Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Waziri wa Mambo ya Ndani Tunisia: Magaidi 3000 wa Kitunisia wako nje ya nchi

    Waziri wa Mambo ya Ndani Tunisia: Magaidi 3000 wa Kitunisia wako nje ya nchi

    Apr 22, 2017 02:36

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tunisia amesema kuwa, magaidi 3000 za Kitunisia wako katika nchi za Syria, Libya na maeneo mengine duniani.

  • Jeshi la Tunisia latumia mizinga kushambulia maficho ya magaidi

    Jeshi la Tunisia latumia mizinga kushambulia maficho ya magaidi

    Apr 19, 2017 11:25

    Kikosi cha mizinga cha jeshi la wananchi wa Tunisia kimeshambulia maficho ya magaidi kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Ufaransa katika jitihada za kupanua mahusiano yake na Tunisia

    Ufaransa katika jitihada za kupanua mahusiano yake na Tunisia

    Apr 09, 2017 23:09

    Katika safari yake katika nchi za kaskazini mwa Afrika, Waziri Mkuu wa Ufaransa amejadili njia za kuanzisha na kuongeza ushirikiano katika uga wa kiuchumi na kuchunguza masuala mbalimbali ikiwemo migogoro ya kieneo.

  • Malengo ya safari ya Waziri Mkuu wa Ufaransa barani Afrika

    Malengo ya safari ya Waziri Mkuu wa Ufaransa barani Afrika

    Apr 06, 2017 06:32

    Waziri Mkuu wa Ufaransa Bernard Cazeneuve ameanza safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za Afrika ambayo imetajwa kuwa lengo lake ni kuimarisha uchumi na mapambano dhidi ya ugaidi.

  • Hamma Hammami: Rais wa zamani wa Tunisia, alikula njama za kumuondoa Rais Assad

    Hamma Hammami: Rais wa zamani wa Tunisia, alikula njama za kumuondoa Rais Assad

    Apr 05, 2017 09:40

    Msemaji wa Harakati ya Wananchi 'The Popular Front' ya nchini Tunisia amesema kuwa, Moncef Marzouki rais wa zamani wa Tunisia, alikula njama za kutaka kuiondoa madarakani serikali halali ya Syria.

  • Rais wa Tunisia: Iran ndiyo tegemeo pekee kwa ajili ya kukabiliana na Israel

    Rais wa Tunisia: Iran ndiyo tegemeo pekee kwa ajili ya kukabiliana na Israel

    Mar 31, 2017 23:57

    Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia amesema kuwa Iran ndio tegemeo pekee kwa ajili ya kukabiliana na Israel.

  • Jumatatu, 20 Machi, 2017

    Jumatatu, 20 Machi, 2017

    Mar 19, 2017 23:33

    Leo ni Jumatatu tarehe 21 Jamadithani 1438 Hijria sawa na 20 Machi, 2017

  • Al Nahdha: Tuko tayari kuipatanisha serikali ya Misri na Ikhwanul Muslimin

    Al Nahdha: Tuko tayari kuipatanisha serikali ya Misri na Ikhwanul Muslimin

    Mar 13, 2017 03:27

    Mkuu wa harakati ya al Nahdha ya Tunisia amesema kuwa, harakati hiyo iko tayari kulipatanisha kundi la Ikhwanul Muslimin la Misri na serikali ya nchi hiyo.

  • Afisa wa polisi Tunisia auawa na magaidi

    Afisa wa polisi Tunisia auawa na magaidi

    Mar 12, 2017 10:27

    Magaidi wakufurishaji nchini Tunisia wamempiga risasi na kumuua afisa wa polisi nchini Tunisia na kuwajeruhi wengine watatu.

  • Dikteta wa zamani wa Tunisia aendelea kuandamwa na vifungo

    Dikteta wa zamani wa Tunisia aendelea kuandamwa na vifungo

    Mar 04, 2017 12:32

    Dikteta aliyeondolewa madarakani wa Tunisia amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela kutokana na tuhuma za faili jingine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS