Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Tanzania kuwatimua wakimbizi wa Burundi, UNHCR yapinga

    Tanzania kuwatimua wakimbizi wa Burundi, UNHCR yapinga

    Aug 28, 2019 03:37

    Serikali ya Tanzania imetangaza kuwa wakimbizi wote kutoka nchi jirani ya Burundi watarudishwa makwao kuanzi Oktoba lakini Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNCHR limepinga hatua hiyo.

  • Sheikh Hemen Jalala alalamikia unyanyasaji wa Waislamu Tanzania + Sauti

    Sheikh Hemen Jalala alalamikia unyanyasaji wa Waislamu Tanzania + Sauti

    Aug 26, 2019 02:25

    Mkuu wa chuo cha kiislamu cha Imam Swadiq AS kilichopo jijini Dar es Salaam Tanzania, Sheikh Hemed Jalala amesema kuwa kitendo cha kuwatilia shaka Waislamu wa kwa sababu ya kwenda nchi za Iran, Iraq, Syria, Saudi Arabia na Lebanon, ni kuvunja uhuru wao wa ibada. Ammar Dachi na maelezo zaidi...

  • Magari yanayotumia gesi yaongezeka nchini Tanzania

    Magari yanayotumia gesi yaongezeka nchini Tanzania

    Aug 23, 2019 01:34

    Serikali ya Tanzania imebainisha kuwa matumizi ya gesi asilia katika magari yamezidi kukua nchini humo ambapo kwa sasa idadi ya magari hayo imefikia 210 kutoka 65 yaliyokuwa yakitumia nishati hiyo mwaka 2017. Mwandishi wetu Ammar Dachi ana maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam....

  • Magufuli ahitimisha mkutano wa viongozi wa SADC, Dar

    Magufuli ahitimisha mkutano wa viongozi wa SADC, Dar

    Aug 18, 2019 07:35

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambaye ni Rais wa Tanzania, John Magufuli leo amefunga Mkutano wa 39 wa Jumuiya hiyo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.

  • Mkutano wa SADC waanza Dar es Salaam

    Mkutano wa SADC waanza Dar es Salaam

    Aug 17, 2019 09:46

    Mkutano wa kilele wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umeanza leo mjini Dar es Salaam nchini Tanzania.

  • Tanzania yatangaza siku tatu za maombolezo, vifo vya ajali ya gari la mafuta Morogoro

    Tanzania yatangaza siku tatu za maombolezo, vifo vya ajali ya gari la mafuta Morogoro

    Aug 11, 2019 09:32

    Rais wa Tanzania, John Magufuli amewatembelea majeruhi 43 wa ajali ya moto iliyotokea jana mkoani Morogoro waliolazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na kuwapatia kila mmoja Shilingi 500,000 kwa ajili ya matumizi.

  • Watu 62 wamepoteza  maisha Tanzania katika ajali ya lori la mafuta; Rais Magufuli atuma salamu pole

    Watu 62 wamepoteza maisha Tanzania katika ajali ya lori la mafuta; Rais Magufuli atuma salamu pole

    Aug 10, 2019 03:45

    Watu 62 wameripotiwa kuaga dunia hadi sasa kufuatia ajali ya lori la mafuta katika eneo la Msamvu mjini Morogoro, Mashariki mwa Tanzania.

  • Benki ya Dunia yaitahadharisha serikali ya Tanzania kutokana na ongezeko la madeni

    Benki ya Dunia yaitahadharisha serikali ya Tanzania kutokana na ongezeko la madeni

    Jul 25, 2019 21:05

    Benki ya Dunia imeitahadharisha serikali ya Tanzania kuhusiana na ongezeko la deni la taifa inalodaiwa ndani na nje ya nchi.

  • Jeshi la polisi Tanzania lawapiga kalamu nyekundu askari wake 54, Magufuli aunga mkono

    Jeshi la polisi Tanzania lawapiga kalamu nyekundu askari wake 54, Magufuli aunga mkono

    Jul 15, 2019 11:13

    Jeshi la polisi nchini Tanzania limewapiga kalamu nyekundu askari wake 54 kuanzia Januari hadi mwezi Juni mwaka huu kutokana na kwenda kinyume na maadili ya kazi yao ikiwamo kufanya vitendo vya uhalifu na kushirikiana na wahalifu.

  • Wajasiriamali

    Wajasiriamali "Muhajjaba" waandaliwa shindano la uvaaji bora wa Hijab + Sauti

    Jul 15, 2019 00:06

    Wanawake wajasiriamali nchini Tanzania ambao wamedumisha vazi la Hijabu wameandaliwa shindano maalumu kwa wale wanaovaa vazi hilo tukufu hata wakiwa katika mishughuliko yao, lengo likiwa ni kuwapa motisha wale wasiovaa, wawezee kuvaa vazi hilo la heshima la Kiislamu. Ammar Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS