-
Wizara ya Ulinzi Tanzania: Tumejiweka tayari kukabiliana na ugaidi
May 11, 2016 23:42Serikali ya Tanzania imesema kuwa hali ya ulinzi na usalama wa mipaka yote ya nchi hiyo ni shwari na kwamba imejipanga kukabiliana na wimbi la makundi ya kigaidi.
-
Tanzania kuendelea kuwa rafiki wa Palestina
May 10, 2016 23:47Gazeti moja la kila siku la nchini Tanzania limeandika makala changanuzi kuhusu historia ya uungaji mkono wa Tanzania kwa taifa madhlumu la Palestina.
-
Tanzania yatangaza vita dhidi ya uharibifu wa mazingira
May 02, 2016 23:53Serikali nchini Tanzania imesema kuwa, hali ya mazingira ya nchi hiyo ni mbaya kutokana na kukithiri kwa uharibifu mkubwa wa mazingira, ambapo kwa sasa takribani asilimia 61 ya ardhi yake iko kwenye hatarini ya kuwa jangwa.
-
Kikao cha Arusha kwa ajili ya amani ya Burundi chaahirishwa
May 01, 2016 23:29Mazungumzo ya amani ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa nchini Burundi ambayo yalitazamiwa kuanza leo Jumatatu mjini Arusha nchini Tanzania yameahirishwa.
-
Barabara ya kwanza ya juu (flyover) kujengwa Dar-es-Salaam Tanzania
Apr 17, 2016 02:41Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa barabara ya juu (Flyover) katika makutano ya barabara ya Nyerere na Mandela, eneo la Tazara Jijini Dar es salaam ambayo inatarajiwa kukamilika ifikapo Oktoba 2018.
-
Ujenzi wa bomba la mafuta la Uganda, Tanzania yaipiku Kenya
Apr 16, 2016 11:36Uganda imeamua kujenga bomba la mafuta kupitia Tanzania badala ya Kenya.
-
Mafuriko yaua watu wawili Tanzania
Apr 15, 2016 03:19Watu wawili wamethibitishwa kufariki dunia na mamia ya wengine kuachwa bila makao baada ya mvua kubwa kunyesha kwa wiki moja katika wilaya ya Kyela, kusini magharibi mwa Tanzania.
-
Tanzania kuwachunguza askari wake waliobaka DRC
Apr 06, 2016 03:06Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema Tanzania imeshaandaa timu ya uchunguzi ambayo itasafiri kwenda nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kuchunguza madai kuwa askari wake walio katika kikosi cha Umoja wa Mataifa walihusika na unyanyasaji wa kingono.
-
Wanajeshi wa Tanzania wahusishwa na kashfa za ubakaji DRC
Apr 05, 2016 09:46Wanajeshi wa Tanzania walioko katika kikosi cha Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanakabiliwa na tuhuma za kuhusika na ubakaji na udhalilishaji wa kijinsia.
-
Chama cha CUF: Hatumtambui Dakta Shein kama Rais wa Zanzibar
Apr 04, 2016 12:01Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la Chama Cha Wananchi CUF nchini Tanzania limetoa maazimio 13 baada ya kumaliza kikao chake cha siku mbili visiwani Zanzibar.