Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ubelgiji

  • Mzozo mpya katika uhusiano wa Uturuki na Ugiriki

    Mzozo mpya katika uhusiano wa Uturuki na Ugiriki

    Apr 06, 2020 02:31

    Harakati mpya za viongozi wa Ankara na Athens, kwa mara nyingine zimechochea mizozo kati ya Uturuki na Ugiriki.

  • Jumatano, Machi 25, 2020

    Jumatano, Machi 25, 2020

    Mar 25, 2020 02:28

    Leo ni Jumatano tarehe 30 Rajab 1441 Hijria sawa na Machi 25 mwaka 2020 Milaadia.

  • Kushtadi mizozo kati ya Uturuki na Ugiriki

    Kushtadi mizozo kati ya Uturuki na Ugiriki

    Mar 16, 2020 02:34

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imemwita balozi wa Ugiriki mjini Ankara na kumkabidhi malalamiko yake kufuatia ukiukaji wa haki ya kujitawala kwenye maji ya eneo hili na kadhalika kitendo cha serikali ya Athens cha kuweka vikosi vyake katika mipaka ya nchi mbili.

  • Polisi na raia wa Ugiriki wapambana na wahajiri wanaoingia Ulaya

    Polisi na raia wa Ugiriki wapambana na wahajiri wanaoingia Ulaya

    Mar 03, 2020 02:24

    Polisi na kundi la raia wa Ugiriki wamekabiliana na wahajiri wanaovuka mpaka kuelekea Ulaya.

  • Kura ya turufu ya Ugiriki na hatua ya Uturuki ya kuwaweka rehani wakimbizi

    Kura ya turufu ya Ugiriki na hatua ya Uturuki ya kuwaweka rehani wakimbizi

    Mar 01, 2020 10:39

    Uingiliaji wa wazi wa askari wa Uturuki katika mkoa wa Idlib nchini Syria, katika kuyaunga mkono makundi ya kigaidi yanayoendesha harakati zake mkoani humo, umepata uungaji mkono wa Wamagharibi.

  • Ugiriki yazuia kutolewa taarifa ya uungaji mkono wa NATO kwa Uturuki

    Ugiriki yazuia kutolewa taarifa ya uungaji mkono wa NATO kwa Uturuki

    Mar 01, 2020 02:39

    Serikali ya Ugiriki imetumia haki yake ya turufu kuzuia kutolewa taarifa ya uungaji mkono wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) kwa Uturuki.

  • Hali ya kusikitisha na kushtua inayowakabili watoto na wanawake wahajiri nchini Ugiriki

    Hali ya kusikitisha na kushtua inayowakabili watoto na wanawake wahajiri nchini Ugiriki

    Dec 28, 2019 12:52

    Gazeti la Daily Mail limeripoti kuwa maelfu ya wanawake na watoto wanakabiliwa na hali ya kusikitisha katika kisiwa kimoja huko Ugiriki.

  • Ugiriki yamtimua balozi wa Libya kulalamikia hati ya maelewano iliyosainiwa kati ya Libya na Uturuki

    Ugiriki yamtimua balozi wa Libya kulalamikia hati ya maelewano iliyosainiwa kati ya Libya na Uturuki

    Dec 07, 2019 02:46

    Serikali ya Ugiriki imemtimua balozi wa Libya mjini Athens, kufuatia kutiwa saini hati ya maelewano ya ushirikiano wa baharini kati ya Uturuki na serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya.

  • Kushirikiana Marekani na Ulaya kuiwekea mashinikizo Uturuki baada ya kugundua gesi

    Kushirikiana Marekani na Ulaya kuiwekea mashinikizo Uturuki baada ya kugundua gesi

    Oct 08, 2019 03:17

    Uhusiano wa Uturuki na Marekani hasa baada ya kufeli jaribio la mapinduzi ya kijeshi ya tarehe 15 Julai 2016, umeendelea kugubikwa na mizozo mingi.

  • "Israel haina uwezo wa kukabiliana na wanamapambano wa Kiislamu"

    Sep 02, 2019 07:42

    Mtandao maarufu wa habari unaotembelewa na watu wengi nchini Ugiriki umetoa ripoti maalumu na kusema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel hauna uwezo wa kukabiliana na wanamapambano wa Kiislamu wa Hizbullah ya Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS