SAUTI: Hali ya Tanzania baada ya mwaka mmoja wa Rais Magufuli madarakani
Oct 27, 2016 11:53 UTC
Radio Tehran imezungumza na baadhi ya Watanzania kuhusu mwaka mmoja wa Rais Magufuli madarakani, huku changamoto kubwa ya serikali yake ikiwa ni ugumu wa maisha kwa Watanzania.
Tags