Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Wahajiri 140 waokolewa baada ya boti zao kuzama Tunisia

    Wahajiri 140 waokolewa baada ya boti zao kuzama Tunisia

    Oct 01, 2017 11:45

    Jeshi la Majini la Tunisia limefanikiwa kuokoa wahajiri wapatao 140, baada ya boti zao kuzama kusini mashariki mwa nchi.

  • Watunisia wasaini hati ya kutaka kuuzuliwa rais wa nchi hiyo

    Watunisia wasaini hati ya kutaka kuuzuliwa rais wa nchi hiyo

    Aug 28, 2017 03:30

    Chama cha al Mahabba nchini Tunisia kimeanza kukusanya saini za raia wa nchi hiyo katika mchakato wa kutaka Rais Mohamed Beji Caid Essebsi atimuliwe baada ya kutoa wito unaokiuka sheria za mirathi za Kiislamu.

  • Mipaka ya Libya na Tunisia yatajwa kuwa maficho ya wanachama wa Daesh

    Mipaka ya Libya na Tunisia yatajwa kuwa maficho ya wanachama wa Daesh

    Aug 01, 2017 22:07

    Mipaka ya Libya na Tunisia imetajwa kuwa maficho ya wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh.

  • Rais Bashar al-Assad: Uelewa wa mataifa ya Kiarabu ni sababu ya umoja

    Rais Bashar al-Assad: Uelewa wa mataifa ya Kiarabu ni sababu ya umoja

    Aug 01, 2017 08:35

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, raia wa mataifa ya Kiarabu wamethibitisha kuwa, wana kiwango cha hali ya juu cha uelewa kuhusu matukio yanayojiri katika eneo la Mashariki ya Kati na kwamba suala hilo linatakiwa liwe kivutio kwa ajili ya umoja wa mataifa yote.

  • Tunisia: Hatukuwahi kukata mahusiano yetu na taifa la Syria

    Tunisia: Hatukuwahi kukata mahusiano yetu na taifa la Syria

    Jul 31, 2017 03:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia amesema kuwa, hakuna wakati ambapo mahusiano ya nchi yake na Syria yalikatika.

  • Watunisia waandamana kupinga maonyesho ya vichekesho ya Mzayuni nchini kwao

    Watunisia waandamana kupinga maonyesho ya vichekesho ya Mzayuni nchini kwao

    Jul 20, 2017 23:03

    Watunisia wamefanya maandamano mjini Tunis kupinga maonyesho ya vichekesho ya Michel Boujenah Mzayuni mwenye uraia wa nchi mbili za Ufaransa na Tunisia nchini mwao.

  • Zarif: Hakuna kizuizi cha kuimarisha uhusiano wa Iran na Tunisia

    Zarif: Hakuna kizuizi cha kuimarisha uhusiano wa Iran na Tunisia

    Jun 20, 2017 03:28

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hakuna kitu kinachoweza kuzuia au kukwamisha kuimarisha uhusiano wa pande mbili wa Iran na Tunisia.

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran barani Afrika

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran barani Afrika

    Jun 17, 2017 23:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo (Jumapili) anaanza ziara ya kuzitembelea nchi za Algeria, Mauritania na Tunisia.

  • Mwanasiasa Tunisia: Mzingiro wa Waarabu dhidi ya Qatar ni ishara ya kufeli Arab League

    Mwanasiasa Tunisia: Mzingiro wa Waarabu dhidi ya Qatar ni ishara ya kufeli Arab League

    Jun 16, 2017 10:55

    Nizar Ayyad mjumbe wa ngazi ya juu wa chama cha Nida nchini Tunisia amesema kuwa, kitendo cha kuzingirwa na kuwekewa vikwazo taifa la Qatar, ni ishara ya wazi ya kushindwa vibaya Saudia, Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).

  • Watu 78 wamejeruhiwa katika ghasia za kikabila kusini mwa Tunisia

    Watu 78 wamejeruhiwa katika ghasia za kikabila kusini mwa Tunisia

    Jun 10, 2017 23:56

    Gavana wa eneo la Qibli kusini mwa Tunisia ametangaza kuwa watu 78 wamejeruhiwa katika mapigano ya kikabila yaliyotokea jana katika eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS