-
Sakata la Mbunge John Mnyika kutupwa nje ya Bunge Tanzania
Jun 03, 2017 05:36Wabunge nchini Tanzania wameelezea kutofurahishwa na kitendo cha Spika wa Bunge la nchi hiyo Job Ndugai cha kumtoa kwa nguvu mbunge wa upinzani John Mnyika (CHADEMA) na kusema kuwa vitendo hivyo ni unyanyasaji dhidi ya wabunge wa upinzani na ni kuwapendelea wabunge wa chama tawala CCM. Mwandishi wa Radio Tehran na maelezo zaidi...
-
IGP mpya wa Tanzania aahidi kuzima mauaji Kibiti
May 31, 2017 12:41Awapa tahadhari wanaojihusisha na mauaji hayo kuwa chuma chao ki-motoni.
-
Rais wa Tanzania amfuta kazi waziri Muhongo
May 24, 2017 09:55Rais John Magufuli wa Tanzania ametangaza kumfuta kazi Waziri wa Nishati na Madini wa nchi hiyo, Sospeter Muhongo kutokana na kuhusika katika kashfa ya mchanga wa dhahabu uliokuwa unasafirishwa nje ya Tanzania.
-
Ulimwengu wa Michezo, Mei 22
May 22, 2017 02:43Ufuatao ni mkusayiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita.....
-
EU yakataa ombi la Museveni na Magufuli la kuiondolea vikwazo Burundi
May 21, 2017 23:54Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania amekataa ombi la marais wa Tanzania na Uganda la kuutaka umoja huo uifutie vikwazo Burundi.
-
Ulimwengu wa Spoti, Mei 15
May 15, 2017 03:24Huu ni mkusayiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita.....
-
Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini awasili Tanzania kwa ziara rasmi
May 11, 2017 00:16Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini, aliwasili nchini Tanzania jioni ya jana kwa ziara ya kikazi.
-
Ajali mbaya yaua wanafunzi 32 na walimu wao mjini Arusha Tanzania
May 06, 2017 08:08Polisi ya Tanzania imetangaza kutokea ajali mbaya iliyosababisha jumla ya wanafunzi 29, walimu wawili na dereva mmoja kufariki dunia.
-
SAUTI: Maalim Seif azungumzia miaka 53 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
May 02, 2017 12:13CUF yakosoa Muungano wa Tanzania
-
Iran na Tanzania kuimarisha uhusiano wao katika uwekezaji wa nishati
Apr 29, 2017 11:33Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Tanzania zimekusudia kuimarisha uhusiano baina yao katika sekta ya uwekezaji wa nishati.