Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Drone za Marekani zatumika katika mpaka wa Tunisia, Libya

    Drone za Marekani zatumika katika mpaka wa Tunisia, Libya

    Nov 23, 2016 23:26

    Rais wa Tunisia ameunga mkono kutumika ndege zisizo na rubani (drone) za Marekani katika mpaka wa nchi yake na Libya.

  • Maghala matatu makubwa ya silaha yanaswa Tunisia

    Maghala matatu makubwa ya silaha yanaswa Tunisia

    Nov 14, 2016 11:25

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imeripoti kuwa, imegundua na kuzuia maghala matatu makubwa yaliyosheheni silaha za aina mbalimbali katika eneo la mpaka wa nchi hiyo na Libya.

  • Larijani: Israel inatumia ugaidi kudhoofisha ulimwengu wa Kiislamu

    Larijani: Israel inatumia ugaidi kudhoofisha ulimwengu wa Kiislamu

    Nov 06, 2016 14:28

    Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu, Bunge la Iran, amesema kuwa, kueneza ugaidi ni katika mbinu na sera zinazotumiwa na utawala wa Kizayuni wa Israel kuzidhoofisha nchi za Kiislamu.

  • Waziri apigwa kalamu nyekundu Tunisia kwa kukosoa Uwahabi

    Waziri apigwa kalamu nyekundu Tunisia kwa kukosoa Uwahabi

    Nov 04, 2016 12:20

    Serikali ya Tunisia imemfuta kazi Waziri wa Masuala ya Dini wa nchi hiyo, baada ya kusema kuwa, idiolojia ya Uwahabi ambayo imetawala Saudi Arabia ndiyo chanzo cha ugaidi duniani.

  • Tunisia kuwa mwenyeji wa kikao cha kimataifa kuhusu Libya

    Tunisia kuwa mwenyeji wa kikao cha kimataifa kuhusu Libya

    Oct 31, 2016 00:54

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Tunisia imeeleza kwamba nchi hiyo itakuwa mwenyeji wa kikao cha kimataifa cha kujadili mgogoro wa Libya mapema mwakani.

  • Magaidi wa al-Qaidah 31 waliohusika na shambulizi Tunisia, wahukumiwa kifo

    Magaidi wa al-Qaidah 31 waliohusika na shambulizi Tunisia, wahukumiwa kifo

    Oct 04, 2016 22:57

    Mahakama nchini Tunisia imetoa hukumu ya adhabu ya kifo kwa magaidi 31 ambao walihusika katika shambulizi la kigaidi dhidi ya makazi ya Waziri wa Mambo ya Ndani mwaka 2014 nchini humo.

  • Kampuni ya Uingereza yalazimika kuondoka Tunisia baada ya kukabiliwa na maandamano

    Kampuni ya Uingereza yalazimika kuondoka Tunisia baada ya kukabiliwa na maandamano

    Sep 23, 2016 10:40

    Kampuni moja ya mafuta na gesi ya Uingereza iliyokuwa ikiendesha ghughuli zake nchini Tunisia imelazimika kuondoka nchini humo kufuatia malalamiko ya wananchi.

  • Kula kiapo baraza la pili la mawaziri la Tunisia katika kipindi cha miezi 18

    Kula kiapo baraza la pili la mawaziri la Tunisia katika kipindi cha miezi 18

    Aug 29, 2016 23:31

    Waziri Mkuu mpya wa Tunisia Yusuf Shahid, pamoja na mawaziri wa serikali yake ya umoja wa kitaifa wamekula kiapo katika hafla iliyofanyika kwenye Ikulu ya rais wa nchi hiyo ya Qartaj.

  • Kushadidi mivutano ya kisiasa nchini Tunisia

    Kushadidi mivutano ya kisiasa nchini Tunisia

    Aug 03, 2016 02:19

    Sambamba na bunge la Tunisia kukataa kumpa ridhaa Waziri Mkuu Habib Essid ya kuendelea kushika wadhifa huo mivutano ya kisiasa imeshtadi nchini humo.

  • Bunge la Tunisia lapiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu

    Bunge la Tunisia lapiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu

    Jul 31, 2016 03:12

    Bunge la Tunisia limepitisha kwa wingi mkubwa, kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu wa nchi hiyo Habib Essid.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS