-
Tanzania mwenyeji wa mkutano wa AU kuhusu demokrasia na haki
Nov 23, 2016 04:46Duru ya tano ya mkutano wa kila mwaka wa Umoja wa Afrika kuhusu Demokrasia, Haki, za Binadamu na Uongozi imeanza hii leo mjini Arusha Tanzania.
-
Tanzania yazima njama ya kuenezwa ushoga na ndoa za watu wenye jinsia moja
Nov 20, 2016 04:43Katika kile kinachoonekana ni nia ya dhati ya kupiga vita na kukabili jitihada za kueneza vitendo vya ushoga nchini Tanzania, serikali imefanikiwa kuidhibiti Asasi ya Kimataifa ya UPR Info, iliyoandaa mpango wa kuwashawishi maofisa wa serikali na wabunge kuunga mkono harakati za ushoga nchini humo.
-
SAUTI, Watanzania: Kuchaguliwa Trump kumebainisha kuwa Wamarekani wote wana ubaguzi mioyoni mwao
Nov 10, 2016 13:14Watanzania walio wengi wameonyesha masikitiko yao kufuatia ushindi wa Donald Trump katika uchaguzi wa rais nchini Marekani kutokana na kile wanachokidai kuwa ni misimamo hasi ya kibaguzi ambayo mara nyingi alikuwa akiitoa katika kipindi chote cha kampeni.
-
Spika wa zamani wa Tanzania afariki dunia, Rais Magufuli atoa mkono wa pole
Nov 07, 2016 04:33Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania ametoa mkono wa rambirambi kufuatia kifo cha spika wa zamani wa bunge la nchi hiyo, Samuel Sitta aliyefariki dunia usiku wa kuamkia leo nchini Ujerumaini alikokuwa anapatiwa matibabu.
-
SAUTI: Mgogoro wa kisiasa Zanzibar umewafanya Watanzania kuwa na kauli tofauti baada ya kikao cha Rais Magufuli TZ na waandishi wa habari Ijumaa hii
Nov 05, 2016 13:27Baada ya Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania kuzungumza na waandishi wa habari Ijumaa hii katika hafla ya kutathmini uongozi wake wa mwaka mmoja tangu achaguliwe kuwa rais, kumekuwepo na kauli tofauti baina ya Watanzania juu ya nukta alizoziashiria rais huyo.
-
Tanzania yaitaka mahakama ya ICC kukutana na nchi wanachama wa Mkataba wa Roma
Nov 02, 2016 04:38Wakati nchi kadhaa za Afrika zikionesha dalili za kutaka kujiengua kutoka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), Tanzania imeishauri mahakama hiyo kukaa meza moja na nchi wanachama wa Mkataba wa Roma, hasa za Afrika ili kutafuta suluhu ya changamoto na tofauti zilizopo kati ya mahakama hiyo na wanachama wake.
-
Tanzania na Kenya zakubaliana kujenga barabara mbili unganishi
Nov 01, 2016 04:27Tanzania na Kenya zimekubaliana kuanza kwa wakati ujenzi wa barabara mbili unganishi ambazo zitaboresha usafirishaji wa bidhaa na safari za raia kati ya nchi mbili hizo.
-
Rais Magufuli: Kenya, mshirika nambari moja wa Tanzania kibiashara barani Afrika
Oct 31, 2016 11:43Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania amekanusha madai kuwa serikali yake inazipuuza nchi jirani na kujikita zaidi katika masuala ya ndani.
-
Sisitizo la Tanzania la kupambana na biashara haramu mashariki mwa Afrika
Oct 31, 2016 09:59Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania amesisitiza kupambana na biashara haramu katika eneo la mashariki mwa Afrika.
-
Ulimwengu wa Michezo, Okt 31
Oct 31, 2016 03:58Ufuatao ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti kutoka kila kila dunia ndani ya siku saba zilizopita.