Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Algeria: Magaidi wa Daesh wanakusudia kuweka kambi katika nchi za kaskazini mwa Afrika

    Algeria: Magaidi wa Daesh wanakusudia kuweka kambi katika nchi za kaskazini mwa Afrika

    Nov 16, 2017 04:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria ametahadharisha kwamba, wanachama wa kundi hatari la kigaidi na kitakfiri la Daesh, wanakusudia kuweka kambi na kujizatiti katika nchi za kaskazini mwa Afrika.

  • Tunisia yaikosoa Saudia kwa hatua zake za kuzusha migogoro katika nchi nyingine

    Tunisia yaikosoa Saudia kwa hatua zake za kuzusha migogoro katika nchi nyingine

    Nov 12, 2017 04:19

    Waziri Mkuu wa Tunisia ametoa radiamali yake kutokana na hatua ya kuibua migogoro ya Saudia katika nchi nyingine hususan Lebanon na kuonyesha matarajio kwamba mzozo huo hautapelekea kutokea vita kati ya nchi mbili.

  • Jumanne, Novemba 7, 2017

    Jumanne, Novemba 7, 2017

    Nov 07, 2017 05:53

    Leo ni Jumanne tarehe 18 Mfunguo Tano Safar 1439 Hijria sawa na Novemba 7, 2017.

  • Polisi nchini Tunisia waandamana, wataka kulindwa

    Polisi nchini Tunisia waandamana, wataka kulindwa

    Nov 04, 2017 04:23

    Maafisa wa polisi nchini Tunisia wamefanya maandamano wakitaka kupitishwe rasimu ya muswada wa kuwalinda.

  • Tunisia yasambaratisha genge jingine la kigaidi

    Tunisia yasambaratisha genge jingine la kigaidi

    Oct 19, 2017 10:33

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Tunisia imetangaza kuwa, imesambaratisha genge moja la ukufurishaji lenye mfungamano na kundi la kigaidi linalojulikana kwa jina la Answar al Sharia.

  • Umoja wa Ulaya wazungumza na Tunisia kuhusu njia za kupambana na ugaidi

    Umoja wa Ulaya wazungumza na Tunisia kuhusu njia za kupambana na ugaidi

    Oct 19, 2017 00:32

    Maafisa wa kupambana na ugaidi wa Umoja wa Ulaya wameitisha kikao na viongozi wa Tunisia kujadiliana njia za kupambana na ugaidi.

  • Duru mpya ya mazungumzo ya utatuzi wa mgogoro wa Libya yaanza nchini Tunisia

    Duru mpya ya mazungumzo ya utatuzi wa mgogoro wa Libya yaanza nchini Tunisia

    Oct 15, 2017 10:27

    Wajumbe kutoka makundi mbalimbali ya Libya wameanza mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo katika nchi jirani ya Tunisia, chini ya usimamizi wa Umoja wa Mataifa.

  • Wahajiri 140 waokolewa baada ya boti zao kuzama Tunisia

    Wahajiri 140 waokolewa baada ya boti zao kuzama Tunisia

    Oct 01, 2017 11:45

    Jeshi la Majini la Tunisia limefanikiwa kuokoa wahajiri wapatao 140, baada ya boti zao kuzama kusini mashariki mwa nchi.

  • Watunisia wasaini hati ya kutaka kuuzuliwa rais wa nchi hiyo

    Watunisia wasaini hati ya kutaka kuuzuliwa rais wa nchi hiyo

    Aug 28, 2017 03:30

    Chama cha al Mahabba nchini Tunisia kimeanza kukusanya saini za raia wa nchi hiyo katika mchakato wa kutaka Rais Mohamed Beji Caid Essebsi atimuliwe baada ya kutoa wito unaokiuka sheria za mirathi za Kiislamu.

  • Mipaka ya Libya na Tunisia yatajwa kuwa maficho ya wanachama wa Daesh

    Mipaka ya Libya na Tunisia yatajwa kuwa maficho ya wanachama wa Daesh

    Aug 01, 2017 22:07

    Mipaka ya Libya na Tunisia imetajwa kuwa maficho ya wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS