-
Serikali ya Tunisia yaongeza muda wa hali ya hatari
Jun 20, 2016 23:17Muda wa hali ya hatari nchini Tunisia unamalizika leo Jumanne. Jana Jumatatu Rais wa Tunisia alitangaza kuongeza muda wa hali hiyo ya hatari kwa mwezi mmoja zaidi.
-
Mashauriano ya viongozi wa Tunisia kuhusu uundaji wa serikali ya umoja wa kitaifa
Jun 07, 2016 08:06Waziri Mkuu na Rais wa Tunisia jana walikutana na kujadili namna ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo kufuatia Rais wa nchi hiyo kulizungumzia suala hilo wiki iliyopita.
-
Tunisia yatenga dola bilioni nne kwa ajili ya kupambana na ugaidi
May 20, 2016 02:32Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia ametangaza habari ya kutenga serikali yake dola bilioni nne kwa ajili ya kupambana na ugaidi.
-
Kundi la kigaidi lenye uhusiano na Daesh laangamizwa Tunisia
Apr 12, 2016 23:48Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imesema kuwa imelikamata kundi moja la kigaidi katika mkoa wa Bizerte kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Tunisia: Tumejiweka imara kukabiliana na ugaidi wa kitakfiri
Mar 24, 2016 23:16Serikali ya Tunisia imetangaza kuchukua hatua maalumu kwa ajili ya kukabiliana na wimbi la magaidi wa kitakfiri nchini humo.
-
Kikao cha nchi jirani na Libya huko Tunisia
Mar 21, 2016 11:44Kikao cha nchi jirani na Libya kimefanyika huko Tunisia. Kanali ya televisheni ya al Aalam imeripoti kuwa kikao cha nchi jirani na Libya kimefanyika leo katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Tunisia.
-
Genge lenye mfungamano na Daesh laangamizwa Tunisia
Mar 16, 2016 03:52Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imetangaza kuwa imegundua na kuliangamiza genge moja lenye mfungamano na kundi la kigaidi ma kitakfiri la Daesh katika eneo la Zaafaran katikati mwa nchi hiyo.
-
Tunisia: Wananchi changieni sehemu ya mshahara kukabili ugaidi
Mar 13, 2016 13:06Waziri Mkuu wa Tunisia amewataka wafanyakazi wa umma na wananchi wote kwa jumla kuchangia sehemu ya mishahara yao kwenda kwenye hazina maalumu ya kupambana na harakati za ugaidi nchini humo.
-
Libya yakanusha tuhuma za Rais wa Tunisia
Mar 09, 2016 10:54Msemaji wa serikali ya Libya amekanusha madai ya Rais wa Tunisia kuwa nchi hiyo inazalisha magaidi wanaofanya mashambulizi nchi nyingine.
-
Tunisia yaangamizi Madaesh wengine 5 karibu na mpaka na Libya
Mar 09, 2016 04:26Jeshi la Tunisia limesema kuwa limefanikiwa kuangamiza wanamgambo wengine watano wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh karibu na mpaka wa nchi hiyo na Libya.