-
Wananchi wa Tanzania washiriki vikao na maandamano ya Siku ya Quds +SAUTI
May 31, 2019 10:20Mwenyekiti wa Kamati ya Kutetea Haki za Wapalestina nchini Tanzania Abdallah Othman, amemuomba Rais John Pombe Magufuli apaze sauti juu ya suala la kuwaunga mkono Wapelestina, ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakidhulumiwa katika ardhi yao.
-
Rais wa Tanzania: Sasa Zimbabwe iondolewe vikwazo kwani uchumi wake umeboreka
May 29, 2019 08:04Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania sambamba na kumpongeza Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe, kutokana na hatua madhubuti za kufanya mageuzi ya uchumi katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa kuondoa vikwazo vilivyowekwa dhidi ya nchi hiyo.
-
Fatma Karume: Hukumu ya kuzuia wakurugenzi wa serikali kusimamia chaguzi Tanzania, ni kuzuia ushindi wa goli la mkono
May 24, 2019 09:09Fatma Karume, rais mstaafu wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), amesema kuwa uamuzi wa Mahakama Kuu wa kuwaengua wakurugenzi wa halmashauri kusimamia chaguzi mbalimbali nchini Tanzania ni sawa na kuzuia ushindi wa goli la mkono katika uchaguzi.
-
Jakaya Kikwete: Licha ya juhudi kubwa za viongozi wa Afrika bado kuna matatizo makubwa ya kiutawala
May 23, 2019 03:52Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa licha ya kuwepo juhudi chanya za viongozi wa Afrika kuonyesha ubunifu wa mipango ya maendeleo, lakini bado kuna tatizo la utawala.
-
Tundu Lissu: Nitarejea Tanzania Septemba 7, sawa na tarehe niliyoshambuliwa
May 22, 2019 10:05Mbunge wa Singida Mashariki wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, ambacho ni chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Tundu Lissu amesema kuwa atarejea nyumbani tarehe 7 Septemba mwaka huu kutokea nchini Ubelgiji alikoenda kwa ajili ya kuendelea na matibabu.
-
Freeman Mbowe: Katika matatizo ndani ya chama Lowassa alilegea kuliko mlenda
May 20, 2019 03:18Kiongozi wa chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, Freeman Mbowe amesema kuwa, katika dhoruba za miaka mwili ambazo alizishuhudia wakati akiwa ndani ya chama hicho Edward Lowassa, Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, alilegea kuliko mlenda.
-
SAUTI, Rais John Magufuli Tanzania: Huwezi kupata utajiri wa haraka kwa kupandisha bei bidhaa ndani ya Ramadhani
May 19, 2019 12:54Rais wa John Pombe Magufuli wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka Watanzania wenye kupandisha bei za bidhaa zinazotumika zaidi ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani waache tabia hiyo mara moja, kama ambavyo pia ametaka kuwepo usimamizi stahiki kuhusiana na suala hilo.
-
Serikali ya Tanzania: Maduka ya kubadilisha fedha yataanza shughuli zake hivi karibuni
May 18, 2019 03:33Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema kuwa, maduka ya kubadilisha fedha za kigeni nchini humo yataanza shughuli zake hivi karibuni.
-
SAUTI, Mufti wa Tanzania: Uislamu ni dini ya amani sana haitambui ugaidi na Waislamu Kenya wawataka polisi kutowasakama na ugaidi
May 10, 2019 10:23Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuberi amewataka Waislamu wa nchi hiyo kukataa kuwa sehemu ya mifaranakano katika jamii na badala yake wawe wamoja na hivyo wafanikishe kuleta maendeleo.
-
Serikali ya Tanzania: Watanzania puuzeni ripoti ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) kuhusu hali ya uchumi
May 10, 2019 09:22Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewataka wananchi kutozingatia ripoti iliyovuja ya Shirika la Fedha Duniani (IMF).