Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Viongozi wa dini Tanzania: Serikali ifanye tathmini ya madhara ya tetemeko kwa usawa

    Viongozi wa dini Tanzania: Serikali ifanye tathmini ya madhara ya tetemeko kwa usawa

    Sep 16, 2016 00:03

    Viongozi wa dini mkoani Kagera nchini Tanznaia wameishauri serikali kuwashirikisha wananchi katika zoezi la kutathmini madhara, yaliyotokana na tetemeko la ardhi mkoani humo kwa usawa, na kwamba hadi sasa baadhi ya maeneo, hayajafikiwa na kufanyiwa tathmini hiyo.

  • Malaysia yathibitisha mabaki ya ndege yaliyopatikana Tanzania ni ya ndege yake iliyotoweka

    Malaysia yathibitisha mabaki ya ndege yaliyopatikana Tanzania ni ya ndege yake iliyotoweka

    Sep 15, 2016 11:26

    Waziri wa Usafirishaji wa Malaysia amesema kuwa kipande kikubwa cha sehemu ya ndege kilichopatikana katika kisiwa cha Pemba nchini Tanzania mwezi Juni mwaka huu ni cha ndege yake ya Boeing 777 iliyotoweka zaidi ya miaka miwili iliopita.

  • Tetemeko la ardhi lakumba maeneo ya Tanzania, Uganda na Burundi; 10 wafariki dunia + SAUTI

    Tetemeko la ardhi lakumba maeneo ya Tanzania, Uganda na Burundi; 10 wafariki dunia + SAUTI

    Sep 10, 2016 11:14

    Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 5.7 kwa kipimo cha rishta limeikumba mikoa ya kanda ya ziwa nchini Tanzania na kusini mashariki mwa Uganda na baadhi ya maeneo ya Burundi kusababisha maafa ya vifo na majeruhi na hasara ya mali.

  • Iran na Tanzania kuimarisha uhusiano wa kiutamaduni

    Iran na Tanzania kuimarisha uhusiano wa kiutamaduni

    Sep 02, 2016 11:26

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeazimia kuimarisha uhusiano wa kiutamaduni na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

  • UKUTA watangaza kuakhirisha maandamano ya kesho Tanzania

    UKUTA watangaza kuakhirisha maandamano ya kesho Tanzania

    Aug 31, 2016 09:42

    Muungano wa vyama vya upinzani nchini Tanzania umeahirisha maandamano ya kitaifa ambayo yalikuwa yamepangiwa kufanyika kesho.

  • TLP: Serikali ya SMZ ikifungie ruzuku chama cha CUF hadi kijirekebishe

    TLP: Serikali ya SMZ ikifungie ruzuku chama cha CUF hadi kijirekebishe

    Aug 24, 2016 23:56

    Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) nchini humo, kimemuandikia barua Rais wa Mapinduzi wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein na kumtaka kuanzia sasa amtenge Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, kwa kutomualika kwenye shughuli zozote za kitaifa.

  • TRA Tanzania kupita nyumba hadi nyumba kuchunguza upangishaji

    TRA Tanzania kupita nyumba hadi nyumba kuchunguza upangishaji

    Aug 06, 2016 00:05

    Katika hali ya kushangaza, Mamlaka ya Mapato nchini Tanzania (TRA), imetangaza kuwa itaanza kutembelea nyumba hadi nyumba kuhakiki gharama za upangishaji kwa lengo la kukokotoa na kukusanya kodi sahihi ambazo zilikuwa hazifiki serikalini.

  • Makumi ya familia za Warundi zarejea nyumbani

    Makumi ya familia za Warundi zarejea nyumbani

    Aug 04, 2016 10:37

    Gavana wa mkoa mmoja kaskazini mashariki mwa Burundi ametangaza habari ya kurejea mamia ya familia za raia wa Burundi waliokuwa wamekimbilia nchini Tanzania.

  • Ripoti: Uganda yaongoza kwa visa vya uhalifu Afrika Mashariki

    Ripoti: Uganda yaongoza kwa visa vya uhalifu Afrika Mashariki

    Jul 26, 2016 12:25

    Utafiti mpya umefichua kuwa, Uganda ndiyo inayoongoza kwa visa vya uhalifu wa kutumia silaha za moto katika kanda ya Afrika Mashariki.

  • Bunge la Afrika Mashariki lamuenzi Hafsa Mossi

    Bunge la Afrika Mashariki lamuenzi Hafsa Mossi

    Jul 21, 2016 09:22

    Bunge la Afrika Mashariki EALA limefanya kikao maalumu asubuhi ya leo mjini Arusha Tanzania, kwa ajili ya kumuenzi Hafsa Mossi, mwakilishi wa Burundi katika bunge hilo la kieneo ambaye aliuawa wiki jana mjini Bujumbura.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS