-
SAUTI: Hali ya Tanzania baada ya mwaka mmoja wa Rais Magufuli madarakani
Oct 27, 2016 11:53Radio Tehran imezungumza na baadhi ya Watanzania kuhusu mwaka mmoja wa Rais Magufuli madarakani, huku changamoto kubwa ya serikali yake ikiwa ni ugumu wa maisha kwa Watanzania.
-
Tanzania na Morocco zasaini mikataba ya ushirikiano katika maeneo zaidi ya 20
Oct 26, 2016 01:10Tanzania na Morocco zimesaini mikataba ya kushirikiana katika nyanja zaidi ya 20.
-
Bakwata: Watanzania kunufaika na bidhaa zenye nembo "Halal"
Oct 25, 2016 04:40Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limesema kila Mtanzania karibuni hivi atanufaika na bidhaa zenye nembo ya Halal, ambapo wapo mbioni kuijumuisha nchi hiyo ya Afrika Mashariki kwenye orodha ya nchi 33 ambazo zinatumia bidhaa halali za vyakula na vinywaji.
-
Morocco yaelekea Afrika Mashariki kutafuta uungaji mkono AU
Oct 20, 2016 10:04Mfalme Mohammed wa VI wa Morocco ameanza ziara ya nchi tatu za Afrika Mashariki katika juhudi za kutafuta uungaji mkono wa kurejea nchi hiyo kuwa mwananchama wa Umoja wa Afrika, baada ya kujiondoa kwenye umoja huo zaidi ya miongo mitatu iliyopita.
-
Mkutano kuhusu haki za wanawake waanza Tanzania
Oct 12, 2016 04:05Wanawake kutoka nchi kadhaa za Afrika wanakongamana mjini Moshi nchini Tanzania katika mkutano wa kujadili haki za mwanamke, hususan haki ya kumiliki ardhi na maliasili.
-
SAUTI: Serikali ya Tanzania yaendelea kuwashawishi wafanyabiashara wa nchi jirani kutumia bandari ya Dar es Salaam, Tanga
Oct 11, 2016 13:43Serikali ya Tanzania imeendelea kuboresha miundombinu katika bandari zake za jijini Dar es Salaam na Tanga ili kuzivutia nchi majirani zisizokuwa na bandari kuweza kutumia bandari hizo.
-
Jumamosi, Oktoba Mosi, 2016
Oct 01, 2016 00:42Leo ni Jumamosi tarehe 29 Mfunguo Tatu Dhul-Hijja 1437 Hijria mwafaka na tarehe Mosi Oktoba 2016 Miladia.
-
Benki ya Dunia: Uchumi wa Tanzania, Rwanda unastawi kwa wastani
Sep 30, 2016 03:33Benki ya Dunia imetoa ripoti ya ustawi wa uchumi wa Afrika ambapo nchi za Afrika Mashariki za Tanzania na Rwanda zinaonekana kuwa na uchumi wenye kustawi kwa wastani.
-
SAUTI: Wanachama CUF TZ: Mgogoro uliopo chamani utatuliwe kwa pande hasimu kuheshimu katiba ya chama
Sep 29, 2016 14:52Wanachama wa chama cha Wananchi CUF nchini Tanzania, wamewataka viongozi wanaohasimiana, kutanzua mgogoro uliopo wa kwa kuchunga misingi ya katiba ya chama hicho.
-
SAUTI: Vutanikuvute ndani ya chama cha CUF Tanzania zaendelea huku Profesa Lipumba akipigwa kalamu nyekundu
Sep 27, 2016 13:34Katika kikao kilichoitishwa na kamati ya utendaji ya chama cha CUF, kulijadiliwa masuala mbalimbali ikiwemo uamuzi dhidi ya Profesa Lipumba.