Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • China: Nchi za Afrika zijiepushe kuwaingiza madarakani wala rushwa

    China: Nchi za Afrika zijiepushe kuwaingiza madarakani wala rushwa

    Jul 17, 2018 14:12

    Mkuu wa Idara ya Kimataifa na Waziri wa Mahusiano wa Kimataifa wa Chama cha Kikomunisti nchini China (CPC), Song Tao, amezishauri serikali za mataifa ya bara la Afrika kuandaa mkakati maalumu ambao kwa mujibu wake utazuia viongozi wala rushwa kuingia madarakani.

  • Amnesty International yamjia juu Rais Magufuli kwa kuwadhalilisha wafungwa wa Tanzania

    Amnesty International yamjia juu Rais Magufuli kwa kuwadhalilisha wafungwa wa Tanzania

    Jul 17, 2018 03:01

    Shirikisha la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limemkosoa vikali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutaka wafungwa nchini humo kufanyishwa kazi usiku na mchana na kupigwa mijeledi wakiwa wavivu.

  • Waziri wa Mambo ya Ndani Tanzania: Sakata la wahamiaji haramu uhamiaji ijitathimini

    Waziri wa Mambo ya Ndani Tanzania: Sakata la wahamiaji haramu uhamiaji ijitathimini

    Jul 12, 2018 10:26

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tanzania, Kangi Lugola ameitaka idara ya Uhamiaji kujitathmini kuhusiana na suala la wahamiaji haramu ambao wamekuwa wakiingia nchi hiyo mara kwa mara.

  • SAUTI, Viongozi Chadema Tanzania: Tume ya Uchaguzi isimamie vyema uchaguzi wa Buyugu kuepusha ghasia

    SAUTI, Viongozi Chadema Tanzania: Tume ya Uchaguzi isimamie vyema uchaguzi wa Buyugu kuepusha ghasia

    Jul 12, 2018 11:27

    Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA) kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kusimamia kwa haki uchaguzi mdogo wa ubunge na udiwani katika eneo la Buyugu mkoani Kigoma.

  • SAUTI, Viongozi wa upinzani Tanzania waendelea kuishambulia bajeti ya serikali, waitaja kuwa si rafiki wa Watanzania

    SAUTI, Viongozi wa upinzani Tanzania waendelea kuishambulia bajeti ya serikali, waitaja kuwa si rafiki wa Watanzania

    Jun 28, 2018 11:19

    Viongozi wa upinzani nchini Tanzania wameendelea kukosoa bajeti ya serikali yam waka wa fedha 2018-2019 wakidai kuwa bajeti hiyo si rafiki wa wananchi.

  • Polisi ya Tanzania yawatia mbaroni wezi wakubwa wa mitandao ya simu

    Polisi ya Tanzania yawatia mbaroni wezi wakubwa wa mitandao ya simu

    Jun 27, 2018 09:55

    Jeshi la polisi maalamu ya Dar es salaam nchini Tanzania limetanza kuwa, linawashikilia watu 15 kwa kujihusisha na wizi kwa njia ya mtandao.

  • Homa ya Chikungunya na Dengue zaripotiwa nchini Tanzania (RIPOTI)

    Homa ya Chikungunya na Dengue zaripotiwa nchini Tanzania (RIPOTI)

    Jun 26, 2018 10:30

    Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto nchini Tanzania imetoa taarifa kwa umma kuhusu kuwepo kwa magonjwa wa homa ya Chikungunya na Dengue nchini humo.

  • Watu 14 wafariki dunia katika ajali mbaya iliyotokea asubuhi ya leo Mkuranga, Tanzania

    Watu 14 wafariki dunia katika ajali mbaya iliyotokea asubuhi ya leo Mkuranga, Tanzania

    Jun 25, 2018 03:48

    Watu 14 wameripotiwa kufariki dunia katika ajali mbaya ya gari iliyotokea mapema leo  mkoani Pwani nchini Tanzania.

  • LHRC: Kuna njia tatu kuu zitakazofanikisha kupatikana katiba mpya Tanzania

    LHRC: Kuna njia tatu kuu zitakazofanikisha kupatikana katiba mpya Tanzania

    Jun 22, 2018 09:27

    Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) nchini Tanzania kimetoa mapendekezo matatu ambayo kwa mujibu wake yatasaidia kupatikana katiba mpya nchini humo.

  • SAUTI, Mawaziri wa Nishati wa Rwanda na Tanzania watembelea mradi wa umeme wa Rusumo wahimiza kasi zaidi

    SAUTI, Mawaziri wa Nishati wa Rwanda na Tanzania watembelea mradi wa umeme wa Rusumo wahimiza kasi zaidi

    Jun 10, 2018 12:38

    Serikali za Rwanda na Tanzania zimekubaliana kuzidisha ushirikiano katika ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo kwa ajili ya manufaa ya wananchi wa nchi mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS