Mwito wa namna ya kuuadhimisha mwaka mpya wa Kiislamu + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i55753-mwito_wa_namna_ya_kuuadhimisha_mwaka_mpya_wa_kiislamu_sauti
Waislamu nchini Tanzania wametakiwa kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislamu kwa kukaa na kutathmini walichokifanya mwaka uliokwisha kwani kwisha kwa mwaka kuna maana ya kuzidi mwanadamu kuelekea kwenye siku yake ya kuondoka duniani. Ammar Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam...
(last modified 2023-11-27T12:14:11+00:00 )
Sep 02, 2019 09:40 UTC

Waislamu nchini Tanzania wametakiwa kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislamu kwa kukaa na kutathmini walichokifanya mwaka uliokwisha kwani kwisha kwa mwaka kuna maana ya kuzidi mwanadamu kuelekea kwenye siku yake ya kuondoka duniani. Ammar Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam...