Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • EU: Sheria ya Mtandao nchini Tanzania, ifanyiwe marekebisho

    EU: Sheria ya Mtandao nchini Tanzania, ifanyiwe marekebisho

    Jun 02, 2016 11:23

    Ujumbe wa waangalizi wa uchaguzi wa Umoja wa Ulaya (EU-EOM), umewasilisha ripoti yake kamili yenye mapendekezo tofauti kuhusiana na marekebisho ya kuboresha mchakato mzima wa uchaguzi nchini Tanzania.

  • Serikali Tanzania: Kutoongezwa muda wa simu feki ni kuwataka Watanzania wajifunze kufuata taratibu

    Serikali Tanzania: Kutoongezwa muda wa simu feki ni kuwataka Watanzania wajifunze kufuata taratibu

    May 27, 2016 23:50

    Serikali ya Tanzania imesisitiza kuwa haitaongeza muda wa kuzifungia simu feki ifikapo tarehe 16 Juni na kwamba imechukua uamzi huo ili kuwafanya Watanzania wajifunze kufuata taratibu.

  • Bunge la Afrika Mashariki laanza vikao Arusha, kujadili bajeti ya EAC

    Bunge la Afrika Mashariki laanza vikao Arusha, kujadili bajeti ya EAC

    May 23, 2016 07:44

    Bunge la Afrika Mashariki EALA limeanza vikao vyake mjini Arusha nchini Tanzania hii leo, huku mjadala kuhusu bajeti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC ikiwa moja ya ajenda kuu katika vikao hivyo.

  • Tanzania, Kenya na Afrika Kusini zaanza kununua gesi asilia ya Iran

    Tanzania, Kenya na Afrika Kusini zaanza kununua gesi asilia ya Iran

    May 22, 2016 23:04

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeanza kuziuzia nchi za Afrika Kusini, Kenya na Tanzania gesi asilia oevu (LNG).

  • Waziri aliyepigwa kalamu nyekundu na Rais Magufuli kwa ulevi, aendelea kusakamwa na tuhuma

    Waziri aliyepigwa kalamu nyekundu na Rais Magufuli kwa ulevi, aendelea kusakamwa na tuhuma

    May 22, 2016 03:53

    Ikiwa ni siku moja baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Charles Kitwanga kupigwa kalamu nyekundu na Rais John Pombe Magufuli kutokana na ulevi, wanasiasa na wasomi mbalimbali nchini humo wameendelea kumbana zaidi wakisema hatua hiyo ya rais imekuja ikiwa imechelewa.

  • Bakwata yalaani rasmi shambulio la msikitini mjini Mwanza, Tanzania

    Bakwata yalaani rasmi shambulio la msikitini mjini Mwanza, Tanzania

    May 21, 2016 23:51

    Baraza Kuu la Waislamu Tanzania, (Bakwata) limelaani mauaji ya hivi karibuni yaliyofanywa na watu wanaodhaniwa kuwa wakufurishaji katika msikiti mmoja jijini Mwanza.

  • Waliovamia Msikiti Mwanza na kuua watu walikuwa na bendera za ISIS (Daesh)

    Waliovamia Msikiti Mwanza na kuua watu walikuwa na bendera za ISIS (Daesh)

    May 20, 2016 11:57

    Genge la watu waliouhujumu msikiti mmoja wa mjini Mwanza kaskazini mwa Tanzania Jumatano usiku na kutekeleza mauaji walikuwa na bendera za kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.

  • Serikali ya Burundi yasema itashiriki mazungumzo ya amani Tanzania

    Serikali ya Burundi yasema itashiriki mazungumzo ya amani Tanzania

    May 19, 2016 23:37

    Serikali ya Burundi imesema, itahudhuria mazungumzo ya amani ya nchi hiyo yaliyopangwa kufanyika mjini Arusha, Tanzania kwa usuluhishi wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC).

  • Matakfiri wavamia msikiti Mwanza, Tanzania na kufanya mauaji

    Matakfiri wavamia msikiti Mwanza, Tanzania na kufanya mauaji

    May 19, 2016 11:57

    Watu wanaodhaniwa kuwa ni wakufurishaji wamevamia msikiti wa ‘Masjid Rahma’ mkoani Mwanza, Tanzania na kufanya mauaji.

  • Matakfiri wavamia msikiti Mwanza, Tanzania na kufanya mauaji

    Matakfiri wavamia msikiti Mwanza, Tanzania na kufanya mauaji

    May 19, 2016 11:23

    Watu wanaodhaniwa kuwa ni wakufurishaji wamevamia msikiti wa ‘Masjid Rahma’ mkoani Mwanza, Tanzania na kufanya mauaji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS