Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Al Nahdha: Tuko tayari kuipatanisha serikali ya Misri na Ikhwanul Muslimin

    Al Nahdha: Tuko tayari kuipatanisha serikali ya Misri na Ikhwanul Muslimin

    Mar 13, 2017 03:27

    Mkuu wa harakati ya al Nahdha ya Tunisia amesema kuwa, harakati hiyo iko tayari kulipatanisha kundi la Ikhwanul Muslimin la Misri na serikali ya nchi hiyo.

  • Afisa wa polisi Tunisia auawa na magaidi

    Afisa wa polisi Tunisia auawa na magaidi

    Mar 12, 2017 10:27

    Magaidi wakufurishaji nchini Tunisia wamempiga risasi na kumuua afisa wa polisi nchini Tunisia na kuwajeruhi wengine watatu.

  • Dikteta wa zamani wa Tunisia aendelea kuandamwa na vifungo

    Dikteta wa zamani wa Tunisia aendelea kuandamwa na vifungo

    Mar 04, 2017 12:32

    Dikteta aliyeondolewa madarakani wa Tunisia amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela kutokana na tuhuma za faili jingine.

  • Tunisia na kuendelea matatizo ya kiuchumi

    Tunisia na kuendelea matatizo ya kiuchumi

    Mar 01, 2017 23:09

    Umoja wa Mataifa umeitahadharisha Tunisia kuhusu kutekeleza siasa za kubana matumizi kufuatia kuendelea matatizo ya kiuchumi nchini humo.

  • Watunisia wataka kuanzishwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi yao na Syria

    Watunisia wataka kuanzishwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi yao na Syria

    Feb 25, 2017 10:52

    Makundi ya kiraia nchini Tunisia yametaka kuanzishwa mahusiano ya kidiplomasia baina ya nchi yao na serikali ya Syria.

  • Dikteta wa zamani wa Tunisia ahukumiwa kifungo cha miaka 8 jela

    Dikteta wa zamani wa Tunisia ahukumiwa kifungo cha miaka 8 jela

    Feb 25, 2017 03:13

    Dikteta aliyeondolewa madarakani wa Tunisia amehukumiwa kifungo cha miaka 8 jela bila ya kuwepo mahakamani.

  • UN yazishukuru nchi jirani na Libya

    UN yazishukuru nchi jirani na Libya

    Feb 22, 2017 23:33

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amezishukuru nchi jirani na Libya kwa jitihada zao za kutafuta suluhisho la mgogoro wa ndani wa nchi hiyo.

  • Magaidi wawili waangamizwa magharibi mwa Tunisia

    Magaidi wawili waangamizwa magharibi mwa Tunisia

    Feb 18, 2017 04:13

    Wizara ya Ulinzi ya Tunisia imetangaza kuwa, magaidi wawili wakufurishaji wameangamizwa katika maeneo ya milimani ya jimbo la Kasserine la magharibi mwa nchi hiyo katika operesheni maalumu ya jeshi ya kupambana na magenge ya kigaidi.

  • Serikali ya Tunisia yaongeza muda wa hali ya hatari kwa miezi mitatu mingine

    Serikali ya Tunisia yaongeza muda wa hali ya hatari kwa miezi mitatu mingine

    Feb 17, 2017 00:19

    Serikali ya Tunisia imeongeza muda wa hali ya hatari kwa miezi mitatu mingine nchini humo.

  • Jeshi la Tunisia laungana na jeshi la Syria kupambana na magaidi

    Jeshi la Tunisia laungana na jeshi la Syria kupambana na magaidi

    Feb 13, 2017 11:40

    Duru za kuaminika za Tunisia zimesema kuwa, jeshi la nchi hiyo limetumwa nchini Syria kupambana bega kwa bega na serikali ya Syria dhidi ya magenge ya kigaidi katika ardhi ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS