-
Vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya viongozi kadhaa wa Taliban
Jul 23, 2023 02:17Baraza la Ulaya tarehe 20 mwezi huu wa Julai lilitangaza kuwawekea vikwazo Abdul Hakim Haqani Jaji Mkuu wa Mahakama ya Juu ya Afghanistan, Abdul Hakim Sharei Waziri wa Sheria na Moulavi Habibullah Agha Kaimu Waziri wa Elimu katika serikali ya mpito ya Afghanistan kwa kuhusika katika kuwanyima wasichana na wanawake wa Afghanistan haki yao ya kupata elimu, kupata haki ya kisheria, na haki sawa na wanaume wa nchi hiyo.
-
Onyo la Pakistan kwa kundi la Taliban la Afghanistan
May 31, 2023 01:19Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan ameionya serikali ya wanamgambo wa Taliban wa Afghanistan kuhusiana na shambulio lolote dhidi ya ardhi ya Pakistan.
-
Mapigano yazuka kati ya askari wa mpakani wa Iran na wapiganaji wa Taliban
May 27, 2023 11:10Mapigano yamezuka kati ya Vikosi vya Walinzi wa Mpaka wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na vikosi vya Taliban kwenye mpaka wa Sistan na Baluchistan ya Iran na mkoa wa Nimroz wa Afghanistan, na katika maeneo mengine ya kandokando ya vijiji kadhaa ikiwa ni pamoja na Sasoli, Hatem na Makki.
-
Kujiuzulu Mullah Mohammad Hassan Akhund Mkuu wa serikali ya Taliban ya Afghanistan, na kuteuliwa mrithi wake
May 19, 2023 01:36Duru za Afghanistan zimetangaza kuwa Mullah Mohammad Hassan Akhund aliyekuwa Waziri Mkuu wa serikali ya Taliban nchini humo amejiuzulu wadhifa huo na tayari mrithi wake ameteuliwa.
-
Umoja wa Mataifa kujadili na kuamua kuhusu uhalali wa utawala wa Taliban
Apr 19, 2023 05:54Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa: taasisi hiyo itachunguza upya suala la uhalali wa serikali ya Taliban nchini Afghanistan ndani ya kipindi cha wiki mbili zijazo.
-
Msimamo wa Umoja wa Mataifa kwa marufuku waliyowekewa wanawake wa Afghanistan wasihudumu katika ofisi za umoja huo
Apr 08, 2023 03:00Umoja wa Mataifa umefunga ofisi zake zote nchini Afghanistan masaa 48 baada ya serikali ya Taliban kuwapiga marufuku wanawake kufanya kazi katika ofisi ya Umoja wa Mataifa mkoani Nangarhar.
-
Taliban: Waafghani ndio walengwa wakuu wa mashambulio ya DAESH (ISIS)
Mar 28, 2023 11:42Naibu Waziri Mkuu wa serikali ya mpito ya Taliban anayehusika na masuala ya kisiasa amesema, wananchi wa Afghanistan ndio walengwa wakuu wa hujuma na mashambulio ya kundi la kigaidi la DAESH (ISIS).
-
Onyo la Putin kuhusu kukithiri kwa vitisho vya kigaidi nchini Afghanistan
Feb 12, 2023 02:34Rais wa Russia, Vladimir Putin amesema kwamba: "Tishio la ugaidi limeongezeka baada ya Marekani kuondoka Afghanistan."
-
Hassan Qomi: Iran inashirikiana na serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan
Jan 12, 2023 04:17Mjumbe Maalumu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Masuala ya Afghanistan ameeleza kuwa: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inashirikiana na serikaliya muda ya Taliban katika nyanja mbalimbali ikiwemo nyanja ya kiuchumi kwa kuzingatia siasa za kuwasaidia wananchi wa Afghanistan.
-
Taliban: Mauaji aliyofanya mwanamfalme wa Uingereza Afghanistan ni "uhalifu wa kivita"
Jan 07, 2023 07:19Kufuatia kauli ya mwanamfalme wa Uingereza Harry, ya kuungama kwamba aliua Waafghani 25 wakati wa vita nchini Afghanistan, maafisa wa serikali ya Taliban wametangaza kuwa hatua hiyo ya mwanamfalme huyo wa Uingereza ni uhalifu wa kivita.