Membe ahimiza uhuru wa vyombo vya habari Tanzania + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i56118-membe_ahimiza_uhuru_wa_vyombo_vya_habari_tanzania_sauti
Aliyekuwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki nchini Tanzania Benard Membe amesema kuwa serikali inaweza kuwa dumavu endapo haitoruhusu uhuru wa vyombo vya habari. Amari Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam Tanzania
(last modified 2023-11-27T12:14:11+00:00 )
Sep 19, 2019 18:31 UTC

Aliyekuwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki nchini Tanzania Benard Membe amesema kuwa serikali inaweza kuwa dumavu endapo haitoruhusu uhuru wa vyombo vya habari. Amari Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam Tanzania