-
Familia ya binti Msomali-Muingereza aliyegharikishwa yataka haki
Aug 13, 2019 07:29Familia ya binti Msomali mwenye uraia wa Uingereza aliyegharikishwa imetaka haki na uadilifu baada ya kubainika kuwa alipoteza maisha kwa njia ya kutatanisha.
-
Maafisa 60 wa jeshi la Israel wataka kukomeshwa ubaguzi wa rangi
Jul 21, 2019 08:08Maafisa 60 wenye asili ya Ethiopia wa jeshi la Israel wametoa wito wa kukomeshwa ubaguzi wa rangi katika muundo wa jeshi la utawala huo.
-
Mwisho wa Apartheid Afrika Kusini na kuendelea kwake maeneo mengine ya dunia
Jul 03, 2019 07:39Jumapili ya terehe 30 ilikuwa siku ya kumbukumbu ya tukio muhimu sana katika historia ya Afrka na dunia nzima. Ilikuwa siku ya kufutwa mfumo usio wa kibinadamu wa Apartheid huko Afrika Kusini mwaka 1991.
-
Jumapili, tarehe 30 Juni, 2019
Jun 30, 2019 04:18Leo ni Jumapili tarehe 26 Mfunguo Mosi Shawwal 1440 Hijria, sawa na tarehe 30 Juni 2019 Miladia.
-
Chama kikuu cha upinzani Afrika Kusini chapinga marekebisho ya katiba
Dec 05, 2018 01:10Chama kikuu cha upinzani nchini Afrika Kusini kimetangaza kuwa, yumkini kikaenda mahakamani kusimamisha pendekezo la kufanyika marekebisho ya ardhi baada ya Bunge kupasisha ripoti inayoidhinisha kufanyika marekebisho ya katiba yatakayoruhusu kutwaliwa ardhi zinazomilikiwa na wazungu waliowachache bila ya kulipwa fidia.
-
Seneta Marekani akosolewa kwa kudhalilisha Kiswahili wakati wa kumsaili mkuu wa Facebook
Apr 11, 2018 07:46Seneta mmoja nchini Marekani amekosolewa na watumizi wa mitandao ya kijamii kutokana na hatua yake ya kuonekana kuikejeli na kuidhalilisha lugha ya Kishwaili.
-
Kenya ni mwenyeji wa Wiki ya Kupambana na Ubaguzi wa Rangi wa Israel
Mar 22, 2018 16:06Duru ya 14 ya 'Wiki ya Kupambana na Ubaguzi wa Rangi wa Israel' inafanyika katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi ikijumuisha maonyesho ya filamu, mijadala na matamasha ya kiutamaduni.
-
Bush akosoa siasa za kibaguzi za Donald Trump huko Marekani
Oct 21, 2017 02:27Rais wa zamani wa Marekani George W. Bush amesema siasa za nchi hiyo hazipasi kujengeka kwenye msingi wa kujitenga, ubaguzi na urongo.
-
Taasisi ya Gallup: Ubaguzi wa rangi Marekani umeongezeka sana, hasa kuwalenga weusi
Aug 30, 2017 03:12Uchunguzi wa maoni uliofanyika hivi karibuni nchini Marekani unaonyesha kwamba, uelewa wa wazungu walio wengi na watu wa matabaka ya walio wachache kuhusu suala la ubaguzi wa rangi, unatafuatiana sana.
-
UN yampongeza Muntari kwa kukosoa ubaguzi wa rangi uwanjani
May 02, 2017 16:33Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amempongeza Sulley Muntari, mchezaji wa klabu ya Pescara ya Italia kwa kuamua kuondoka uwanjani kulalamikia ubaguzi wa rangi dhidi yake.