-
Kula kiapo baraza la pili la mawaziri la Tunisia katika kipindi cha miezi 18
Aug 29, 2016 23:31Waziri Mkuu mpya wa Tunisia Yusuf Shahid, pamoja na mawaziri wa serikali yake ya umoja wa kitaifa wamekula kiapo katika hafla iliyofanyika kwenye Ikulu ya rais wa nchi hiyo ya Qartaj.
-
Kushadidi mivutano ya kisiasa nchini Tunisia
Aug 03, 2016 02:19Sambamba na bunge la Tunisia kukataa kumpa ridhaa Waziri Mkuu Habib Essid ya kuendelea kushika wadhifa huo mivutano ya kisiasa imeshtadi nchini humo.
-
Bunge la Tunisia lapiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu
Jul 31, 2016 03:12Bunge la Tunisia limepitisha kwa wingi mkubwa, kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu wa nchi hiyo Habib Essid.
-
Serikali ya Tunisia yaongeza muda wa hali ya hatari
Jun 20, 2016 23:17Muda wa hali ya hatari nchini Tunisia unamalizika leo Jumanne. Jana Jumatatu Rais wa Tunisia alitangaza kuongeza muda wa hali hiyo ya hatari kwa mwezi mmoja zaidi.
-
Mashauriano ya viongozi wa Tunisia kuhusu uundaji wa serikali ya umoja wa kitaifa
Jun 07, 2016 08:06Waziri Mkuu na Rais wa Tunisia jana walikutana na kujadili namna ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo kufuatia Rais wa nchi hiyo kulizungumzia suala hilo wiki iliyopita.
-
Tunisia yatenga dola bilioni nne kwa ajili ya kupambana na ugaidi
May 20, 2016 02:32Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia ametangaza habari ya kutenga serikali yake dola bilioni nne kwa ajili ya kupambana na ugaidi.
-
Kundi la kigaidi lenye uhusiano na Daesh laangamizwa Tunisia
Apr 12, 2016 23:48Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imesema kuwa imelikamata kundi moja la kigaidi katika mkoa wa Bizerte kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Tunisia: Tumejiweka imara kukabiliana na ugaidi wa kitakfiri
Mar 24, 2016 23:16Serikali ya Tunisia imetangaza kuchukua hatua maalumu kwa ajili ya kukabiliana na wimbi la magaidi wa kitakfiri nchini humo.
-
Kikao cha nchi jirani na Libya huko Tunisia
Mar 21, 2016 11:44Kikao cha nchi jirani na Libya kimefanyika huko Tunisia. Kanali ya televisheni ya al Aalam imeripoti kuwa kikao cha nchi jirani na Libya kimefanyika leo katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Tunisia.
-
Genge lenye mfungamano na Daesh laangamizwa Tunisia
Mar 16, 2016 03:52Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imetangaza kuwa imegundua na kuliangamiza genge moja lenye mfungamano na kundi la kigaidi ma kitakfiri la Daesh katika eneo la Zaafaran katikati mwa nchi hiyo.