Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Edward Lowassa: Tanzania imewaka moto kila sehemu kutokana na utendaji wa Magufuli

    Edward Lowassa: Tanzania imewaka moto kila sehemu kutokana na utendaji wa Magufuli

    Sep 20, 2019 10:30

    Waziri Mkuu wa Zamani wa Tanzania, Edward Lowassa amepongeza utendaji kazi wa Rais John Pombe Magufuli wa nchi hiyo kuwa, umeliwasha moto kila mahali taifa hilo.

  • Membe ahimiza uhuru wa vyombo vya habari Tanzania + Sauti

    Membe ahimiza uhuru wa vyombo vya habari Tanzania + Sauti

    Sep 19, 2019 14:01

    Aliyekuwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki nchini Tanzania Benard Membe amesema kuwa serikali inaweza kuwa dumavu endapo haitoruhusu uhuru wa vyombo vya habari. Amari Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam Tanzania

  • Watanzania: Wamarekani ndio waliotengeneza Ebola kuwamaliza Waafrika + Sauti

    Watanzania: Wamarekani ndio waliotengeneza Ebola kuwamaliza Waafrika + Sauti

    Sep 15, 2019 12:14

    Kufuatia uvumi wa kuibuka maradhi ya Ebola nchini Tanzania, Watanzania wengi wamekua wakieneza taarifa kwenye mitandao ya kijamii zinazoeleza kuwa, ugonjwa huo ulitengenezwa na Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) kwa lengo la kupunguza idadi ya Waafrika. Tumtegee sikio mwandishi wetu wa Dar es Salaam kwa taarifa kamili...

  • Serikali ya Tanzania: Hakuna ugonjwa wa Ebola nchini

    Serikali ya Tanzania: Hakuna ugonjwa wa Ebola nchini

    Sep 14, 2019 09:48

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa taarifa ikisema kuwa, hakuna mtu aliyethibitika kuwa na ugonjwa wa Ebola ndani ya nchini hiyo, na kuongeza kwamba, watu wawili waliotiliwa shaka na baadaye kupimwa imethibitika kuwa hawana maambukizi ya virusi vya ugonjwa huo.

  • Serikali ya Tanzania: Umasikini umepungua sana nchini

    Serikali ya Tanzania: Umasikini umepungua sana nchini

    Sep 11, 2019 07:58

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imesema kuwa umasikini nchini umepungua kwa kiasi kikubwa ikilinganishwa na miaka ya huko nyuma.

  • Maadhimisho ya Siku ya Ashura nchini Tanzania + Sauti

    Maadhimisho ya Siku ya Ashura nchini Tanzania + Sauti

    Sep 11, 2019 02:04

    Wakati Tanzania ikikaribia kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa, viongozi wa dini mbalimbali wametakiwa kumuomba Mwenyezi Mungu ajaalie uchaguzi huo upite kwa salama na amani. Maelezo zaidi anayo mwandishi wetu wa Ammar Dachi...

  • Mahakama Tanzania yatupilia mbali ombi la Lissu la kupinga kuvuliwa ubunge; asema atadai haki yake Mahakama ya Rufaa

    Mahakama Tanzania yatupilia mbali ombi la Lissu la kupinga kuvuliwa ubunge; asema atadai haki yake Mahakama ya Rufaa

    Sep 09, 2019 12:12

    Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali maombi ya Mwanasheria Mkuu wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA, Tundu Lissu ya kufungua shauri la kutengua uamuzi wa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai uliosababisha kukoma kwa Ubunge wake Singida Mashariki.

  • Tanzania yaunga mkono juhudi za Afrika Kusini za kukomesha machafuko dhidi ya wageni + Sauti

    Tanzania yaunga mkono juhudi za Afrika Kusini za kukomesha machafuko dhidi ya wageni + Sauti

    Sep 05, 2019 11:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Profesa Palamaganda Kabudi, amesema kuwa serikali ya nchi hiyo ambayo hivi ni miongoni mwa nchi za SADC itakuwa bega kwa bega na serikali ya Afrika Kusini katika kuhakikisha machafuko yanayoendelea huko Afrika Kusini yanakomeshwa. Ammar Dachi na maelezo zaidi kutoka Dr es Salaam...

  • Mwito wa namna ya kuuadhimisha mwaka mpya wa Kiislamu + Sauti

    Mwito wa namna ya kuuadhimisha mwaka mpya wa Kiislamu + Sauti

    Sep 02, 2019 05:10

    Waislamu nchini Tanzania wametakiwa kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislamu kwa kukaa na kutathmini walichokifanya mwaka uliokwisha kwani kwisha kwa mwaka kuna maana ya kuzidi mwanadamu kuelekea kwenye siku yake ya kuondoka duniani. Ammar Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam...

  • Watanzania waandamana mbele ya ubalozi wa A. Kusini, wataka ndege ya ATCL irejeshwe

    Watanzania waandamana mbele ya ubalozi wa A. Kusini, wataka ndege ya ATCL irejeshwe

    Aug 28, 2019 07:52

    Umati wa watu umeandamana leo nje ya ofisi za ubalozi wa Afrika Kusini jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, wakishinikiza mahakama ya nchi hiyo iachie huru ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) inayoshikiliwa nchini Afrika Kusini kufuatia kesi ya fidia inayomhusu mtu ajulikanaye kama Hermanus Steyn wa nchi hiyo na Serikali ya Tanzania.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS