-
Drone za Marekani zatumika katika mpaka wa Tunisia, Libya
Nov 23, 2016 23:26Rais wa Tunisia ameunga mkono kutumika ndege zisizo na rubani (drone) za Marekani katika mpaka wa nchi yake na Libya.
-
Maghala matatu makubwa ya silaha yanaswa Tunisia
Nov 14, 2016 11:25Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imeripoti kuwa, imegundua na kuzuia maghala matatu makubwa yaliyosheheni silaha za aina mbalimbali katika eneo la mpaka wa nchi hiyo na Libya.
-
Larijani: Israel inatumia ugaidi kudhoofisha ulimwengu wa Kiislamu
Nov 06, 2016 14:28Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu, Bunge la Iran, amesema kuwa, kueneza ugaidi ni katika mbinu na sera zinazotumiwa na utawala wa Kizayuni wa Israel kuzidhoofisha nchi za Kiislamu.
-
Waziri apigwa kalamu nyekundu Tunisia kwa kukosoa Uwahabi
Nov 04, 2016 12:20Serikali ya Tunisia imemfuta kazi Waziri wa Masuala ya Dini wa nchi hiyo, baada ya kusema kuwa, idiolojia ya Uwahabi ambayo imetawala Saudi Arabia ndiyo chanzo cha ugaidi duniani.
-
Tunisia kuwa mwenyeji wa kikao cha kimataifa kuhusu Libya
Oct 31, 2016 00:54Wizara ya Mambo ya Nje ya Tunisia imeeleza kwamba nchi hiyo itakuwa mwenyeji wa kikao cha kimataifa cha kujadili mgogoro wa Libya mapema mwakani.
-
Magaidi wa al-Qaidah 31 waliohusika na shambulizi Tunisia, wahukumiwa kifo
Oct 04, 2016 22:57Mahakama nchini Tunisia imetoa hukumu ya adhabu ya kifo kwa magaidi 31 ambao walihusika katika shambulizi la kigaidi dhidi ya makazi ya Waziri wa Mambo ya Ndani mwaka 2014 nchini humo.
-
Kampuni ya Uingereza yalazimika kuondoka Tunisia baada ya kukabiliwa na maandamano
Sep 23, 2016 10:40Kampuni moja ya mafuta na gesi ya Uingereza iliyokuwa ikiendesha ghughuli zake nchini Tunisia imelazimika kuondoka nchini humo kufuatia malalamiko ya wananchi.
-
Kula kiapo baraza la pili la mawaziri la Tunisia katika kipindi cha miezi 18
Aug 29, 2016 23:31Waziri Mkuu mpya wa Tunisia Yusuf Shahid, pamoja na mawaziri wa serikali yake ya umoja wa kitaifa wamekula kiapo katika hafla iliyofanyika kwenye Ikulu ya rais wa nchi hiyo ya Qartaj.
-
Kushadidi mivutano ya kisiasa nchini Tunisia
Aug 03, 2016 02:19Sambamba na bunge la Tunisia kukataa kumpa ridhaa Waziri Mkuu Habib Essid ya kuendelea kushika wadhifa huo mivutano ya kisiasa imeshtadi nchini humo.
-
Bunge la Tunisia lapiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu
Jul 31, 2016 03:12Bunge la Tunisia limepitisha kwa wingi mkubwa, kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu wa nchi hiyo Habib Essid.