-
Watunisia waandamana kuunga mkono mapinduzi
Jan 14, 2017 09:23Maelfu ya wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano leo katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo kuadhimisha mwaka wa 6 tangu wafanye mapinduzi yaliyoindoa madarakani serikali ya dikteta wa zamani wa nchi hiyo, Zainul Abidin bin Ali.
-
Tunisia katika mtanziko wa kiusalama; magaidi elfu tatu wapo nje ya nchi
Jan 02, 2017 22:55Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia tarehe 31 mwezi Disemba mwaka jana alieleza kuwa magaidi elfu tatu raia wa Tunisia wametapakaa katika pembe mbalimbali za dunia khususan huko Iraq, Syria na Libya.
-
Rais wa Tunisia: Yamkini Israel ilimuua mhandisi wa drone za Hamas
Jan 02, 2017 11:38Rais wa Tunisia amesema kuna uwezekano mkubwa kuwa utawala haramu wa Israel ulihusika katika mauaji ya mhandisi Mtunisia Mohammad Zaouari ambaye alikuwa mtegenezaji wa ndege zisizo na rubani au drone za harakati ya kupigania ukombozi wa Palestina, Hamas.
-
Mamia ya matakfiri wanaorejea Tunisia wakamatwa
Dec 31, 2016 03:57Msemaji wa serikali ya Tunisia ametangaza habari ya kukamatwa mamia ya matakfiri wanaorejea nchini humo kutoka eneo la Mashariki ya Kati.
-
Watunisia wakataa fikra za Kiwahabi
Dec 28, 2016 04:11Wananchi wa Tunisia hususan tabala la wasomi na wanafikra wa nchi hiyo wamekataa kupokea fikra za kiwahabi licha ya Saudi Arabia kutumia fedha na wakati mwingi kueneza na kusambaza fikra na mitazamo ya kisalafi na kiwahabi katia nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Tahadhari ya maafisa usalama wa Tunisia kuhusu kurejea magaidi nchini humo
Dec 27, 2016 01:11Licha ya kupita miaka sita ya tangu kutokea mapinduzi ya wananchi huko Tunisia, hali ya usalama ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika bado si ya utulivu na hivi sasa kuna wasiwasi mkubwa wa kurejea magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi nchini humo.
-
Shakhsia wa kisiasa wa Tunisia kuelekea Syria kwenda kumwomba radhi Rais Assad
Dec 26, 2016 12:47Ujumbe wa viongozi wa vyama vya siasa vya Tunisia unatazamiwa kuelekea nchini Syria kwa madhumuni ya kwenda kumwomba radhi Rais Bashar al-Assad wa nchi hiyo.
-
Hofu yatanda Tunisia baada ya magaidi kurejea wakitokea Iraq, Syria
Dec 26, 2016 00:59Maafisa wa usalama nchini Tunisia wameeleza hofu yao kutokana na kuanza kurejea nchini humo maelfu ya magaidi wakufurishaji wanaokimbia kutoka Syria na Iraq baada ya kutimuliwa na majeshi ya nchi hizo.
-
Bunge la Tunisia kuchunguza mauaji ya msomi Al Zawari wa nchi hiyo
Dec 22, 2016 11:15Bunge la Tunisia linakutana kesho Ijumaa katika kikao cha dharura kuchunguza faili la mauaji ya kigaidi yaliyofanywa dhidi ya msomi wa masuala ya anga wa nchi hiyo, Muhammad al Zawari.
-
Tunisia yasambaratisha makundi 160 ya magaidi
Dec 03, 2016 10:42Vikosi vya usalama Tunisia vimefanikiwa kusambaratisha makundi 160 ya kigaidi nchini humo katika miezi 10 ya kwanza ya mwaka huu.