kubeba dhima ya jinai za Israel huko Palestina, Lebanon na Syria

    Kan'ani: Marekani ndiyo inayopaswa kubeba dhima ya jinai za Israel huko Palestina, Lebanon na Syria

    Sep 21, 2024 23:29

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya ya Iran amesema kuwa, Marekani ndiyo inayopaswa kubeba dhima na kujibu malalamiko makubwa ya kimataifa kwa kushiriki kwake katika jinai za utawala wa Kizayuni huko Palestina, Lebanon na Syria.

  • Idadi ya waliouawa shahidi katika shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya Syria yaongezeka

    Idadi ya waliouawa shahidi katika shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya Syria yaongezeka

    Sep 09, 2024 03:18

    Idadi ya watu waliouawa shahidi katika shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya Syria imeongezeka na kufikia watu 14.

  • Jeshi katili la Israel laua watu 15 wa familia moja wakiwemo watoto 9 Az-Zawayda, Ghaza

    Jeshi katili la Israel laua watu 15 wa familia moja wakiwemo watoto 9 Az-Zawayda, Ghaza

    Aug 17, 2024 07:03

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina wasiopungua 16 wakiwemo jamaa 15 wa familia moja, tisa kati yao wakiwa ni watoto wadogo, katika shambulizi la kinyama lililolenga watu waliolazimika kuhama makazi yao katika eneo la Az-Zawayda katikati mwa Ukanda wa Ghaza.

  • Alkhamisi, tarehe 8 Agosti, 2024

    Alkhamisi, tarehe 8 Agosti, 2024

    Aug 07, 2024 22:54

    Leo ni Alkhamisi tarehe 3 Mfunguo Tano Safar 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 8 Agosti 2024.

  • Syria: Israel yenyewe imeshambulia Majdal Shams ili kupata kisingizio cha kupanua vita

    Syria: Israel yenyewe imeshambulia Majdal Shams ili kupata kisingizio cha kupanua vita

    Jul 28, 2024 23:03

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imesema, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umefanya shambulio katika eneo la Majdal Shams lililoko kwenye Miinuko ya Golan inayokaliwa kwa mabavu ili kuhalalisha lengo lake la kutaka kupanua wigo wa vita na uvamizi wake wa kijeshi katika eneo.

  • Vladimir Putin atahadharisha kuhusu hali mbaya ya Asia Magharibi

    Vladimir Putin atahadharisha kuhusu hali mbaya ya Asia Magharibi

    Jul 25, 2024 07:50

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametahadharisha kuhusu hali inayozidi kutokota ya eneo la Magharibi mwa Asia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS