-
Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Adui akikosea, atazabwa kibao kikali
Jun 12, 2026 14:13Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema: "Adui wa taifa haelewi lugha ya mazungumzo wala lugha ya kusitisha mapigano, bali anaelewa lugha ya mabavu, ambayo majeshi yetu yamemfanya aielewe vizuri sana na yataendelea kumfanya adui ielewe vizuri zaidi."
-
Alkhamisi, Juni 11, 2026
Jun 11, 2026 07:52Leo ni Alkhamisi 25 Mfunguo Tatu Dhulhija 1447 Hijria mwafaka na 11 Juni 2026.
-
Jumamosi tarehe 30 Mei 2026
May 30, 2026 07:34Leo ni Jumamosi tarehe 13 Dhulhija 1447 Hijria sawa na 30 Mei mwaka 2026.
-
Imam wa Swala ya Ijumaa Tehran: Maadui watakabiliana na makombora mapya ikiwa watafanya makosa
May 22, 2026 15:05Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema: "Iwapo maadui watafanya kosa jingine, watakabiliana na vita vipana zaidi badala ya vita vya kikanda, na badala ya kuzuiliwa Mlango-Bahari wa Hormuz, wakati huo Mlango Bahari wa Bab al-Mandeb pia atafungwa.
-
Iran yawasilisha majibu kwa pendekezo la Marekani la kukomesha uchokozi
May 12, 2026 03:40Iran imewasilisha mpango kamili wa kukomesha vita vya uchokozi wa Marekani na Israel, ikisisitiza kulipwa fidia kamili kwa uharibifu wa vita na kuondolewa vikwazo vyote.
-
Iran yasema: 'Mpira uko upande wa Marekani' yawasilisha mapendekezo kwa wapatanishi ili kukomesha vita vya US na Israel
May 03, 2026 10:22Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Sheria na Kimataifa ameweka wazi msimamo rasmi wa Iran kuhusu juhudi zinazoendelea kufanywa kwa ajili ya kufikiwa mapatano na Marekani.
-
Muendelezo wa ushirikiano wa Tehran-Caracas; nembo ya muqawama dhidi ya mashinikizo ya Marekani
Jan 20, 2026 05:22Rais wa muda wa Venezuela amesisitiza kwamba, Caracas itaendeleza uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Alkhamisi, Novemba 27, 2025
Nov 26, 2025 22:52Leo ni Alkhamisi tarehe 6 Mfunguo Tisa Jamadithani 1447 Hijria inayosadifiana na tarehe 27 Novemba 2025.
-
Tehran: Azimio la IAEA dhidi ya Iran ni 'doa la fedheha' kwa watayarishaji wake
Nov 23, 2025 23:51Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani azimio lililopitishwa na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kuhusu mpango wa amani wa nyuklia wa Tehran na kulitaja kuwa "doa la fedheha" kwa wafadhili wa azimio hilo.
-
Jumatano, tarehe 22 Oktoba, 2025
Oct 22, 2025 09:29Leo ni Jumatano tarehe 29 Mfunguo Saba Rabiuthani 1447 Hijria inayosadifiana na tarehe 22 Oktoba 2025.