Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ubaguzi wa rangi

  • Familia ya binti Msomali-Muingereza aliyegharikishwa yataka haki

    Familia ya binti Msomali-Muingereza aliyegharikishwa yataka haki

    Aug 13, 2019 07:29

    Familia ya binti Msomali mwenye uraia wa Uingereza aliyegharikishwa imetaka haki na uadilifu baada ya kubainika kuwa alipoteza maisha kwa njia ya kutatanisha.

  • Maafisa 60 wa jeshi la Israel wataka kukomeshwa ubaguzi wa rangi

    Maafisa 60 wa jeshi la Israel wataka kukomeshwa ubaguzi wa rangi

    Jul 21, 2019 08:08

    Maafisa 60 wenye asili ya Ethiopia wa jeshi la Israel wametoa wito wa kukomeshwa ubaguzi wa rangi katika muundo wa jeshi la utawala huo.

  • Mwisho wa Apartheid Afrika Kusini na kuendelea kwake maeneo mengine ya dunia

    Mwisho wa Apartheid Afrika Kusini na kuendelea kwake maeneo mengine ya dunia

    Jul 03, 2019 07:39

    Jumapili ya terehe 30 ilikuwa siku ya kumbukumbu ya tukio muhimu sana katika historia ya Afrka na dunia nzima. Ilikuwa siku ya kufutwa mfumo usio wa kibinadamu wa Apartheid huko Afrika Kusini mwaka 1991.

  • Jumapili, tarehe 30 Juni, 2019

    Jumapili, tarehe 30 Juni, 2019

    Jun 30, 2019 04:18

    Leo ni Jumapili tarehe 26 Mfunguo Mosi Shawwal 1440 Hijria, sawa na tarehe 30 Juni 2019 Miladia.

  • Chama kikuu cha upinzani Afrika Kusini chapinga marekebisho ya katiba

    Chama kikuu cha upinzani Afrika Kusini chapinga marekebisho ya katiba

    Dec 05, 2018 01:10

    Chama kikuu cha upinzani nchini Afrika Kusini kimetangaza kuwa, yumkini kikaenda mahakamani kusimamisha pendekezo la kufanyika marekebisho ya ardhi baada ya Bunge kupasisha ripoti inayoidhinisha kufanyika marekebisho ya katiba yatakayoruhusu kutwaliwa ardhi zinazomilikiwa na wazungu waliowachache bila ya kulipwa fidia.

  • Seneta Marekani akosolewa kwa kudhalilisha Kiswahili wakati wa kumsaili mkuu wa Facebook

    Seneta Marekani akosolewa kwa kudhalilisha Kiswahili wakati wa kumsaili mkuu wa Facebook

    Apr 11, 2018 07:46

    Seneta mmoja nchini Marekani amekosolewa na watumizi wa mitandao ya kijamii kutokana na hatua yake ya kuonekana kuikejeli na kuidhalilisha lugha ya Kishwaili.

  • Kenya ni mwenyeji wa Wiki ya Kupambana na Ubaguzi wa Rangi wa Israel

    Kenya ni mwenyeji wa Wiki ya Kupambana na Ubaguzi wa Rangi wa Israel

    Mar 22, 2018 16:06

    Duru ya 14 ya 'Wiki ya Kupambana na Ubaguzi wa Rangi wa Israel' inafanyika katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi ikijumuisha maonyesho ya filamu, mijadala na matamasha ya kiutamaduni.

  • Bush akosoa siasa za kibaguzi za Donald Trump huko Marekani

    Bush akosoa siasa za kibaguzi za Donald Trump huko Marekani

    Oct 21, 2017 02:27

    Rais wa zamani wa Marekani George W. Bush amesema siasa za nchi hiyo hazipasi kujengeka kwenye msingi wa kujitenga, ubaguzi na urongo.

  • Taasisi ya Gallup: Ubaguzi wa rangi Marekani umeongezeka sana, hasa kuwalenga weusi

    Taasisi ya Gallup: Ubaguzi wa rangi Marekani umeongezeka sana, hasa kuwalenga weusi

    Aug 30, 2017 03:12

    Uchunguzi wa maoni uliofanyika hivi karibuni nchini Marekani unaonyesha kwamba, uelewa wa wazungu walio wengi na watu wa matabaka ya walio wachache kuhusu suala la ubaguzi wa rangi, unatafuatiana sana.

  • UN yampongeza Muntari kwa kukosoa ubaguzi wa rangi uwanjani

    UN yampongeza Muntari kwa kukosoa ubaguzi wa rangi uwanjani

    May 02, 2017 16:33

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amempongeza Sulley Muntari, mchezaji wa klabu ya Pescara ya Italia kwa kuamua kuondoka uwanjani kulalamikia ubaguzi wa rangi dhidi yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS