Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Hofu yatanda Tunisia baada ya magaidi kurejea wakitokea Iraq, Syria

    Hofu yatanda Tunisia baada ya magaidi kurejea wakitokea Iraq, Syria

    Dec 26, 2016 00:59

    Maafisa wa usalama nchini Tunisia wameeleza hofu yao kutokana na kuanza kurejea nchini humo maelfu ya magaidi wakufurishaji wanaokimbia kutoka Syria na Iraq baada ya kutimuliwa na majeshi ya nchi hizo.

  • Bunge la Tunisia kuchunguza mauaji ya msomi Al Zawari wa nchi hiyo

    Bunge la Tunisia kuchunguza mauaji ya msomi Al Zawari wa nchi hiyo

    Dec 22, 2016 11:15

    Bunge la Tunisia linakutana kesho Ijumaa katika kikao cha dharura kuchunguza faili la mauaji ya kigaidi yaliyofanywa dhidi ya msomi wa masuala ya anga wa nchi hiyo, Muhammad al Zawari.

  • Tunisia yasambaratisha makundi 160 ya magaidi

    Tunisia yasambaratisha makundi 160 ya magaidi

    Dec 03, 2016 10:42

    Vikosi vya usalama Tunisia vimefanikiwa kusambaratisha makundi 160 ya kigaidi nchini humo katika miezi 10 ya kwanza ya mwaka huu.

  • Drone za Marekani zatumika katika mpaka wa Tunisia, Libya

    Drone za Marekani zatumika katika mpaka wa Tunisia, Libya

    Nov 23, 2016 23:26

    Rais wa Tunisia ameunga mkono kutumika ndege zisizo na rubani (drone) za Marekani katika mpaka wa nchi yake na Libya.

  • Maghala matatu makubwa ya silaha yanaswa Tunisia

    Maghala matatu makubwa ya silaha yanaswa Tunisia

    Nov 14, 2016 11:25

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imeripoti kuwa, imegundua na kuzuia maghala matatu makubwa yaliyosheheni silaha za aina mbalimbali katika eneo la mpaka wa nchi hiyo na Libya.

  • Larijani: Israel inatumia ugaidi kudhoofisha ulimwengu wa Kiislamu

    Larijani: Israel inatumia ugaidi kudhoofisha ulimwengu wa Kiislamu

    Nov 06, 2016 14:28

    Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu, Bunge la Iran, amesema kuwa, kueneza ugaidi ni katika mbinu na sera zinazotumiwa na utawala wa Kizayuni wa Israel kuzidhoofisha nchi za Kiislamu.

  • Waziri apigwa kalamu nyekundu Tunisia kwa kukosoa Uwahabi

    Waziri apigwa kalamu nyekundu Tunisia kwa kukosoa Uwahabi

    Nov 04, 2016 12:20

    Serikali ya Tunisia imemfuta kazi Waziri wa Masuala ya Dini wa nchi hiyo, baada ya kusema kuwa, idiolojia ya Uwahabi ambayo imetawala Saudi Arabia ndiyo chanzo cha ugaidi duniani.

  • Tunisia kuwa mwenyeji wa kikao cha kimataifa kuhusu Libya

    Tunisia kuwa mwenyeji wa kikao cha kimataifa kuhusu Libya

    Oct 31, 2016 00:54

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Tunisia imeeleza kwamba nchi hiyo itakuwa mwenyeji wa kikao cha kimataifa cha kujadili mgogoro wa Libya mapema mwakani.

  • Magaidi wa al-Qaidah 31 waliohusika na shambulizi Tunisia, wahukumiwa kifo

    Magaidi wa al-Qaidah 31 waliohusika na shambulizi Tunisia, wahukumiwa kifo

    Oct 04, 2016 22:57

    Mahakama nchini Tunisia imetoa hukumu ya adhabu ya kifo kwa magaidi 31 ambao walihusika katika shambulizi la kigaidi dhidi ya makazi ya Waziri wa Mambo ya Ndani mwaka 2014 nchini humo.

  • Kampuni ya Uingereza yalazimika kuondoka Tunisia baada ya kukabiliwa na maandamano

    Kampuni ya Uingereza yalazimika kuondoka Tunisia baada ya kukabiliwa na maandamano

    Sep 23, 2016 10:40

    Kampuni moja ya mafuta na gesi ya Uingereza iliyokuwa ikiendesha ghughuli zake nchini Tunisia imelazimika kuondoka nchini humo kufuatia malalamiko ya wananchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS